Breaking news
Ofisi ya Deputy President na Prime minister haziguswi na maamuzi haya
Citizen TV
======
Rais wa Taifa la Kenya, William Ruto amewafuta kazi mawaziri wote wa Baraza lake, kufuatia shinikizo kutoka kwa vijana wa kizazi cha GenZ waliotaka mabadiliko.
Katika kutangaza mabadiliko...
Kule Sudan, Omari Bashir aling'olewa na maandamani ambayo hayakuwa na hayakuanzishwa na vyama vya upinzani.
Wale Gen Z sio wana siasa, ila muziki wao sio wa kitoto.
Sasa Bongo tumekaa nyuma ya Keybord tunangoja wapinzani watutengenezee maisha au watuletee mageuzi, hao wapinzani wakianza...
Neno "Kizazi Z" hutumika kuelezea kizazi cha vijana waliozaliwa mwishoni mwa miaka ya 1990 hadi mwanzoni mwa miaka ya 2010. Sifa kuu ya rika hili la vijana ni matumizi ya teknolojia ya kisasa kwenye maisha yao ya kila siku kama vile simu za mkononi na mitandao ya kijamii. Hivi karibuni nchini...
Gen Z tupo?
Tumekuwa tukisemwa sana hadi na mabroo kuwa tumelala, tupo nyuma, ninwaoga kama kunguru kukimbiza mabawa, lakini je, hilo ni kweli?
Najua tuko wengi humu kwanini sasa kwanini hatushiriki kudai haki zetu?
Kizazi chetu ndio kinaongoza kutumia teknolojia vizuri hata millenials...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.