galaxy

  1. Its Pancho

    Wakuu hii ndiyo Galaxy yenyewe wastaafu?

    Nimeshtuka..! Huyu si kariba na makamo ya Dr mwigulu na Majaliwa kabisa wajameni? Sasa wachezaji wenyewe ndiyo kama Hawa mtu unashindwaje kufunga hata kumi kwa bila wakuu? Kwa kuwa simba mbovu na Hawa wastaafu waliokuja kutalii ndiyo mahututi basi ikaonekana wamecheza sana? Nimeumia sana kwa...
  2. GENTAMYCINE

    Mlio tayari na Matokeo ya Simba na Jwaneng Galaxy nipeni kwani Mimi Mganga wangu tegemezi kapofuka Macho hivi punde tu

    Nasikia kuna Mtu hatoamini leo na huenda Hayati Rais Mstaafu Mzee Mwinyi akasindikizwa na Wengi ama kutoka nchini Botswana au Tanzania. Tafadhali lielewe vizuri neno kuna Mtu hatoamini leo sawa?
  3. THE FIRST BORN

    Simba tusibabaishwe Team tunayo na uongozi tunao JWANENG GALAXY anakufa 4G Road To Semi Final.

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Ila nyie kumtetea Mtu asiejielewa na ana makosa ya kujirudia ni kazi. Nimeshindwa kutetea uzi wenu wanasimba Njooni Mjitetee wenyewe😂😂😂 waiten wana simba wote waje naanza na hawa 😂😂 Kalpana Scars OKW BOBAN SUNZU
  4. Jo Assistant

    Phone4Sale Nauza simu ya Galaxy S8 plain used Dar es Salaam kwa bei nafuu

    Habari wadau, Nauza simu yangu kwa mtu anayetaka kuinunua hapa Dar es Salaam. Nakupa na chaja yake bure. Simu ipo rooted na unaweza kutumia line 2 za simu. Kama utataka nikufungulie social media accounts (Instagram, Facebook, X, nk), nitakufungulia bure. Pia kama utataka links za websites za...
  5. Jamii Opportunities

    Tender Procurement of Samsung Galaxy A54 5G at Good Neighbors January, 2024

    INVITATION FOR BID (IFB) Bid No. GNTZ/HO/002/2024 FOR PROCUREMENT OF SAMSUNG GALAXY A54 5G FOR SPONSORSHIP PROGRAMME, DATA MANAGEMENT AT GOOD NEIGHBORS TANZANIA. Good Neighbors has set aside funds during the financial year 2024. It is intended that part of the proceeds of the fund will be...
  6. J

    Phone4Sale Samsung Galaxy A14 imetumika mwezi tu

    IMEUZWA
  7. E

    FT: ASEC Mimosas 3-0 Galaxy | CAF CL | 19.12.2023

    Game inachezwa mda huu wana Simba ombeni Mungu galaxy afungwe vyenginvyo bado itakua mupo ktk nafas mbaya.
  8. Malaika wa Misukosuko

    Mechi za CAF Kesho: Yanga ataifunga Al Ahly na Simba atatoa Sare dhidi ya Jwaneng Galaxy, Na Tp mazembe atamfunga Mamelod

    Habari Wakuu, Kuelekea Mechi za CAF CHAMPIONS LEAGUE kesho tarehe 2 December, Matokeo yatakuwa kama Yafuatavyo, Yanga vs Al Ahly (Yanga Atashinda) Jwaneng vs Simba (Itaisha kwa Draw) Tp mazembe vs Mamelod (Tp Mazembe Atashinda ) Mimosas vs Wydad (Wydad Atashinda) Nouadhibou vs pyramids...
  9. uran

    FT: Jwaneng Galaxy 0 - 0 Simba | CAFCL | Francistown Stadium | 02.12.2023

    Match Day 🏆CAF Champion League ⚽ Jwaneng Galaxy vs Simba 🏟️ Francistown Stadium 🗓️ 02.12.2023 ⏰ 1600hours (EAT) Kikosi cha Jwaneng' Galaxy kinachoanza. Kikosi cha Simba Kinachoanza All the Best Mnyama. Updates... Sasa ni Saa Tisa na Dakika 25 Alasiri. Hali ya hewa ya Dar es Salaam ni ya...
  10. OMOYOGWANE

    Golikipa wa Jwaneng galaxy anatisha

    Anaitwa G. Phoko Huyu ndio kachangia kuwalaza na viatu wydad Wana simba mmejioanga ??
  11. JanguKamaJangu

    Wydad wachapika nyumbani 1-0, wamepigwa na Jwaneng Galaxy ambao watacheza na Simba

    Msimamo ulivyo baada ya mechi za kwanza kwa timu zote za Group B
  12. Lexus SUV

    Phone4Sale Samsung Galax A23

    Habari nauza simu aina tajwa hapo juu. ipo kwa good condition , clean and kila accessory ipo pamoja including charge , air phone and mawasiliano ni. 0756294771....
  13. GENTAMYCINE

    Nauonya Uongozi wa Simba SC na Wachezaji Waandamizi usirudie tena 'Kuiuza' Mechi kwa Jwaneng Galaxy FC kama walivyofanya mara ya mwisho

    Najua hamtapenda GENTAMYCINE kuja na hii Taarifa au mtashangaa nilijuaje ila nyie jueni tu kuwa The King of News / Info ninajua. Wachezaji wetu Waandamizi Saba ( 7 ) Wawili ni Wageni na Mmoja wapo aliachwa akahamia Matajiri wa Alizeti na Wazawa Watano Mmoja ndiyo kaanza rasmi Mazoezi na Wenzake...
  14. E

    Ushauri Galaxy A73 5G

    Nataka nichukue Samsung Galaxy A73 5G 8GB RAM, 256GB ROM.
  15. Afisa Mteule Drj 2

    Msaada Nahitaji Display Original ya Samsung Galaxy A10

    Simu yangu ilitumbukia kwenye maji display ikaharibika niikaweka display nyingine kwa sh 70,000,display hii mpya haina ubora kama ile original iliyokuja na simu na napasuka kama kioo cha dirisha pia inastack ovyo nikitouch.Nauliza kuna anayejua wapi naweza kupata display nzuri na original ya...
  16. G

    Phone4Sale Jipatie Samsung Galaxy a03 core kwa bei ya kutupa

    Karibuni wapendwa Simu HAINA TATIZO LOLOTE Inapatikana maeneo ya airport DSM Bei yake NI 160k Serious buyers karibuni DM
  17. SAYVILLE

    Tujikumbushe: Simba walitolewa na Jwaneng Galaxy kwa matokeo ya jumla ya 3-3

    Kejeli dhidi ya mafanikio ya Simba ya zinakuwaga kubwa halafu pale upande wa pili wanapofikia mafaniko hayo au wanapopata changamoto fulani ambayo Simba waliwahi kupitia ndiyo fahamu zinawajia wanasahau yale waliyowahi kubwabwaja. Msimu uliopita katika mashindano ya Champions League hatua ya...
  18. H

    Phone4Sale Samsung Galaxy A54 5G

    Samsung Galaxy A54 5G Inauzwa imetumika mwezi moja, Haina shida yeyote, Ina warrant ya miaka miwili. Hizi ni baadhi ya specs zake. Reased 2023, March 24 202g, 8.2mm thickness Android 13, One UI 5.1 256GB storage, microSDXC 8GB RAM, Display 6.4 OS Android 13, One UI 5.1 Chipset Exynos 1380...
  19. Dr Matola PhD

    Ushauri muhimu kwa uongozi wa Yanga na mashabiki wa Yanga, hatutaki hadithi ya Simba na Jwaneng Galaxy

    Ni wazi mashabiki wengi wa Yanga wanaamini kazi imeisha, kilichobaki ni kumaliza kazi Dar. Mimi niko kinyume, kazi ndio imeanza, mpaka sasa hatuna deni na wachezaji wetu na benchi la ufundi kwa sababu wameshavuka malengo yaliyowekwa kuingia kwenye makundi, wanachotupa kwa sasa ni bonus tu...
  20. L

    Simba bado kuna mgogoro, usipotatuliwa Horoya watatutia aibu kwa Mkapa kama tulivyofanyiwa kwa Galaxy Gwaneng

    Dah, we acha t
Back
Top Bottom