Nimeshtuka..!
Huyu si kariba na makamo ya Dr mwigulu na Majaliwa kabisa wajameni?
Sasa wachezaji wenyewe ndiyo kama Hawa mtu unashindwaje kufunga hata kumi kwa bila wakuu?
Kwa kuwa simba mbovu na Hawa wastaafu waliokuja kutalii ndiyo mahututi basi ikaonekana wamecheza sana?
Nimeumia sana kwa...
Nasikia kuna Mtu hatoamini leo na huenda Hayati Rais Mstaafu Mzee Mwinyi akasindikizwa na Wengi ama kutoka nchini Botswana au Tanzania. Tafadhali lielewe vizuri neno kuna Mtu hatoamini leo sawa?
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Ila nyie kumtetea Mtu asiejielewa na ana makosa ya kujirudia ni kazi.
Nimeshindwa kutetea uzi wenu wanasimba Njooni Mjitetee wenyewe😂😂😂
waiten wana simba wote waje naanza na hawa 😂😂
Kalpana
Scars
OKW BOBAN SUNZU
Habari wadau,
Nauza simu yangu kwa mtu anayetaka kuinunua hapa Dar es Salaam. Nakupa na chaja yake bure. Simu ipo rooted na unaweza kutumia line 2 za simu. Kama utataka nikufungulie social media accounts (Instagram, Facebook, X, nk), nitakufungulia bure. Pia kama utataka links za websites za...
INVITATION FOR BID (IFB)
Bid No. GNTZ/HO/002/2024
FOR
PROCUREMENT OF SAMSUNG GALAXY A54 5G FOR SPONSORSHIP PROGRAMME, DATA MANAGEMENT AT GOOD NEIGHBORS TANZANIA.
Good Neighbors has set aside funds during the financial year 2024. It is intended that part of the proceeds of the fund will be...
Habari Wakuu,
Kuelekea Mechi za CAF CHAMPIONS LEAGUE kesho tarehe 2 December, Matokeo yatakuwa kama Yafuatavyo,
Yanga vs Al Ahly (Yanga Atashinda)
Jwaneng vs Simba (Itaisha kwa Draw)
Tp mazembe vs Mamelod (Tp Mazembe Atashinda )
Mimosas vs Wydad (Wydad Atashinda)
Nouadhibou vs pyramids...
Match Day
🏆CAF Champion League
⚽ Jwaneng Galaxy vs Simba
🏟️ Francistown Stadium
🗓️ 02.12.2023
⏰ 1600hours (EAT)
Kikosi cha Jwaneng' Galaxy kinachoanza.
Kikosi cha Simba Kinachoanza
All the Best Mnyama.
Updates...
Sasa ni Saa Tisa na Dakika 25 Alasiri.
Hali ya hewa ya Dar es Salaam ni ya...
Habari nauza simu aina tajwa hapo juu.
ipo kwa good condition , clean and kila accessory ipo pamoja including charge , air phone and mawasiliano ni. 0756294771....
Najua hamtapenda GENTAMYCINE kuja na hii Taarifa au mtashangaa nilijuaje ila nyie jueni tu kuwa The King of News / Info ninajua.
Wachezaji wetu Waandamizi Saba ( 7 ) Wawili ni Wageni na Mmoja wapo aliachwa akahamia Matajiri wa Alizeti na Wazawa Watano Mmoja ndiyo kaanza rasmi Mazoezi na Wenzake...
Simu yangu ilitumbukia kwenye maji display ikaharibika niikaweka display nyingine kwa sh 70,000,display hii mpya haina ubora kama ile original iliyokuja na simu na napasuka kama kioo cha dirisha pia inastack ovyo nikitouch.Nauliza kuna anayejua wapi naweza kupata display nzuri na original ya...
Kejeli dhidi ya mafanikio ya Simba ya zinakuwaga kubwa halafu pale upande wa pili wanapofikia mafaniko hayo au wanapopata changamoto fulani ambayo Simba waliwahi kupitia ndiyo fahamu zinawajia wanasahau yale waliyowahi kubwabwaja.
Msimu uliopita katika mashindano ya Champions League hatua ya...
Samsung Galaxy A54 5G
Inauzwa imetumika mwezi moja,
Haina shida yeyote,
Ina warrant ya miaka miwili.
Hizi ni baadhi ya specs zake.
Reased 2023, March 24
202g, 8.2mm thickness
Android 13, One UI 5.1
256GB storage, microSDXC
8GB RAM,
Display 6.4
OS Android 13, One UI 5.1
Chipset Exynos 1380...
Ni wazi mashabiki wengi wa Yanga wanaamini kazi imeisha, kilichobaki ni kumaliza kazi Dar.
Mimi niko kinyume, kazi ndio imeanza, mpaka sasa hatuna deni na wachezaji wetu na benchi la ufundi kwa sababu wameshavuka malengo yaliyowekwa kuingia kwenye makundi, wanachotupa kwa sasa ni bonus tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.