Zote tatu ndani ya cd moja zikiwa zimeboreshwa graphics mpyaa kwa ulimwengu wa sasa.
system requirements
OS: Windows 10 (probably 64 Bit)
RAM: 8 GB.
Processor/CPU: Intel Core i5-2700K / AMD FX-6300.
Graphics Card/GPU: NVIDIA GeForce GTX 760 2GB / AMD Radeon R9 280 3GB.
Storage space: 45 GB...
Kama kuna Medali ambayo Taifa tunastahili basi ni Medali ya vipaji vya kuamini miujiza ya kuvuna tusichokipanda.
Kama tunavyofanya kwenye tozo, badala Mamlaka kuandaa kwanza Wananchi wenye uwezo wa kulipa 'tozo' wao wanaanza na tozo kwanza wakiahidi uwezo wa kulipa utakuja huko mbeleni.
Na...
Hello fellas.
Kuna fursa ya biashara ya playstations/games
Watu wengi wamekuwa wakiuziwa games kwa bei ghali sana pia wakiuziwa mashine ambazo sio imara.
Kuna mahali Kariakoo wanauza games kwa bei nzuri na mashine zao imara.
Ninachopenda toka kwao wanauza games original na wanazo mashine...
The 21-year-old, who idolises Cristiano Ronaldo, has already written her name into the record books at Tokyo 2020
Barbra Banda has played two matches at an Olympic Games – and she is already in the record books.
She is the first woman to score two hat-tricks in one women’s football tournament...
This is what actually Kaizer Chiefs have just done to Simba.
Wame waachia Simba washinde pambano (battle) whilst wao Kaizer Chief wameshinda Vita (war)
However hongereni sana watani kwa ushindi.
Even though ur victory was asymmetrical but mmekufa kiume.
# kifo hakina jinsia.
Nataka nianzishe biashara ya kuchezeshaa game aina ya playstastion ila kabla sijaanza inanibd nifanye utafiti kuhusu biashara. naomba kwaa aliye na uzoefu na hilo aniambie faida na hasara zake.
WADAU WANAOHITAJI MUONGOZO KUHUSU BIASHARA HII
MAJIBU NA MICHANGO YA WADAU
Niaje wananzengo?
Direct to the point.
Kwa wale waumini wa apps ambazo zinahitajika kufanya manunuzi ili upate baadhi ya huduma, karibuni sana hapa.
Utapakua apps unazozitaka na hata games vilevile (wewe mwenyewe) zikiwa tayari na full money ama coins ndani yake so wewe ni kufanya purchasing...
You can repeat a lie over and over again but it doesn't make what you say true, and US President Trump has been lying through his teeth his entire career as a real estate mogul, reality TV star, presidential candidate, and President of the USA. His lies are so prolific it's hard to catalog them...
Nikiwa kama mzazi, nililea watoto kwa msaada wa dada huku nikiwa na majukumu mengine. Mtoto wangu wa kiume alipenda gadgets na kila siku yake ya kuzaliwa alichagua game au play station mpya. Kwakua alikuwa na bodi shuleni niliona hii ni kama asante yake ya kuitendea vyema ada tunayolipa na Baba...
Nilipokuwa mdogo nlipenda sana game nilikuwa nkiona computer nachanganyikiwa kinachonijia akilini ni game kipndi kile nlikuwa sina uwezo wa kumiliki computer, washkaji zangu walipo kuja kuwa na computer nlitumia computer zao kucheza sana game mpk nilipo kuja miliki PC yangu, siku rizika...
Wakuu Habari,
Naombeni msaada nahitaji kununua gemes za Ps4 kwenye Store yao, ila shida inakuja hamna location ya Tanzania ukiwa unatengeneza account.
Iila nimetengeneza account nikaweka location US ila shida inakuja Kununua game account yangu ya Bank inakataaa Kuingia kwenye account yao ili...
Burudani ni kitu ambacho kipo kwenye kichwa cha kila mwanadamu. Wanasaikolojia wanadaia sehemu ya ubongo inayoanza kujitengeneza kwa mwili wa mwanadamu ni sehemu inayohusiana na starehe.
Kuna kipindi kabla ya kuja hizi ‘online games’, au games za kwenye simu kulikuwa na hizi game tunatembea...
Wakuu habari aisee nimepata ka PS 4 ka kunifariji kidogo na hizi stress sasa changamoto ni bei ya kununua CD za games kwa kweli ni gharama kwangu. Naomba msaada wa website nayoweza kudownload games (Napendelea games za soccer, Racing na action) nami nifurahie teknologia hii ya mabeberu.
Kama nilivyoandika hapo juu wakuu, nilikuwa nahitaji kuelekezwa sehemu au mtu anaeweza kuniwekea games kwenye ps4 gharama nitalipa ila awe na uwezo mzuri siyo mbabaishaji akaniharibia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.