Chief-Mkwawa Kwanini Google stadia ilifail wakati naona ilikuwa na potential kwa sababu ulihitaji tu kuwa ni kifaa cha interneet kama tv na chrome cast, laptop basi.
Hahikuhitaji ununue game consoles za bei mbaya na mtu unaweza kucheza game kali kali maana computing power inafanyika kwenye...
KARIBUNI SANA SKYGAMES KWA HUDUMA BORA YA MASUALA YA GAMES NA GAMING KWA UJUMLA 0710701361
TUNACHIP NA KUWEKA GAMES KWENYE PS4 PS3 NA PS2.PIA KUNA PC GAMES NYINGI SANA ZA KUTOSHA.
PES 2025 YA PS3 YENYE USAJILI KAMILI KABISA IKO TAYARI🔥🔥🔥
PES 2025 NA FC 25 KWA MASHINE ZA KUCHIP ZA PS4...
Simulator Games ni michezo inayolenga kutoa uzoefu wa maisha halisi kupitia mazingira ya kidijitali. Michezo hii inahusisha kuiga shughuli mbalimbali za kila siku au za kitaalamu, kama vile kilimo, udereva, upishi, au hata ueubani, n.k. michezo hii huweka mazingira halisi yanayosaidia wachezaji...
Anaehitaji softwares setup za Pc pamoja na games aje tuyajenge.
Adobe Photoshop, illustrator, after effects, premiere pro, InDesign n.k
Adobe master collection, 2021, .... 2024,2025
Microsoft office 2016 mpaka 2024.
Fifa,pes,Eurotruck simulator,GTA grand theft.
Na program nyinginezo...
PC GAMES ZINAPATIKANA KUANZIA ZA ACTIONS, RACING, ADVENTURES, SIMULATIONS NA SPORTS. BEI YENTU NI NAFUU SANA KUANZIA 5K NA KUENDELEA 0710701361 🔥🔥🔥
TUNA GAMES KUBWA NA ZILE NDOGO KWA AJILI YA PC ZA KAWAIDA KABISA. BAADHI YA GAMES ZILIZOPO
👉🏾PES 17 PATCH 25🔥🔥🔥
👉🏾FIFA 14 PATCH 25🔥🔥🔥
👉🏾PES 21...
Leo nimekaa nimewaza sana kuna games watoto wetu wanacheza siku hizi ila nyingi zina hatari sana. Games nyingi siku hizi wanacheza online na zinawakutanisha na watu wasio wajua kabisa. Hii ni hatari sana
Lakini pia siku hizi haya hizi games na cartoons zimekuwa na maudhuni ya ajabu mengi...
Hellow watu wangu wa games.
kwawale wanao penda games tu share website mbali mbali za kucheza na ku dawnload PC GAMES
Naanza na hizi;
https://oceansofgamess.com/
https://store.epicgames.com/en-US/free-games
https://store.steampowered.com/
https://www.g2a.com/
https://www.softpedia.com/
I will be short
1. Taifa stars inahujumiwa na watu wa TFF. Kuna watu waondoke stars tuwe modern?? What was that??
Kocha wa stars kama a dummy asiye na akili. What was that substitution?? AFCON he did the same.
2. Who hired a manager who has 0 achievements in the local league?
not a single...
POST
GAMES TUTOR II - 4 POST
EMPLOYER
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM)
APPLICATION TIMELINE:
2024-10-04 2024-10-14
JOB SUMMARY
NA
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
I. To assist senior games staff in their duties.
II. To assist in taking Charge of play grounds, courts and sports gear.
III. To...
Tanzania tunachukulia vitu poa sana.
Weka VPN ingia BBC iPlayer angalia kipindi kinaitwa ‘war games’ uone jinsi usalama wa taifa wa marekani walivyoogopa hii scenario na kutaka kujifunza hii situation isitokee tena kwa siasa za demagogue na wapotoshaji.
Sasa endeleeni kuwachekea...
Sababu ziko tofauti..
Mimi
1. Far cry 6
Hili rasmi nmelifuta leo, sikulimaliza bt sikulipenda nahisi game play yake halivutii kabisa. Gb 100
2. Dying light 2; stay human
graphics nzuri ni third personal, bt bora ingekuwa kutumia bunduki sasa ni mwendo malee weapon tu. Lilikuwa na Gb 90+
3...
Ikiwa mwanamke wako anatazama mpira wa miguu na ni shabiki wa timu fulani, ujue kwamba timu yoyote anayoishabikia ni mwanaume aliitambulisha kwake. Hasa mpenzi wake anayemkubali sana wanasema a true lover.
Ikiwa mwanamke wako mara aseme:
"Mimi ni shabiki wa Chelsea, wakati mwingine Man U...
●In collaboration with the IOC, and OBS, Samsung Galaxy technology will provide fans around the world with a new, up-close view of the world’s greatest athletes during the Games
SEOUL, Korea – June 19, 2024 – Samsung Electronics Co., Ltd., a Worldwide Olympic and Paralympic Partner, today...
Ndugu zangu , siku ya leo nawaletea SONY PS4 PADS
Full ku enjoy
Hii inaenda kwa 70,000/= tuuuuu
Karibu sana
Tupo kariakoo mtaa wa aggrey/ndanda
Tupigie au wasap - 0659588492
Maongezi yapo ,
Jumla na reja reja
KWA HUDUMA BORA YA MASUALA YA GAMES,KARIBU SANA SKYGAMES 0710701361
TUNACHIP NA KUWEKA GAMES KWENYE PS4 PS3 NA PS2.PIA KUNA PC NA XBOX GAMES NYINGI SANA ZA KUTOSHA.
FIFA14 PATCH 24 OFFICIAL KWA PC NA
PES 17 PATCH 24 KWA AJILI YA PC INAPATIKANA, 4GB RAM, 2GHZ PROCESSOR🔥🔥🔥
PIA PES 24 YA PS4 ZA...
Makonda is on a mission kumsafisha Magufuli kwa mazuri ya mama Samia.
Makonda ni mwanasiasa anayeweka maslahi yake mbele na kuutupa ukweli ili kuridhisha matakwa yake kisiasa.
Magufuli alikuwa na mafanikio yake, na madudu yake kibao.
Magufuli alifanikiwa na SGR, Bwawa la Mwalimu Nyerere na...
Wanariadha 8 wanatarajia kushiriki na kushindana kwenye Mashindano ya African Games (All African Games) yanayotarajia kufanyika kuanzia tarehe 8 - 23 Machi , 2024 huko Jijini Accra Ghana.
Michezo itachezewa kwenye miji mitatu; Accra, Kumasi na Cape Coast, na michezo itayochezwa ni pamoja ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.