ghana

Ghana ( (listen)), officially the Republic of Ghana, is a country in West Africa. It spans along the Gulf of Guinea and the Atlantic Ocean, sharing borders with the Ivory Coast in the west, Burkina Faso in the north, Togo in the east, the Gulf of Guinea and the Atlantic Ocean in the south. Ghana covers an area of 238,535 km2 (92,099 sq mi), with a population of 31 million. It is the second-most populous country in West Africa, after Nigeria; and Accra is its capital and largest city.
The first permanent state in the territory of present-day Ghana dates back to the 11th century, the Bono State. Numerous kingdoms and empires emerged over the centuries, of which the most powerful were the Kingdom of Dagbon, and the Ashanti Empire. Beginning in the 15th century, the Portuguese Empire, followed by numerous other European powers, contested the area for trading rights, until the British ultimately established control of the coast by the late 19th century. Following over a century of native resistance, what are now Ghana's borders follow the lines of what were four separate British colonial territories: Gold Coast, Ashanti, the Northern Territories and British Togoland. These were unified as an independent dominion within the Commonwealth of Nations on 6 March 1957.Ghana is a multinational state, home to a variety of ethnic, linguistic and religious groups. According to the 2010 census, the vast majority, or 71.2%, of Ghana's population was Christian, 17.6% was Muslim, and 5.2% practised traditional faiths. Ghana's diverse geography and ecology ranges from coastal savannahs to tropical rain forests. It is a unitary constitutional democracy led by a president who is both head of state and head of the government. Ghana's growing economic prosperity and democratic political system have increased its regional influence in West Africa. It is a member of the Non-Aligned Movement, the African Union, the Economic Community of West African States (ECOWAS), Group of 24 (G24) and the Commonwealth of Nations.

View More On Wikipedia.org
  1. BARD AI

    Nicki Minaj aanzisha Record Label yake, amsaini msanii kutoka Ghana

    Siku chache baada ya kuachia ngoma mpya ya “Red Ruby Da Sleeze”, Rapa huyo kutoka Marekani ameweka wazi ujio wa Label kupitia #QueenRadio inayoruka kupitia Amazon Amp. Amesema Lable hiyo itakuwa chini ya #RepublicRecords na tayari amewasaini wasanii chipukizi ambao ni London Hill, Tate Kobang...
  2. mwanamwana

    TANZIA Christian Atsu apatikana ndani ya kifusi Uturuki akiwa amefariki dunia

    Christian Atsu amepatikana ndani ya kifusi siku 12 baadaye baada ya tetemeko la ardhi kuikumba Uturuki na Syria. Taarifa ya kifo chake zimethibitishwa na wakala wake anayeitwa Nana Sechere Pia soma - Mchezaji wa kimataifa kutoka Ghana anaswa kwenye vifusi nchini Uturuki ==== Nana Sechere...
  3. Nyani Ngabu

    1957 High School Debate about Prejudice: Nigeria, Ethiopia, Ghana & South Africa

    I wasn’t sure where to file this under. So I just filed it under the most popular sub-forum of Politics. The JF powers that be can re-file it where it’s more appropriate, if they see fit. But damn! I’m impressed by these kids. Especially the Nigerian boy. He debated with so much aplomb that...
  4. Suzy Elias

    Kile kiandishi uchwara cha Ghana kimepigwa ban nini na Instagram?

    Ni kilichokuwa kikijiita Micky junior. Naona wajuba wamesepa naye na mitandao yake haipo hewani tena na haijulikani kafanyaje. Ikumbukwe, mara zote kalikuwa kakitumiwa na Babra kuiharibu image ya Yanga makusudi.
  5. BARD AI

    Rais wa Ghana awataka Marais wa Afrika kuacha kuwa 'omba omba'

    Akizungumza kwenye Mkutano na Rais Joe Biden wa Marekani na Marais takriban 50 wa Afrika, Rais Nana Akufo-Addo amesema Afrika lazima iache kutegemea nchi za Magharibi ili kubadili mitazamo duni kuhusu bara hilo. Amesema "Tukiacha kuwa ombaomba na kutumia pesa zetu, Afrika haitakuwa na haja ya...
  6. kimsboy

    Ghana kuipiga kando dola ya Marekani katika ununuzi wa mafuta

    Nov 26, 2022 02:33 UTC Serikali ya Ghana inaanda sera mpya ya kununua bidhaa za mafuta kwa kutumia dhahabu badala ya sarafu ya dola ya Marekani. Makamu wa Rais wa Ghana, Mahamudu Bawumia amesema katika ujumbe alioutuma kwenye mtandao wa Facebook kuwa: Iwapo mpango huu utatekelezwa barabara...
  7. JanguKamaJangu

    Ghana: Rais amfuta kazi Waziri wa Fedha kwa tuhuma za rushwa

    Hatua hiyo imefikiwa baada ya kudaiwa aliomba rushwa kwa mwekezaji wa madini ya dhahabu ili amtengenezee njia ya kufanikiwa. Aidha, Rais wa Ghana, Nana Akufo-Addo amempeleka kiongozi huyo, Charles Adu Boahen kwa waendesha mashtaka ili kukabiliana na tuhuma hizo. Inadaiwa Boahen aliomba Dola...
  8. BARD AI

    Raia wa Ghana wadaiwa kuiba Sh 1.6 bilioni benki

    Raia wa Ghana, Valentine Zancheus (42) na Mtanzania, Fortunatus Bundala(36) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashtaka manne likiwemo la wizi na kuingilia mifumo wa Benki ya BancABC na kujipatia na Sh1.6 bilioni mali ya benki hiyo. Washtakiwa hao wamefikishwa...
  9. Lady Whistledown

    Ghana yachunguza tukio la Tiktoker aliyetishia kuua wagonjwa

    Baraza la Uuguzi na Ukunga nchini humo, limetangaza kumchunguza Mtengeneza Maudhui wa mtandao wa TikTok, anayedaiwa kuwa Mwanafunzi wa Uuguzi baada ya kuchapisha video inayodaiwa kutishia kuua wagonjwa Katika video hiyo, alionekana akiwa amevalia sare za shule ya Uuguzi na kudai atamuua mgonjwa...
  10. Championship

    Aibu, Ghana ilijenga Pokuase flyover kwa dola 94M wakati Tanzania imejenga daraja la Kijazi kwa dola 100M. Wote walitumia mikopo. Fananisha picha

    Hii hapa Pakuase flyover. Na hili hapa daraja la Kijazi Nadhani wote tunaweza kuelewa tatizo letu lilipo.
  11. N

    HESHIMA KUBWA: Jukwaa la uwanja kupewa jina la Okrah huko Ghana

    Klabu yake ya zamani ya Bechem imempa heshima kubwa sana, katika uwanja wao wanajenga jukwaa jipya kwa pesa zote walizopata za kumuuuza Okrah kwenda simba sc na jukwaa hilo litaitwa kwa jina lake, Augustine Okrah stand.
  12. Midimay

    Ghana wamefikia default; IMF wamesema watawadhamini. Je, tupo salama kiuchumi huko tuendako?

    Habari za jioni wakuu. Miaka miwili nyuma, Ghana ilikuwa nchi ya mfano katika ukuaji wa uchumi barani Afrika. Bin Vuu, 2022 Ghana ipo katika mgogoro mkubwa wa kiuchumi. Ghana inaelekea kwenye default. Ghana ipo katika njia ya Sri Lanka. Inaelekea kushindwa kulipa madeni yake inayodaiwa katika...
  13. JanguKamaJangu

    Ghana: Mbunge apondwa na makopo, akimbizwa na wananchi kwa ahadi za uwongo

    Vijana wenye hasira Nchini Ghana katika eneo la Suame, ikidaiwa pia wamempiga makofu, kumtukana pamoja na kumwagia maji Mbunge wao, Osei Kyei Mensah-Bonsu, wakidai amekuwa na ahadi za uwongo kwa kutotimiza ahadi zake za kurekebisha miundombinu. Osei Kyei Mensah-Bonsu ni Mbunge wa Chama cha New...
  14. Lady Whistledown

    Virusi vya Marburg vyathibitishwa nchini Ghana

    Ghana imethibitisha visa viwili vya Virusi vya #Marburg, ugonjwa wa kuambukiza ulio katika familia moja na Virusi vinavyosababisha #Ebola huku wagonjwa wote wawili wakiripotiwa kufariki Kusini mwa Ashanti. Maafisa wa Afya nchini humo wamesema Sampuli zilizochukuliwa kutoka kwa wagonjwa hao...
  15. Gordian Anduru

    Timu ya Taifa Ghana, mchezaji Okrah kacheza mechi gani?

    Nasikia ni mchezaji wa timu ya taifa. Nimefuatilia mechi za kufuzu world cup sijamuona. Hata zile game mbili za play off ghana vs nigeria hakwepo kwenye line up. Je, ni wale wachezaji wanaoitwa timu ya taifa inapocheza CHAN? Au Je ni wale ambao kambi inapoanza wanaitwa 40 kisha kwenye...
  16. Lady Whistledown

    Visa viwili vya Ugonjwa wa Virusi vya Marburg vyathibitishwa nchini Ghana

    WHO imetuma timu ya wataalam nchini humo ili kusaidia wahudumu wa afya wa kujiandaa kwa uwezekano wa mlipuko baada ya kurekodi visa viwili vya virusi vya Marburg, ugonjwa wa kuambukiza ulio familia moja na virusi vya Ebola, baada ya majibu ya vipimo vya awali kutoka kwa wagonjwa wawili...
  17. Lady Whistledown

    Raia nchini Ghana waandamana kupinga gharama kubwa za maisha

    Waandamanaji katika mjini Accra wamekusanyika kwa siku ya pili ya maandamano dhidi ya kuongezeka kwa mfumuko wa bei na matatizo mengine ya kiuchumi. Ghana ikiwa moja ya nchi zenye uchumi mkubwa zaidi wa Afrika Magharibi na ilishuhudia ukuaji wa uchumi ukipungua kwa hadi asilimia 3.3 mwaka hadi...
  18. BigTall

    Bernard Morrison arudi Dar, aomba jezi 100 za Simba ili aende nazo Ghana

    Andiko la Bernard Morrison: "Mara nyingi tunakatishwa tamaa na wale tunaowapenda na kuwaamini. lakini wacha nifanye hadithi yangu kuwa fupi na rahisi, nahitaji vipande 100 vya jezi za simba kutoka kwa mashabiki waaminifu ili zipewe marafiki na familia nchini Ghana. "Hii ni kutokana na nyinyi...
  19. Lady Whistledown

    #COVID19 Bunge nchini Ghana kuchunguza matumizi ya Trilioni 3.5 za COVID-19

    Wabunge wameidhinisha mpango wa kuchunguza matumizi ya Tsh. Trilioni 3.5 zilizotengwa kudhibiti kuenea kwa COVID19 na kuwaokoa raia dhidi ya athari za kiuchumi za janga hilo kufuatia madai ya kutofautiana kwa stakabadhi za malipo yaliyowasilishwa Bungeni na Waziri wa Fedha, Ken Ofori-Atta...
  20. L

    Benki ya AfDB yafanya mikutano ya mwaka nchini Ghana

    Benki ya Maendeleo ya Afrika AfDB imefungua mikutano yake ya mwaka 2022 huko Accra, Ghana ikihudhuriwa na viongozi, wanasiasa na wanateknolojia wa Afrika. Rais Nana Addo Dankwa wa Ghana kwenye ufunguzi wa mikutano hiyo amewataka wakopeshaji wa masharti nafuu wa bara hilo kuisaidia Afrika...
Back
Top Bottom