The Pro-Independence University Federation of Puerto Rico (Spanish: Federación Universitaria Pro Independencia or FUPI) is a non-profit student organization that advocates for the independence of Puerto Rico. The Federation was founded in October 1956 by Hugo Margenat, a Puerto Rican poet and nationalist. In 1960, COINTELPRO operations began against the Movimiento Pro Independencia (MPI), the University Pro-Independence Federation (FUPI), and many other Puerto Rican independence organizations both on the island and in the communities of the Puerto Rican diaspora in the United States.
Hakuna siku wanaume wamekaa na kuamua kuwakataza wanawake wasiwe viongozi, kwenda shule, wasifyatue matofali, wasiangue madafu kwenye minazi, kuendesha bodaboda, kufanya biashara Wala kuwinda.
Tangu enzi hizo za kale kulikuweko na wanawake wanaopambana na biashara huko tabora, queen of Sheba...
Wanafunzi wanaosoma katika shule ya msingi Kododo Tarafa ya Mgeta wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro, wapo katika hatari ya kuangukiwa na madarasa wanayoyatumia kufuatia madarasa hayo ambayo yamejengwa kwa mawe tangu mwaka 1970 kuanza kupasuka kisha kudondosha mawe.
Chanzo: EastAfricaTv...
Bernard Morrison (Amezaliwa 20 May 1993) Ni Mchezaji maarufu wa Ghana anaechezea timu ya Simba SC kwenye Ligi ya Vodacom Premier
Bernard Morrison
Personal information
Club information
Senior career*
National team‡
Date of birth
20 May 1993
Place of birth...
Wakuu nina vijana wawili wa kike na wa kiume wamemaliza kidato cha nne mwaka huu 2021.
Kama mnavyofahamu kwamba matokeo yao yakitoka January wanatapaswa kujiunga kidato cha tano mwezi July.
Sasa kwa miezi yote hii sita naona kama muda ni mrefu sana kwa wao kukaa nyumbani tu.
Sasa nilitamani...
JINA: Tabia.
MWANDISHI: Chiamaro Mokiri.
Umri wake ulikuwa ni miaka 19. Alikuwa hazidi hapo. Labda kama ni chini ya hapo. Na kama ingelikuwa ni kampuni ya bima, basi wangempatia miaka mingine 60 ya kuishi. Ila mimi nilikadiria labda masaa 36, au dakika 36 ndizo alikuwa nazo kama mambo...
Abuu Kauthar
Miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika, awamu sita za uongozi kuanzia mwaka Desemba 9, 1961 hadi leo Desemba 9, 2021. Kila awamu ilikuwa na mambo yake kutokana na mazingira ya wakati huo.
Julius Nyerere
Awamu ya kwanza chini ya Rais Julius Kambarage Nyerere ilikuwa ni ya kujenga...
Tittle: A confession of a mad man
Author: DIZASTA VINA
Jina lake silikumbuki kwa sababu sikumuuliza anaitwa nani. Lakini kwa sasa hivi nikitafakari, ninaweza kumbatiza jina la Malaika. Ndiyo! Malaika kwa sababu ya mionekano yake. Lazima nikiri nimeona wanawake wengi warembo wa kila rangi na...
Ndugu wanabodi hapa chini nimeweka video mbili fupi sana za hotuba za marais wetu wapendwa wawili wa nyakati tofauti ambapo ndani ya hotuba hizo kuna jambo kubwa la kujifunza juu ya busara ya uongozi.
Hotuba hizi mbili ni darasa zuri sana la uongozi.Tukizingatia kwa vitendo kinachosemwa humo...
Nimejaribu kufikiria namna marais wetu wanavyoshughulikia mambo mbalimbali, kila mmoja kwa wakati na kwa namna yake ndipo napata kuelewa kwamba yule makonde alikuwa bonge la genius.
Mkapa aliamini sana katika taasisi hivyo kila changamoto anayoiona alifikiria kuunda taasisi na ndio maana...
Historia inaonyesha 'ustaraabu' wa binadamu ulianzia Mesopotamia—Iran ya leo—miaka elfu kadhaa iliyopita [yakadiriwa ni miaka 8,000 iliyopita]. Hawa ndio walianza kufuga wanyama kama mbuzi na kulima nafaka kama ngano. Lakini pia hawa ndio walianza kutengeneza pombe kutokana na nafaka. Na pombe...
PENZI LA UDANGANYIFU. Ilinyesha kama haijawahi kunyesha hapo awali, siku ile ilikuwa ni ya kipekee. Nilionekana nadhifu na mtanashati ndani ya suti yangu nyeusi, na nilinukia kama mfalme. Sikutaka chochote zaidi ya kutegemea mazuri kutwa nzima.
"Siyo mimi ni wewe" Nilipokea ujumbe kwenye simu...
TAAZIA FUPI KWENYE MAZIKO YA MZEE KITWANA SELEMANI KONDO 2017
Naeleza siku aliyonipa jina la "mole," (kachero, jasusi)wa Waingereza aliyekuwa ndani ya uongozi wa juu wa TANU 1954.
Naeleza mkutano wa siri nyumbani kwa Hamza Mwapachu, Nansio Ukerewe mwaka wa 1953 kujadili kumwingiza Julius...
Kama anavyotambulishwa, jina lake ni Zacharia Hans Poppe, ambaye alizaliwa mwaka 1956 mjini Dar es Salaam na kukulia mkoani Iringa.
-
Baada ya kumaliza elimu ya sekondari, Zacharia alijiunga na Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) ambako alifikia cheo cha Kapteni
-
Kabla ya kuachishwa kazi na...
Siku moja mbwa mwitu alipita karibu na hema la wachungaji. Hapo aliwaona wakila nyama ya kondoo. Akawaambia:
"Siyo kelele hizo, iwapo mimi ndiyo ningekuwa nafanya hivyo."
Hii ni somo fupi iliyoambata na mifano halisi juu ya sheria namba 11 (kuhusu offside).
Ni moja ya sheria inayowapa shida watu wengi sana kuitafsiri. Mfano kwenye mechi ya Yanga vs Mwadui kuna watu wanasema ile ni offside na wengine wanasema ni goli halali. Ukipitia hii video itakupa mwanga...
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimechukizwa na kulaani kitendo kilichofanywa na baadhi ya viongozi wa umoja wa wanawake wa chama hicho Mkoa wa Arusha wakiongozwa na mbunge wa viti maalum, Catherine Magige.
Mbunge huyo jana Alhamisi Mei 27, 2021 alikwenda makaburini yalikokuwa yakifanyika mazishi ya...
Kama kichwa cha habari kinavyo eleza hapo juu! Hivi hiki chuo si serikali jaman? Kozi ya mwezi mmoja laki nne.
Wanyonge wanasaidiwaje maana wengi hawana uwezo huo wa kumudu hzo gharama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.