george

George Papagheorghe (born 22 June 1982, in Constanța) a.k.a. Jorge and at times GEØRGE is a Romanian singer, dancer and TV host, specially for the talent competition România dansează on Antena 1 starting 2013.

View More On Wikipedia.org
  1. CK Allan

    George Mpole amka la sivyo utapotea

    George Mpole wewe ni kijana uliyevimba kichwa baada ya kuwa mfungaji bora msimu uliopita. Picha lilianza mechi ya kwanza ya ligi shidi ya Simba, wewe ukajificha kwa makusudi eti hautakuwepo kwa maana eti utokee dakika za mwisho kama 'suprise' kwa Simba na bado hukufanya chochote, hata :shot on...
  2. Bujibuji Simba Nyamaume

    Je unapenda chips? Mjue George Speck mgunduzi wa chips

    UNAAMBIWA: Chips za viazi zilianza kutengenezwa rasmi Mwaka 1853 baada ya Mmarekani mweusi George Speck maarufu Crum (Mpishi) kupata hasira kisa Wateja wake kumlaumu kuwa anawawekea viazi vyenye mapande makubwamakubwa. Alipoona Wateja wanamkera akaamua kuwakomoa kwa kukata vipande vidogovidogo...
  3. Tango73

    Yanga fuatilia mechi za El hilal au St george kabla ya Oct 7

    Yanga itapambana na mmoja kati ya timu hizo ili mshindi aingie mechi za makundi. Tatizo lipo kwetu yanga tunaanzia nyumbani na kumalizia ugenini kutokana na ratiba ya mechi . Ili kuzifunga mabao mengi nyumbani El Hilal au St George ni lazima kujua aina ya uchezaji wao ili mbinu zetu...
  4. hempustler_007

    SoC02 Prof. George Wajackoyah na sera yake dhidi ya bangi

    “Hempu ni hitaji la kwanza la ulazima kwa utajiri na ulinzi wa nchi…huduma kubwa/ nzuri ambayo inaweza kupewa taifa lolote ni kuongeza mmea wenye manufaa kwenye utamaduni wake.” –Thomas Jefferson, Raisi wa tatu wa Marekani na muasisi wa taifa hilo. Mgombea Uraisi wa Kenya Prof. G. Wajackoya...
  5. M

    St George v/s Al Hilal naona Al hilal wanayo quality ya wachezaji lakini hawana timu, washakula 2 bila mpaka sasa

    Nafikiri kwa timu yoyote itayovuka kati ya hizi kukutana na yanga basi itatakiwa ifanye kazi ya ziada mara 2 kuizuia yanga, naangalia mechi yao hapa inayoendelea sijaona timu ya kuisumbua yanga, Al Hilal wanao wachezaji wazuri lakini wanakosa muunganiko kila mchezaji anacheza kwa uwezo binafsi...
  6. N

    Mwanaspoti: George mpole darasa la saba 2005, sua 2010

    naaam niko hapa napitia mahojiano ya ya mpole na makanjanja ya mwanaspoti mambo ni bull bull
  7. LIKUD

    Yusufu Ally anae pigana na George Bonabucha ni bondia mzuri sana

    Kwa jiinsi Bonabucha alivyo offensive kama Yusuf Ali angekuwa bondia wa hovyo hovyo tayari ingekuwa knock out. Ame ni impress sana . Ni sugu sana and very professional. Akipata watu wa ku invest kwenye career yake ni bonge la bondia
  8. mtwa mkulu

    Kenya 2022 Mfahamu George wajackoyah: Mgombea urais Kenya anayesisimua kwa Bangi na sumu ya Nyoka

    Mgombea George Wajackoyah Wakati mmoja alikuwa mtoto wa kurandaranda mitaani nchini Kenya na wakati mwengine akawa mchimba kaburi nchini Uingereza, George Wajackoyah amekuwa kivutio cha kisiasa kwa kugombea urais wa Kenya kupitia ahadi ya kuligeuza taifa hilo la Afrika Mashariki kuwa muuzaji...
  9. Gordian Anduru

    Kwahiyo George Mpole ni zaidi ya Sadio Mane na Lukaku

    Ndiyo George Mpole kamaliza ligi na magoli 17 kwenye ligi yetu madafu wakati Sadio Mane kaishia goli 16 na lukaku hata magoli kumi hakufikisha EPL Imeibuka tabia isiyo ya kiungwana ya kulinganisha wachezaji waliotokea ligi za maana na takwimu za wachezaji wa ligi yetu ya madafu. Unakuta mtu...
  10. EINSTEIN112

    Derek Chauvin sentenced to 21 years on federal charge of violating George Floyd’s civil rights

    Former Minneapolis police officer Derek Chauvin has been sentenced to 21 years in prison on a separate federal charge of violating black man George Floyd’s civil rights. While handing down Chauvin’s sentence on Thursday afternoon, US District Judge Paul Magnuson said: ‘For your actions, you...
  11. Tango73

    George Mpole jifunze kwa Adam Salamba

    George upo bawna mdogo! Kwa sasa Simba na Yanga sio vilabu vya kujiunga navyo ukiwa tayari umukata kuchezea timu ya taifa. Salamba Adam kamaliza kipaji chake cha Goal getter baada ya kujiunga na mkeka wa Simba. Yusuph Mhilu kaua mpira wake baada kujiunga na mkeka wa Simba. Nasema mkeka wa...
  12. kavulata

    George Mpole endelea kubaki Geita Gold, hutajutia

    Mwanangu George Mpole hongera sana kwa kuonyesha juhudi uwanjani katikati ya ligi iliyojaa wageni wengi, juhudi zako zinatamanisha wapenda soka wote duniani. Lakini lakini lakini bado unahitaji kuonekana tena tena kwa wadau wa mpira ukirudia kukifanya hiki ulichokifanya kwenye msimu huu ili...
  13. S

    George Bush amlaumu Putin kwa kuivamia 'IRAQ' kijeshi kwa uonevu pasi na haki

    George Bush kamlaumu vikali rais Putin wa Russia akisema kuwa Putin kaivamia Iraq kijeshi kwa uonevu tu pasi na sababu yoyote ya msingi... Bush aliposhtukia kuwa anaongea mambo ya ajabu aliyoyafanya yeye mwenyewe Iraq, akacheka kwa kuchapia kisha akasingizia uzee wake. Mwaka huu tutaona mengi...
  14. OKW BOBAN SUNZU

    Simba Sc mnasubiri nini "kukaa kama kamati" na George Mpole

    Mimi sina maneno mengi. Huyu kijana haitaji uchambuzi mreeeefu,ni kitendo cha kukaa meza moja na timu na menejimenti yake basi. Kwani yeye hataki kushiriki fainali za CAF Champions mwakani?
  15. Christopher Wallace

    George Job: Simba haiwezi mechi za mtoano

    Mchambuzi wa michezo kutoka Wasafi Fm, George Job amesema klabu ya Simba bado haijajiandaa vema katika mechi za mtoano. Kikosi cha Simba ilkinaweza kupambana vizuri kwenye mechi za makundi ila linapokuja suala la mechi mbili za mtoano hapo ndipo ulipo mtihani kwa Simba SC. Kwa kauli hiyo ni...
  16. B

    TCD endapo mtaelewa kauli aliyoitoa George (Mkenya) mtatambua hakuna Tume bila Katiba na hakuna Katiba bila Tume Huru

    George amewaeleza wananchi mambo muhimu sana ambayo kwa historia ya Kenya kwenye mchakato wa Katiba hakuna tofauti na Tanzania. Kenya walikusanya maoni ya wananchi then chama tawala na Serikali wakayakataa hayo maoni yaliyokuwa na jina la BOMAS. Chama tawala wakaanzisha mchakato wao na...
  17. pingli-nywee

    George Wajackoyah: Nitakuwa Rais wa kwanza barani Afrika kuhalalisha Bangi

    Wakili maarufu, George Wajackoyah, amezua gumzo hivi karibuni nchini Kenya. Hii ni baada ya kujitosa rasmi kwenye kinyang'anyiro cha kugombea kiti cha urais, kwenye uchaguzi mkuu, baadaye mwakani. Alipoibuka na moja ya sera yake ya kipekee, alipozungumza na wanahabari jijini Nairobi. Wajackoyah...
  18. Sky Eclat

    This is George W. McLaurin in 1948 being segregated from the rest of his University class.

    This is George W. McLaurin in 1948 being segregated from the rest of his University class. He was the first African-American to attend the University of Oklahoma. He became a Professor and because of his courage he enabled minority groups to attend University.
  19. Sky Eclat

    11th of December 1936 King George VI became King of England

    King George VI became king on this day in 1936. This photograph, depicting the new king with Queen Elizabeth and their young daughters Princess Elizabeth and Princess Margaret, was taken by Marcus Adams just four days after the accession and was intended to meet the demand for images of the...
Back
Top Bottom