general muhoozi

  1. J

    General Muhoozi: Sitagombea Urais 2026, nitamuunga mkono Yoweri Museveni kwenye uchaguzi

    General Muhoozi amejitoa kwenye kinyang'anyiro cha uRais wa Uganda na atamuunga mkono baba yake mzee Museveni Muhoozi atajikita zaidi kwenye kujenga Jeshi la kisasa Sabato Njema 🌹 ==========...
  2. Moronight walker

    General Muhoozi, mtoto wa Museveni kaitishia Kenya kwa mara ya pili

    Kwa mara ya pili mtoto wa Rais wa Uganda, General Muhoozi kaitishia Kenya kwa mars ya pili, na kusema nitakuja for sure. Na anadai wakenya wamuombe msamaha yeye. Mara ya kwanza Museveni aliomba Wakenya wamsamehe kijana wake ila kwa sasa kurudi tena. Kwa sasa tweet hizi zimefutwa!
  3. Moronight walker

    General Muhoozi, mtoto wa Rais Museveni anawaunga mkono M23

    Mtoto wa Museveni General Muhoozi simeone Twit yake leo akionyesha anaunga mkono m23 kwa kusema wanatafuta haki yao. Watu wengi wameshambulia lakini kuna wengine wamemuunga mkono.
Back
Top Bottom