galaxy

  1. chizcom

    Katika elimu ya anga nje ya dunia kuna daiwa kugundulika shimo kubwa ambalo linaweza kumeza nyota zote mpaka galaxy yetu.

    Elimu ya anga naona teknolojia za AI na mahesabu kuchanganuliwa kwa haraka kumekuwa na ugunduzi mkubwa sana kuhusu upatikanaji wa sayari mpya na nyota mpya ambazo ni kama ndoto kwa habari. Wanasayansi wamegundua moja ya mashimo makubwa nje ya ulimwengu kama yakiwa kwenye galaxy yetu basi ni...
  2. Llio 002

    Samsung galaxy a55 inauzwa

    Habari wana jamii Forum ninauza simu yangu Samsung galaxy a55 ni simu kali na latest kwa series za A Samsung Galaxy a55 Gb 256 Ram 12 5g network Bei Tshs 900,000/= 0625 557 395 Dar Es salaam Karibuni sana
  3. Mad Max

    Samsung wamezindua simu tatu za Galaxy S25 series!

    Wapenzi na wadau wa Samsung. Jana usiku Wakorea walitoa vitu vyao vutatu vya mwaka 2025, Samsung Galaxy S25, S25+ na S25 Ultra. Ya kuongea ni machache kwasababu ni upgrade ndogo kutoka S24 series. Samsung pia walituonesha Galaxy S25 Slim aka S25 Edge ambayo itazinduliwa hivi karibuni...
  4. Ritz

    Yemen itaachia meli ya Israel Galaxy Leader pamoja na wafanyakazi wake baada ya Hamas kuwaombea.

    Wanaukumbi. ⚡️🇾🇪BREAKING: Yemen itaachia meli ya Israel Galaxy Leader. Katika taarifa ya Ansarallah "Houthis" VP ya vyombo vya habari: “Kwa ombi la ndugu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hamas na kupitia kwa ndugu zetu katika Usultani wa Oman, wafanyakazi wa meli ya Israel, ambao...
  5. Kyatile

    Ipi simu bora kati ya iphone 12 pro na Samsung Galaxy A35 mwaka huu 2025?

    Leo nimeenda dukani kununua Galaxy A35 yenye storage ya 256 GB na kwa bahati mbaya sikuipata. Katika kuangaza macho nikaiona iphone 12 pro used ina battery health ya 86%. Nikavutiwa kuikagua na kweli bado ina vitu kadhaa vinavyovutia ila sikushawishika kuinunua hiyo pamoja na kuwa na bei sawa...
  6. pabro11

    MBONA GALAXY A SERIES ZOTE FB NI 250K?

    Wakuu msaada izi simu za galaxy a series za fb ni OG kweli? Mbona bei zinafanana? Na ipi bora kwenye A series?
  7. R

    Kuna aliyekutana na GALAXY LADY wa Telegram!!!!

    Habari Kuna mwanadada mmoja anajiitwa Galaxy lady username telegram ni santie360. Wadau kama umewahi kukutana nae naomba taarifa zaidi yupp na umemuonaje.
  8. Abuu95Kiago

    Phone4Sale SAMSUNG GALAXY 14

    AVAILABLE BRAND NEW 𝗚𝗔𝗟𝗔𝗫𝗬 𝗔𝟭𝟰 𝟭𝟮𝟴𝗚𝗕 | 𝟲𝗚𝗕📱 🔗Brand New 🔗Mixed Colors 🔗Dual Sim ✔️ ✨𝗧𝗦𝗛 𝟯𝟭𝟬,𝟬𝟬𝟬/= 💰 📍Kariakoo, Magila & Likoma,Opposite KKKT DMP Call / Text +255 714 981607 ☎️ 24 Months Limited Warranty ✅
  9. Pinda Nhenagula

    Naomba msaada wa kurudisha file la mobile data Icon kwa juu ya simu Galaxy A15 yangu

    Wanajukwa habari za wakati huu ndugu jamaa na marafiki natumai nyote ni wazima waafya .Lengo kuu la kuandika uzi huu nikuwaombeni msaada wale wataalamu wa maswala ya Technology and science in computer skills and accessories. Jaman mm natumia simu aina ya Samsung galaxy A15 nimei UPDATE jana...
  10. Andazi

    Phone4Sale Naunza simu yangu aina ya Samsung Galaxy 04e

    Ndio simu ambayo natumia kulogin huku na kupost huko na huko ina 64GB ndani na 3GB of ram android 14 na Oneui 6.1 Ni yangu 100% na utakapo inunua palepale ndio nitatoa Samsung Account as proof ya kuwa mmiliki wake Ninashida na 180k tu Ipo good condition na nimeitumie for long time, nitaweka...
  11. pabro11

    Ni kweli galaxy a73 5g 250,000?

    Wakuu Naona wauzaji wengi FB bei zao around 250k je hizi ni zenyewe au copy nisije pigwa?
  12. Mad Max

    Kwa wapenzi wa simu za Samsung Galaxy A series, ngoja leo tujuzane kitu kidogo

    Wakuu! Samsung Galaxy A series ni smartphone kutoka Samsung ambazo zipo za aina mbalimbali kuanzia low end (izi ni za bei ndogo na specifications za chini) hadi za mid rangers ambazo zina specifications kubwa chini kidooogo ya Note Series, S series na Z Series. Sasa ukiwa unataka kununua...
  13. Mr Confidential

    Phone4Sale Samsung Galaxy S24 Ultra GB 256 Inauzwa Kwa TZS 2,599,999/= Full boxed

    Wakuu, Nina Samsung Galaxy s24 Ultra, nimenunua jana baada ya kukosa Google pixel 9. Hili simu ni pana sana, nashindwa kuishika vizuri. Ili niitumie nashika kwa mikono miwili. Sipo comfortable nayo. Components zake: Simu yenyewe Cover Original charger (kichwa original nimekinunua Samsung...
  14. Atlast nimempata

    Phone4Sale Nauza simu mpya Samsung galaxy A04s

    Hii simu (Samsung galaxy A04s) ni brand new kutoka dukani nimeitumia miezi 3. Naiuza kwa 300,000 tu! Maongezi yapo. Storage ni GB 128. Memory Ram 4Gb. Ni simu ya kisasa unaweza upgrade kwa mfumo wowote wa kisasa. Sasa hivi ina Android 14. Niko Dar es Salaam maeneo ya Mbezi mwisho ya kimara...
  15. Christopher Wallace

    Naombeni mnijuze kuhusu Samsung Galaxy A55

    Leo nimekuja kwenye jukwaa hili naomba kujuzwa kuhusu simu aina ya Samsung Galaxy A55 Ubora wake upoje? Kwenye camera, battery, software updates nk Bei halisi nijiandae na sh ngapi? Mkitaja na maduka sio mbaya
  16. B

    Samsung Galaxy S24 Ultra Set to Enhance and Open up the Olympic Broadcast and Viewer Experience Like Never Before at the Olympic Games Paris 2024

    ●In collaboration with the IOC, and OBS, Samsung Galaxy technology will provide fans around the world with a new, up-close view of the world’s greatest athletes during the Games SEOUL, Korea – June 19, 2024 – Samsung Electronics Co., Ltd., a Worldwide Olympic and Paralympic Partner, today...
  17. K

    Phone4Sale Samsung galaxy A21s laki 2 tu.

    UPDATE: SIMU IMESHAUZWA Habari, Nauza simu samsung galaxy A21s. RAM :4GB Storage: 64GB Battery: 5000mAh Location: Dar Bei: 200k Tzs Iko vizuri unakaribishwa kuja kuikagua for your convinience. 0759007696 (call/WhatsApp)
  18. Meneja Wa Makampuni

    Phone4Sale Samsung galaxy S10e mpya imetumika mwezi mmoja tu inauzwa laki 3 na Nusu

    Wakuu. OFFER: Samsung galaxy S10e mpya imetumika mwezi mmoja tu inauzwa laki 3 na Nusu Specification: Kwanza kabisa ina wireless charging system Yaani unaweza kuchaji kwa kuilaza juu ya simu nyingine. RAM 6 GB Storage 128 GB BATTERY Type Li-Ion 3100 mAh, non-removable Charging15W wired...
  19. NALIA NGWENA

    Wallace Karia: Jwaneng galaxy FC kufanya mazoezi Avic town ni uzushi na siyo habari za ukweli Bali ni propaganda tu

    "Kunapropaganda ilikuwa inapigwa kwamba ile timu ilikuwa inafanya mazoezi Avic Town tulifuatilia sisi na wizara tukakuta ni propaganda" Rais wa Shirikisho la Soka Nchini (TFF), Wallace Karia wakati akiwaomba wadau wa soka kuwa na ushabiki wenye manufaa kwa nchi. Credit kwa Azam sports.
  20. J

    Simba kumbe aliwekewa hujuma na timu 4 kubwa Asec, Wydad,. Yanga na Galaxy ili aisipenye robo fainali

    Aisee kweli mpira ni vita sasa ni wazi kumbe Simba alikuwa akipambana na hujuma kali kutoka kwa timu 4 ili asiingie robo fainali. Timu hizo ni Wydad ambaye aliamua kucheza mchezo mchafu na kwenda kuwahonga Asec wamuachie goli ashinde kwa uhakika. Timu nyingine ni Asec ambao walikubali kula...
Back
Top Bottom