The Pro-Independence University Federation of Puerto Rico (Spanish: Federación Universitaria Pro Independencia or FUPI) is a non-profit student organization that advocates for the independence of Puerto Rico. The Federation was founded in October 1956 by Hugo Margenat, a Puerto Rican poet and nationalist. In 1960, COINTELPRO operations began against the Movimiento Pro Independencia (MPI), the University Pro-Independence Federation (FUPI), and many other Puerto Rican independence organizations both on the island and in the communities of the Puerto Rican diaspora in the United States.
Alfajiri ya Ijumaa chap , kiongozi mkubwa wa SSC anapokea simu kutoka kwa moja ya chawa wake ndani ya Yangakwenye kamati ya ufundi kuwa kuna aina ya Vitimbi na takataka zimefukiwa pande zote mbili pamoja na sehemu za kupitia.wachezaji , akaainisha maeeneo yote, haya yaliambatana na ushahidi...
Mechi ilikuwa nzuri
Nampongeza coach wa JKT Tanzania ametupa mechi nzuri
Hii inathibitisha ubora wa ligi
Nampongeza mwamzi Arajiga, ameonyesha tofauti na waamzi wengine
Coach hakuifanyia tathmini nzuri timu ya JKT Tanzania kuwa ni wazuiaji wazuri na wanacheza physical game akaamua kuanza na...
Miaka hio niko dar, nimepanda dala dala natoka gongo la mboto kuja kariakoo, kufika mitaa ya airport (ndege) naona njiwa anaingia ndani ya dala dala yetu kupitia dirisha la nyuma na akajibanza siti ya nyuma hadi tulipofika kituo cha TAZARA, nikamuona yule njiwa anapaa kutokea dirishani.
Hadi...
Tumeandaa tafrija fupi ya kuwapongeza waheshimiwa Tundu Lissu na John Heche kwa ushindi wao katika uchaguzi Mkuu wa CHADEMA uliofanyika jana/leo.
Lakini pia katika tafrija hiyo tutampongeza Freeman Mbowe kwa kukiongoza chama kwa muda wote huo. Tafrija itafanyika kesho tarehe 23.01.2025 kuanzia...
Katika hatua ya robo fainali ya mashindano ya CAF Shirikisho, Simba enaenda kukutana na timu mojawapo kati ya hizi tatu, Stellenbosch ya Afrika Kusini, ASEC Mimosas ya Ivory Coast na Al Masry ya Misri.
Hii ni tathmini yangu fupi ya timu hizi tatu na aina ya upinzani ambao Simba iutegemee.
AL...
Ngorongoro Conservation Area ilianzishwa mwaka 1959 na kuchukua eneo lililokuwa limekuwa Hifadhi ya Wanyama ya Ngorongoro tangu mwaka 1928. Eneo hili ni moja ya maeneo ya kipekee sana duniani lenye bioanuai tajiri na mandhari ya kuvutia. Ngorongoro ni makazi ya Mlima wa Ngorongoro, volkano...
Audhubillah min al shaitan nirajeem mkoloni na muuza watumwa Jamshid bin Abdulla.
Nimesikia tetesi kuwa kuna watu wasioitakia mema nchi yetu wamekuruhusu urudi Zenj.
Je unakuja kufanya nini? Huoni kuwa huku ni kututia vidole machoni?
Umesahau kuwa tunajua uliuza mababu zetu utumwani mbali na...
Coach Saed Ramovic Sasa tumeanza kumwelewa
Wachezaji wa Yanga wameongeza fitness
Prince Dube
Hat trick ya kwanza kwenye NBC pl mwaka huu, nilimwambia ni suala la muda
Sasa naamini tumemwona top scorer wa ligi, sio mpaka avizie kufunga penalties
Job & Bacca
Wamefanya vyema kama kawaida Yao...
Kwa nini pale tu Lissu alipotangaza nia ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa ndipo anapoonekana anataka/anakipasua chama?
Yeye ni makamu Mwenyekiti, nani alimchagua kuwa makamu Mwenyekiti ili aje kukipasua chama?
Watu waache unafiki.
Mchezo ulikuwa mzuri
Nampongeza coach Saed Ramovic
Alikuja na mbinu nzuri zaidi ya kuzuia kipindi cha Kwanza ndo maana akaanza na viungo wengi wenye tabia ya kukaba yaani Duke Abuya, Aucho, Mudathir na Nzengeli
Kipa Diara amecheza vizuri mno alichezesha timu vyema,
Majeraha aliyoyapata mapema...
Bei: TZS 33,111.39 (Original: TZS 57,089.89, punguzo la 42%)
Bonyeza na Nunua
Sifa kuu:
Muundo wa 2-in-1: Suruali za nje za kukimbia na suruali za ndani za compression kwa msaada wa ziada.
Kupumua na Kaukaji Haraka: Huzuia joto na inakaukaji haraka baada ya kuingia maji, hivyo inafaa kwa...
Nawapongeza watani wamecheza wastani ila mashabiki wa Simba wameona kuwa team Yao ni changa na coach ana mbinu duni mno
Mchezo ulikuwa wa upande mmoja Kwa maana ya Constantine fc
Constantine fc ni timu ambayo haina mafanikio kwenye mashindano ya kimataifa,
Mafanikio Yao ni kuishia second...
Mchezo ulikuwa mzuri timu zote zilicheza Kwa mipango mizuri
Coach Saed umekuja Kipindi kigumu, nashauri upweke muda
Nampongeza coach Saed Ramovic ameingia na mbinu nzuri kiufundi
Tatizo la coach anakosa mamlaka hajiamini kabisa
Nimeshangaa sub ya Aziz ki kutoka mapema vile
Coach Saed...
Mechi ilikuwa nzuri
Wachezaji wa Yanga wameonyesha ukomavu na uvumilivu hadi nafasi za kufunga zikapatikana
Wachezaji wetu hawana fitness nzuri sana.
Nadhani labda uchovu kushinda ubingwa mara 3 siochezo, hii inasabisha mechi kukosa kasi tuliyozoea
Duke Abuya ni Mchezaji mzuri mno, ametimiza...
SOMA ILI UJIFUNZE KITU, AMINI HUWEZI KUTOKA BURE
Siku moja Dokta aliingia haraka sana hospitalini mara baada ya kupigiwa simu iliyomtaka akafanye upasuaji. Baada ya kufika hospitalini alibadilisha nguo zake haraka na kuelekea moja kwa moja katika jingo upasuaji.
Kufika katika lile jingo la...
STORI FUPI: JINSI YA KUTAFUTA FURAHA YAKO.
Alitokea mwanamke mmoja aliyevalia nguo za gharama sana, kwa kumtazama tu ilitosha kutambua kuwa ni dada wa kitajiri. Basi alienda kwa mwanasaikolojia akamwambia kuwa
“Sina furaha na maisha yangu nipo na huzuni, yani kiufupi maisha yangu hayana maana...
Kwa wale mnaokumbuka miaka hio kulikuwa na sakata la Barclays bank kwenye ishu za mikopo na upotevu wa pesa, wakati huo nikiwa mwajiriwa idara fulani hivi ya Serikali kabla ya kujinasua na kuwa mjasiliamali wa pori kwa pori.
Basi bhana nyakati hizo nilipata boom la kimtindo nikatimba ifakara...
#MAKINIKIA: HEKAYA FUPI YA KABURI LA WAPENDANAO LILILOPO KATIKA JIJI KONGWE LA TANGA AMBALO LINASEMWA KUWA NDIO KITOVU CHA MAPENZI
Jijini Tanga, katika kata ya Usagara karibu na uwanja wa hockey, kuna makaburi ya zamani yenye sehemu ya Kikristo na sehemu nyingine ya kijeshi ya Vita ya Kwanza ya...
HII NDIYO FORESTER NEW MODEL (4th GENERATION)🔥🔥
FORESTER ni gari ambayo imepata umaarufu wake kutokana na Ufanisi wa Utendaji wake ambao ni thabiti hata katika barabara zenye changamoto.
Katika Toleo la NNE (SJ) Kuna maboresho ambayo yamefanyika.
Hapa tunazungumzia matoleo ambayo uzalishwaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.