gereza

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mateso ya Mdude Nyagali ndani ya kuta za Gereza la Ruanda

    Na John Pambalu Mara milango ya gereza ikafunguliwa. Askari akasisitiza acheni simu zenu na Muingie watu 4 tu. Tukaambatana na viongozi wawili wa chama wilaya ya Mbeya mjini, mimi pamoja na Kamanda Mwaipaya tukaingia ndani ya lango la Gereza. Mwenyekiti umekuja?. Ilikuwa sauti ya Mdude...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…