In 2008, Barack Obama campaigned as a new kind of politician, someone who could bring America's disparate factions together in a new era beyond partisan politics.
Like many of Obama's campaign promises, things haven't quite worked out that way.
After eight years of his own partisan attacks...
Kila siku najisema wazi mimi ni MwanaCCM na sidanganyi lakini. Pia nakubali JPM anafanya vizuri ndiyoooooo (lakini ni kwenye jambo moja tu may be macro economics) lakini kuna mambo ameharibu sana (kuminya demokrasia, nepotism, rushwa kwa wapendwa wake imekithiri, wafanyakazi ndiyo nyang'anyng'a...
George Floyd, ambaye kifo chake huko Minneapolis wiki iliyopita kilisababisha maandamano makubwa juu ya udhalilishwaji wa watu weusi unaofanywa na polisi, alipatikana na virusi vya Corona wiki chache kabla ya kifo chake, ripoti ya uchunguzi wa mwili ya siku ya Jumatano imeonesha.
Hati yenye...
3 more cops charged in George Floyd death, other officer’s murder charge upgraded
Three former Minneapolis police officers were criminally charged Wednesday in connection with the death of George Floyd in their custody, according to court records.
In addition, Derek Chauvin, a fourth former...
Watanzania na waafrika wanapinga tukio la Askari kusababisha kifo cha Mmarekani George Floyd. Wamarekani wameandamana huku waafrika/watanzania wakitoa maneno makali mitandaoni na mitaani juu ya tukio hilo.
Kwangu mimi kifo au ukatili ule umenifunza kuwa umma ukiamua kupata mabadiliko lazma...
Haya maandamano hayana tena nia ya kutafuta haki, bali kutunisha mifuko ya majangiri, kinachoendelea huko kwa sasa hakihusiani na marehemu na kimegeuza protests kuwa riots.
Vifo vya wamarekani weusi kwa kuuwawa na mapolisi pengine vimegeuka kuwa discount ya asilimia 100 kupata bidhaa madukani...
Wachezaji wa Simba wakiwa wamepiga magoti na kutengeneza herufi IM ikiwa ni ishara ya kulaani mauaji ya kijana Mmarekani mweusi, George Floyd aliyeuawa wiki iliyopita na askari wa kimarekani.
R.I.P George
According to Niamh Cavanagh, News Reporter of The Sun.co.uk...........George Floyd was a 46-year-old Minneapolis resident who worked as a security guard at a Latin American restaurant called the Conga Latin Bistro in the city.
According to the Star Tribune, Floyd had worked at the restaurant...
Tokea tukio la kikatili na kibaguzi lililopelekea kifo cha George Floyd, mashirika ya haki za binadamu yapo kimya sana tofauti na ilivyo upande wa mataifa ya kiafrika.
Tumezoea kuona mashirika haya yakikemea vitendo vya uvunjifu wa haki za binadamu katika nchi za ki-Africa lakini leo hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.