Log in > Nenda my Application > Employer.
Kuna watu washaanza kupangiwa sehemu za interview....
Interview ya kwanza(kuandika) utafanyia ulipoombea...
Interview ya pili(Oral)utafanyia mkoa watakayokupangia wao..
Kama uliomba masomo mawili,
Utashangaa Written ya hesabu na phy utafanyia hapa Dar...
Kuna kazi nyingi za kufanya ndani ya Nchi na nje ya Nchi huku ikitegemea na taaluma yako uliyosomea.
Kuna watu wamepata kazi hizo kwa kupambana wenyewe huku wengine wakisubiri kusaidiwa kwa namna moja ama nyingine.
Wengine pamoja na taaluma walizonazo lakini wameamua Kusaka maarifa mengine...
Leta hoja yako, ijikite kwenye
1. Kwanini miaka mingi kada hizi hazikuwa na usaili isipokuwa sasa.
2. changamoto kiujumla za Mchakato wa usaili kwa kada hizi
3. Faida ya kufanya na kutofanya usaili
4. Bajeti za wizara kutekeleza usaili.
5. Hitimisho.
Soma Pia: Kada ya Ualimu na Afya wafanyiwe...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29,napatikana boda ya Tunduma, Elimu yangu kidato cha sita, natafuta ajira ya kuwa transporter au Agent ku clear mizigo boda ya Tunduma, nina uzoefu wa Exportation, importation na Transit Kwa miaka minne sasa.. Kazi itafanyika Kwa uaminifu.
Naombeni ajira...
Interview ya mahojiano wamesema mhusika ataenda mkoa alioomba kazi kufanya interview, je kwa wale walioomba masomo mawili na kuwekwa mikoa tofauti anatakiwa kwenda pande zote mbili au atachagua mmoja, anayeelewa anisaidie tafadhali!
Kwa majina naitwa Hamis Mahujaji Hamis, mwenye umri wa miaka 24, mwenye makazi ya mkoa wa Dar Es Salaam katika wilaya ya Kigamboni.
Elimu yangu ni Ngazi ya cheti pia ni muhitimu muhitimu katika chuo kikuu Cha Dar Es Salaam Maritime Institute mwaka huu wa masomo wa mwaka 2024 katika level ya...
Habari zenu wakuu, kama unahitaji kujenga ngazi za kisasa
"ngazi za kuelea elea"
nicheki nikufanyie kazi yako.
Hapo nimekabidhi kazi tayari, kilichobaki ni kutoa mbao za hapo chini tu.
Karibuni wakuu. Simu namba 0624254690
Wanahitajika vijana wa Kike kwa ajili ya mauzo ya mradi wa nyumba uliopo(REAL ESTATE) wilaya ya Kigamboni Dar es salaam.
TUMA C.V YAKO:sophiahamidu59@gmail.com
Poleni na majukumu ndagu zangu. Nime-aplly kazi katika taasisi ya taliri ambayo inajihusisha na utafiti wa rasilimali za mifugo na mamlaka ya viwanja vya ndege TAA kupitia sekretarieti ya ajira sasa ninaomba kupta tips ya maswali yake ya interview hasa kwenye usaili wa kuandika.
Nini natakiwa...
Jina langu naitwa sulesketcher.
Mimi najihusisha na sanaa ya Uchoraji kwa zaidi ya miaka 5 sasa, nimefanya sanaa hii na watu mbalimbali nchini Tanzania ikiwemo na viongozi wakubwa wengi waliomaliza muda wao na wachache waliobaki katika nafasi zao za uongozi.
Sanaa hii ya Uchoraji kwangu ni...
Position: MECHANICAL DRAUGHTSMAN
Areas of Responsibility: As assigned by the supervisor.
Reports To: MCC MANAGER
Specific Knowledge
Minimum of (5) five years of hands-on experience in the cement industry, particularly in developing and preparing comprehensive mechanical drawings...
JOB DESCRIPTION
MEL TECHNICAL SPECIALIST/ADVISOR
Accountable to: IIDC Executive Director
Directly Reporting to; Head of Programs
Based in: TANZANIA
Deadline: 16th September, 2024
About Impact and Innovations Development Centre
Impact and Innovations Development Centre (IIDC) is a...
Job Title: Direct Sales Executive
Tenure:
6 months (Renewable subject to performance)
Location:
Dar es Salaam
Mwanza
Arusha
Kilimanjaro
Dodoma
Mbeya
Job Purpose:
Drive retail sales objectives of the bank through day-to-day customer visits and selling bank products and services to new and...
Job Description
To assist with undertakings of the accounting function of the company in a professional manner to ensure the company meets its financial obligations.
Timely processing of invoices and payments as per agreed TATs and payment processing procedures.
To ensure all applicable taxes...
Habari zenu watanzania wenzangu.
Nimemaliza Chuo Kikuu katika kozi ya mawasiliano kwa umma hivyo natafuta kazi ya Uandishi na Utangazaji wa Habari, Afisa Uhusiano au call center
Napatikana Dar es salaam, Wilaya ya Ubungo.Asanteni.
Soma Pia: irect Sales Agent – 85 Positions at Akiba Commercial...
Wakuu natafuta sehemu yeyote ya kujitolea kufundisha hayo masomo, kama kuna shule inahitaji mwalimu nipo hapa kwasasa nipo Dar es Salaam
Soma Pia: Anahitajika Mwalimu wa Kujitolea kufundisha Shule ya English Medium
Habarini Wana JF nimehitimu mwaka huu Bachelor of Science in Chemistry lakini mpaka sas sijapata ata sehemu ya kujishikiza hata part time licha ya kuaapply internship sehemu mbalimbali.
Natafuta kazi yoyote ata ya nje ya taaluma yangu. kingine nina mtaji wa laki tatu msaada kwa mwenye wazo...
Ni matumaini yangu mu bekheri wa afya wakuu kwa wanaoumwa poleni sana na mtakuwa sawa tena.
Mimi ni kijana wa miaka 26 -28 nipo Jijini Mwanza ahangaika ila katika mihangaiko yangu mambo yamekuwa magumu deals zimekata kbs hadi nachanganyikiwa pesa sina kodi ndio imefika na kama mjuavyo Mwanza...
Sightsavers is looking for an expert in Eye Health to provide technical leadership across all eye health programmes and strengthen the global programme portfolio.
Salary: Local terms and conditions apply
Location: Malawi – Lilongwe, Tanzania – Dar es Salaam or Zambia – Lusaka
Contract: Two...
Company Description
Altezza Travel is a team of dedicated wildlife specialists based in Kilimanjaro Tanzania. Our mission is to turn your Tanzanian dreams into reality by organizing top-notch Kilimanjaro climbing expeditions and wildlife safaris. We prioritize unparalleled safety standards...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.