fursa jf

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pantomath

    Mlioomba Ajira Ualimu utumishi Angalieni status zenu

    Log in > Nenda my Application > Employer. Kuna watu washaanza kupangiwa sehemu za interview.... Interview ya kwanza(kuandika) utafanyia ulipoombea... Interview ya pili(Oral)utafanyia mkoa watakayokupangia wao.. Kama uliomba masomo mawili, Utashangaa Written ya hesabu na phy utafanyia hapa Dar...
  2. realMamy

    Nani alikusaidia kupata kazi unayoifanya?

    Kuna kazi nyingi za kufanya ndani ya Nchi na nje ya Nchi huku ikitegemea na taaluma yako uliyosomea. Kuna watu wamepata kazi hizo kwa kupambana wenyewe huku wengine wakisubiri kusaidiwa kwa namna moja ama nyingine. Wengine pamoja na taaluma walizonazo lakini wameamua Kusaka maarifa mengine...
  3. G

    Je, kuna umuhimu kama taifa kufanya usaili kwa kada ya Afya na Ualimu ndo Uajiri?

    Leta hoja yako, ijikite kwenye 1. Kwanini miaka mingi kada hizi hazikuwa na usaili isipokuwa sasa. 2. changamoto kiujumla za Mchakato wa usaili kwa kada hizi 3. Faida ya kufanya na kutofanya usaili 4. Bajeti za wizara kutekeleza usaili. 5. Hitimisho. Soma Pia: Kada ya Ualimu na Afya wafanyiwe...
  4. mkataumem

    Natafuta ajira ya Transporter /clearing and forwarding

    Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29,napatikana boda ya Tunduma, Elimu yangu kidato cha sita, natafuta ajira ya kuwa transporter au Agent ku clear mizigo boda ya Tunduma, nina uzoefu wa Exportation, importation na Transit Kwa miaka minne sasa.. Kazi itafanyika Kwa uaminifu. Naombeni ajira...
  5. M

    Hili suala la interview ya sekretarieti inanichanganya

    Interview ya mahojiano wamesema mhusika ataenda mkoa alioomba kazi kufanya interview, je kwa wale walioomba masomo mawili na kuwekwa mikoa tofauti anatakiwa kwenda pande zote mbili au atachagua mmoja, anayeelewa anisaidie tafadhali!
  6. H

    Natafuta kazi ninaweza kufanya kazi ya aina yoyote Ile iliyo ya halali

    Kwa majina naitwa Hamis Mahujaji Hamis, mwenye umri wa miaka 24, mwenye makazi ya mkoa wa Dar Es Salaam katika wilaya ya Kigamboni. Elimu yangu ni Ngazi ya cheti pia ni muhitimu muhitimu katika chuo kikuu Cha Dar Es Salaam Maritime Institute mwaka huu wa masomo wa mwaka 2024 katika level ya...
  7. aise

    Nafanya kazi ya kujenga "ngazi za kuelea elea" floating stairs

    Habari zenu wakuu, kama unahitaji kujenga ngazi za kisasa "ngazi za kuelea elea" nicheki nikufanyie kazi yako. Hapo nimekabidhi kazi tayari, kilichobaki ni kutoa mbao za hapo chini tu. Karibuni wakuu. Simu namba 0624254690
  8. M

    Wanahitajika vijana wa Kike kwa ajili ya mauzo ya mradi Real Estate

    Wanahitajika vijana wa Kike kwa ajili ya mauzo ya mradi wa nyumba uliopo(REAL ESTATE) wilaya ya Kigamboni Dar es salaam. TUMA C.V YAKO:sophiahamidu59@gmail.com
  9. U

    Msaada maswali ya interview ya nafasi ya Field Attendant ambayo sifa yake ni Form Four

    Poleni na majukumu ndagu zangu. Nime-aplly kazi katika taasisi ya taliri ambayo inajihusisha na utafiti wa rasilimali za mifugo na mamlaka ya viwanja vya ndege TAA kupitia sekretarieti ya ajira sasa ninaomba kupta tips ya maswali yake ya interview hasa kwenye usaili wa kuandika. Nini natakiwa...
  10. sulemoney

    Mchoraji nguli Tanzania nawakaribisha nyote kujipatia picha kutoka kwangu kwa gharama nafuu

    Jina langu naitwa sulesketcher. Mimi najihusisha na sanaa ya Uchoraji kwa zaidi ya miaka 5 sasa, nimefanya sanaa hii na watu mbalimbali nchini Tanzania ikiwemo na viongozi wakubwa wengi waliomaliza muda wao na wachache waliobaki katika nafasi zao za uongozi. Sanaa hii ya Uchoraji kwangu ni...
  11. Jamii Opportunities

    Mechanical Draughtsman at Twiga Cement Limited August, 2024

    Position: MECHANICAL DRAUGHTSMAN Areas of Responsibility: As assigned by the supervisor. Reports To: MCC MANAGER Specific Knowledge Minimum of (5) five years of hands-on experience in the cement industry, particularly in developing and preparing comprehensive mechanical drawings...
  12. Jamii Opportunities

    MEL Specialist at Impact and Innovations Development Centre (IIDC) August 2024

    JOB DESCRIPTION MEL TECHNICAL SPECIALIST/ADVISOR Accountable to: IIDC Executive Director Directly Reporting to; Head of Programs Based in: TANZANIA Deadline: 16th September, 2024 About Impact and Innovations Development Centre Impact and Innovations Development Centre (IIDC) is a...
  13. Jamii Opportunities

    Direct Sales Agent – 85 Positions at Akiba Commercial Bank August, 2024

    Job Title: Direct Sales Executive Tenure: 6 months (Renewable subject to performance) Location: Dar es Salaam Mwanza Arusha Kilimanjaro Dodoma Mbeya Job Purpose: Drive retail sales objectives of the bank through day-to-day customer visits and selling bank products and services to new and...
  14. Jamii Opportunities

    Payable Accountant at UAP Insurance August, 2024

    Job Description To assist with undertakings of the accounting function of the company in a professional manner to ensure the company meets its financial obligations. Timely processing of invoices and payments as per agreed TATs and payment processing procedures. To ensure all applicable taxes...
  15. E

    Nimesoma utangazaji na Uandishi wa Habari, natafuta kazi

    Habari zenu watanzania wenzangu. Nimemaliza Chuo Kikuu katika kozi ya mawasiliano kwa umma hivyo natafuta kazi ya Uandishi na Utangazaji wa Habari, Afisa Uhusiano au call center Napatikana Dar es salaam, Wilaya ya Ubungo.Asanteni. Soma Pia: irect Sales Agent – 85 Positions at Akiba Commercial...
  16. M

    Natafuta kazi ya kujitolea mimi ni Mwalimu wa Biology na Geography

    Wakuu natafuta sehemu yeyote ya kujitolea kufundisha hayo masomo, kama kuna shule inahitaji mwalimu nipo hapa kwasasa nipo Dar es Salaam Soma Pia: Anahitajika Mwalimu wa Kujitolea kufundisha Shule ya English Medium
  17. Tommy 911

    Natafuta kazi taaluma yangu ni Bachelor of Science in Chemistry Nipo Tayari Kufanya Kazi Ndani au Nje ya Taaluma Yangu

    Habarini Wana JF nimehitimu mwaka huu Bachelor of Science in Chemistry lakini mpaka sas sijapata ata sehemu ya kujishikiza hata part time licha ya kuaapply internship sehemu mbalimbali. Natafuta kazi yoyote ata ya nje ya taaluma yangu. kingine nina mtaji wa laki tatu msaada kwa mwenye wazo...
  18. S

    Natafuta Kazi ambayo hahitaji Elimu

    Ni matumaini yangu mu bekheri wa afya wakuu kwa wanaoumwa poleni sana na mtakuwa sawa tena. Mimi ni kijana wa miaka 26 -28 nipo Jijini Mwanza ahangaika ila katika mihangaiko yangu mambo yamekuwa magumu deals zimekata kbs hadi nachanganyikiwa pesa sina kodi ndio imefika na kama mjuavyo Mwanza...
  19. Jamii Opportunities

    Global Technical Lead: Eye Health (ECSA) at Sightsavers August, 2024

    Sightsavers is looking for an expert in Eye Health to provide technical leadership across all eye health programmes and strengthen the global programme portfolio. Salary: Local terms and conditions apply Location: Malawi – Lilongwe, Tanzania – Dar es Salaam or Zambia – Lusaka Contract: Two...
  20. Jamii Opportunities

    Waiter at Altezza Travel August, 2024

    Company Description Altezza Travel is a team of dedicated wildlife specialists based in Kilimanjaro Tanzania. Our mission is to turn your Tanzanian dreams into reality by organizing top-notch Kilimanjaro climbing expeditions and wildlife safaris. We prioritize unparalleled safety standards...
Back
Top Bottom