Ama hakika pesa ni sabuni ya roho ukiwa na pesa unaweza kuhamisha mlima kilimanjaro kutoka kilimanjaro na kuupeleka mtwara sio kitu kabisa kabisa
Nimefanikiwa kununua gari ya ndoto yangu Ford ranger kutoka moja kwa moja state nimeagiza moja kwa moja na pia nimefanikiwa kununua simu kali ya...
Nimepita Igunga nikielekea Muleba kwa ajili ya Mwaka Mpya na Familia yangu. Nimesimama kwenye Kituo cha mafuta kinaitwa Galaxy hapo Igunga, Kuna tatizo la vyoo nilikuwa naliona maeneo mengi ila jamaa wameweza. Vyoo visafi husikii harufu ya mikojo wala kinyesi. Maji vyooni ya kutosha na sabuni za...
Angalia maajabu ya Samsung Galaxy S22 Ultra.
Kwa teknolojia ya kisasa ya kamera ujue hakuna usiri tena.
Unaweza kufanya jambo ukiamini hakuna anaekuona kumbe mtu yuko kilomita kadhaa anakuangalia tu.
Juzi baada ya Apple kutoa Iphone 14 nikawa naangalia reviews kadhaa online ikiwemo ya...
Samsung galaxy jean 2 bado mpya nimetumia miezi mitatu tu tangu niinunue, naiuza 200k nipo Iringa mjini, ukitaka kufanya exchange na kitochi bei inapungua kidogo, ni simu yangu hakuna dalali.
Wakuu msaada kidogo hapa,,, nimenunua hii Simu S6 Ila nilijaribu kuweka line yangu haisomi.. tatizo nini wadau nashindwa kuelewa kabisa..
Simu hii ni Used, nadhan zinajulikana yaan zimetumika kidogo..
Halafu juu ya screen Kuna hicho kiduara sijui ndo kinachosababisha Simu yangu isisome...
bei
camera
cover
dubai
free
from
galaxy
google
google pixel
hot
huawei
infinix
iphone
iphone 11
iphone x
kali
laini
mbili
mtandao
note
note 9
offer
oppo
pro
ram
redmi
samsung
samsung galaxy
sana
sony
spark
tecno
used
Samsung galaxy M31
Storage: 128GB
Ram: 6GB
Camera kali mno: 64 megapixel main, 32 megapixel front
Battery: 6000mAh (inakaa na charge mpaka inakera)
Coluor: Dark Blue
Condition: Excelent/Almost New
Bei: 350,000/= fixed
Location: Mwanza Ilemela
Ni ya kwangu mwenyewe ninaitumia, haina magumashi...
Kuna mtindo wa kwenye social media watu kutosoma maelezo marefu sana. Hivyo basi nimeamua kuileta sehemu tu ya ile sehemu ya pili, enjoy;
....................kukazia pointi kadhaa na kufunga;
Ndugu zangu, haidhuru mtu au mfumo kutokujua mwisho au mwanzo wake ili kuleta maana – ‘sense’. Maana...
GsmArena wamasema wamepata taarifa kwamba kampuni ya Samsung inayotarajiwa kuachia simu yake ya mwaka ama Flagship Phone ya S22 Ultra ambayo inatarajiwa kua na picha kali zaidi kuliko S21 Ultra ya mwaka huu.
Binafsi nasubiri S22 Ultra ikiwa kweli ina picha kali nafanya trade off faster na hii...
Habari Wanajamvi,
Nauza simu yangu mwenyewe ni Samsung Galaxy Note 10+. Ina mwezi mmoja tangu niinunue, ina risiti niliyonunulia na boksi lake
Bei ni laki 8.5, inapungua kidogo sana
Kwa aliye serious anifuate DM
Location, nipo Dar es salaam
Simba ni kama maji.
Ndio team pekee inayotung'aalisha kimataifa.
Ninaweka mapendekezo yangu ya formation ya leo.
Lengo ni kwamba leo tunataka kufunga mengi.
Kwa kweli simu nilizoamini ni nzuri ni pamoja na Samsung lakini kwangu imekuwa tofauti, mwanzoni simu ilikuwa vizuri lakini sasa hivi natamani kurudi kwenye tecno na infinix, maana nikiwa safarini nawaona wenzangu wakivinjari kwenye mitandao ya kijamii mwanzo mwisho wa safari lakini hili la...
Samsung Galaxy A32
Bei:750,000Tsh
PHONE:0622666111
RAM:6gb
internal storage 128gb
camera:64MP+8MP+5MP+5MP
battery:5000mAh,fast charging 15w
Os:Android 11, One UI 3.1
Network:LTE
warranty:samsung care + 2years na warrant ya kioo 1 year
karibu tupo china plaza ground floor tunaangaliana na lift...
Habari wanajukwaa kama kichwa cha habari kinavyojieleza nina samsung yangu galaxy A12 ime hard setiwa nahitaji msaada wa kutolewa pass nitalipia huduma
Msimu wa 2018/19 ilishika nafasi ya pili
Msimu wa 2019/20 ilitangazwa bingwa baada ya kuishia michezo 20 kati ya 30 kutokana na Covid19
Msimu wa 2020/21 hakukuwa na ligi kabisa anateuliwa kushiriki CAFCL.
Simba Sc Mungu awape nini. Msilete dharau,huyu mnamkazia kama mnacheza na Zamalek
Samsung Galaxy A03s zimeshafika brand new
Karibu tukuhudumie tupo kariakoo china plaza ground floor shop no 4 ,tupigie 0622666111
zinakuja na warranty ya miaka 2
Key Specs
☑️Display
6.50-inch (720x1600)
☑️Processor
MediaTek Helio P35
☑️Front Camera
5MP
☑️Rear Camera
13MP + 2MP + 2MP
☑️RAM
3GB...