Gen Alpha ni madogo waiozaliwa kuanzia 2010.
Nafikiri kielimu ndio bado vipo form 1, 2 or atleast 3 na mnaelewa mtoto wa form 2 siku hizi unakuta tayari ameshakuwa "porn star" au kama yupo mtaani tayari huyo ni mwanakijiji anafanya atakavyo maana siku hizi watoto hawataki kuitwa watoto.