ghetto

A ghetto (Italian pronunciation: [ˈɡetto]; from Venetian ghèto, 'foundry'), often the ghetto, is a part of a city in which members of a minority group live, especially as a result of social, legal, or economic pressure. Ghettos are often known for being more impoverished than other areas of the city. Versions of the ghetto appear across the world, each with their own names, classifications, and groupings of people.
The term has deep cultural meaning in the United States, especially in the context of segregation and civil rights; as such, it has been widely used in the country to refer to inner-city neighborhoods that are mainly African American and/or poor. It is also used in some European countries such as Romania and Slovenia to refer to poor neighborhoods.The term was originally used for the Venetian Ghetto in Venice, Italy, as early as 1516, to describe the part of the city where Jews were restricted to live and thus segregated from other people. However, early societies may have formed their own versions of the same structure; words resembling ghetto in meaning appear in Hebrew, Yiddish, Italian, Germanic, Old French, and Latin. During the Holocaust, more than 1,000 Nazi ghettos were established to hold Jewish populations, with the goal of exploiting and killing the Jews as part of the Final Solution.

View More On Wikipedia.org
  1. Nomadix

    Kitu gani ulikikuta kwenye nyumba au ghetto kikakushangaza sana?

    Niliwahi kwenda ghetto la mwana fulani nikakuta anapikia bunsen burner! Nilipigwa butwaa kucheki pembeni kitandani ametandika shuka la msd. Cc: Joanah | Mshangazi dot com | Intelligent businessman | mshamba_hachekwi | Half american | Mallerina | makutopora | To yeye | cocastic | Numbisa |...
  2. Kiranja Mkuu

    Demu aliyeniambukiza gono kaja tena ghetto

    Huyu demu nilikutana naye haja jamvini, nikajisogeza PM kwake na zozo zogozi likaanza taratibu, tukawa marafiki tukitoka mida ya jioni kazini tunapitia K Tea Shop kupata kikombe cha kahawa na sambusa. Tuliendelea kwa wiki kadhaa, kabla sijaomba mchezo. NI yeye aliyetaka tukaangalie movie usiku...
  3. Azoge Ze Blind Baga

    Tangu nianze kuishi na demu ghetto nimeacha Nyeto

    Hakika dawa ya kuacha nyeto automatically ni kukaa na mwanamke pamoja Nlikua mdau wa nyeto a.k.a mkono bao tangu mwaka 2004 hadi mwanzoni mwa mwaka 2025 Hatimaye nikapata mtoto mzuri wa mwaka 2005 naishi nae maskani, huwezi amini ni mwezi sasa nimeachana na nyeto na siitamani tena Maana...
  4. W

    Ghetto linapoteza raha yake ukifika 30's, nyumba ya kupanga inakupa stress ukivuka 40's, jibane unavyoweza uwe na nyumba yako.

    Mahitaji makuu matatu ni Chakula, nguo na Malazi Usipokuwa na kwako ni sawa na kuazima nguo au kula kwa jirani Tafuta kiwanja chako mapema hata kama ni nje ya mji anza taratibu kujenga kwako. Maisha ya Ghetto huwa ni ya kuanzia kwa vijana wengi wadogo wanapoondoka makwao lakini hoo stage ina...
  5. Mjanja M1

    Bachelor ukirudi ghetto ni nini kinakupa Company?

    Ambao hamjaooa huwa mnafanya nini kuondoa upweke uwapo ghetto? Tiririka tupate maujuzi nasisi.... Note: Mjanja M1 kwasasa napatikana Shanghai nchini CHINA 🇨🇳
  6. Mstoiki

    Hivi Mtoto wa kike akija Ghetto kwako lazima Kujigi-jigi?

    Mambo vipi wakuu? Binafsi naamini wakati wote Mrembo anapokuja ghettoni kwako si lazima Mjigijane... Muda mwingine unaweza ukaishia kupiga nae Story tu..... au Mkacheki Muvi.... au Mkacheza video games.... Naamini ni kuonesha umekua kihisia hata kuongeza uaminifu kwa Mwenzako... We unaonaje...
  7. Paul dybala

    Manzi wangu nimemfukuza ghetto ila tatizo kagoma kuondoka je nifanyeje?

    Wakuu..mimi ndugu yenu ninaombeni ushauri na msinichoke,muda huu ninavyoandika nikielezea hali inayonisibu sasa hivi na ni live sio kama naota. Kwanza kabisa nitoe pongezi za dhati kwa wachangiaji wa uzi wangu wa mrejesho uliopita kwa kuyafanyia kazi mawazo yao na miongozo yao walionipatia na...
  8. Tajiri wa kusini

    Umewahi kuingia ghetto na manzi halafu ukashindwa kumla?

    Yule demu Jana nimemmind Sana na yeye anajua aisee! How come demu aingie ghetto halafu ukashindwa kumla? Au alikuwa ananiigizia kwamba nisimuone Malaya? Anyway na nimemblock sasa Kuna manzi Jana nimeingia ghetoni kwangu na demu nilimpanga aje hapa ghetoni kwangu aisee nimetumia almost masaa...
  9. Mturutumbi255

    Drama za Utotoni: Kisa cha Leah na Ghetto la Mchongo

    Eee bwana eeh, stori za mtaa ni noma sana! Basi ebwana, ulikua utotoni kwetu mtoto wa kike mrembo alikua mmoja tu, Leah yule kapisi keupe, si unajua tena sisi wanaume tulivyokuwa tunamuwania. Sasa Leah huyu alikuwa ndo kidume, yeye ndiye anachagua leo rafiki yake awe nani. Na ikifika zamu yako...
  10. KatetiMQ

    Unaweza kulala nje kisa mshikaji wako kaingiza demu gheto?

    Kuna mambo yanafurahisha na kusikitisha kwa pamoja Kuna vitu havikwepeki hasa suala mbususu Yani utajizuia lakini kwa mwanaume ngumu pamoja na ugumu huo na tunaweza kumudu kufanya starehe ya namna hiyo kwenye mazingira magumu watoto wa mjini wanasema poa tu hiki ndicho kilichomkuta kijana huyu...
  11. KIBUGAmk

    Mwanamke wangu kaja ghetto na rafiki yake

    Kuna demu nimemtongoza akanikubali basi baada ya muda akawa ananiuliza " Baby unaish wap Natalie Nike kukuona honey Wang" basi kidume kdume nikamwambia " usijali malaika wangu muda si vilee utaiona kambi yang".. Basi demu akawa anafurahi kweli anasema " jamani we honey utaniandalia zawadi...
  12. The dumb Professor

    Kwa bajeti ya milion 2 niwekeje ghetto liwe Kali?

    Wataalam, Asiwadanganyeni mbwa yeyote kukaa kwa baba mkwe jau sana...Hii nyumba nayoishi masaki ni ya baba mkwe, Sasa juzi kati luku iliisha nikampigia kumuomba anunulie nyumba yake umeme,looh hayo maneno niliyomwagiwa ni heri kumwagiwa maji ya ukoko. Sasa kwa hasira nachofanya mshahara...
  13. RoadLofa

    Album kali ya kusikiliza ukiwa na Mpenzi wako room au ghetto

    Kati ya album ambayo unatakiwa kuisikiliza ukiwa na Mtoto mzuri Ghetto nakushauri uweke album ya Ed Sheeran -Divide umo ndani Albino kaimba mapenzi balaa yaani Mtoto atajikuta karopoka I love you na kapanda kitandani bila Kutumia nguvu. Umo ndani Kuna mikwaju hatari sana kama vile 1. Perfect...
  14. Pang Fung Mi

    Kuna wadada wakija ghetto wanachukua kitu chochote cha kwenda kuturogea. Nimefunga camera wameanza kuumbuka vibaya kabla hawajaondoka najisanua

    Wasalaam, Nawakumbusha tena camera ambazo ni ngumu mtu kujua zimejaa tele , kuondokana na hii vita ya wadada ama wanawake kuwa na mpango wa kuturogea kimapenzi. Mimi najisanua kila mara nawaumbua, mpaka sasa wengi wanashangaa maana hakuna dalili za kuona camera popote pale, kamanda nimefunga...
  15. Analogia Malenga

    Kaja ghetto kapigwa mande

    Tunapenda muziki lakini mara nyingine kunakuwa na mistari ya kudhalilisha wanawake au kuchochea ukatili dhidi ya wanawake. "Kaja gheto kapigwa mande" ni mistari inayopatikana kwenye wimbo wa wapolo wa Weusi, hayo maneno yakiwa ni maneno ya G-Nako, ambayo kimsingi yanasifia ubakaji Serikali...
  16. Robert Heriel Mtibeli

    Ghetto langu lilinisaliti; Mrembo akanikimbia

    GHETTO LANGU LILINISALITI; MREMBO AKANIKIMBIA! Anaandika, Robert Heriel Vijana jijengeni! Wekeni mambo yenu Sawa kama mnataka hizi pisikali! Wanawake hawana Jema! Wengi ni materialists. Hakikisheni mnaishi sehemu nzuri na vitu vya ndani viwe vimenyooka. Mnyamwezi kama kawaida yangu ikifika...
  17. Pang Fung Mi

    Onyo Kali: Mwanaume usithubutu kuacha ghetto lako na kuhamia kwa Mwanamke. Ni hatari, utaumbuka mbeleni

    Hi, Ni onyo kali hata iweje usiache ghetto ukahamisha vitu vyako ukaenda kuishi na mwanamke kwake awe amejenga au amepanga, au kama mmepanga yeyw mwanamke ndiye awe anafahamika kwa mwenye nyumba ni kosa kubwa. Kwa asili wanawake hawatabiriki na hawana upendo wa kudumu, mwanamke anataka kitu...
  18. Pang Fung Mi

    Wanawake wakija ghetto kwa kazi maalumu wakiona mafuta ya kila aina wanafurahia sana

    Hello hello JF! 👇👇👇 Katika hali ya kuduwaza na kufurahisha, kitambo sasa nashuhudia wanawake wanaokuja ghetto kwangu kwa kazi maalumu ya kitume na kimaombezi nimeona kuna jambo linawafurahisha sana hasa tu wakiona mafuta ya aina nyingi ya kupaka kwenye dressing table. 1.Lotion aina 4 2. Mafuta...
  19. BARD AI

    Ghetto Kids washindwa kutamba fainali ya Britains Got Talent

    Kundi hilo la Watoto 6 wenye miaka 6 hadi 13 limepata upinzani mkali kutoka kwa Mshindi wa kwanza #ViggoVenn kutoka #Norway akifuatiwa na #LillianaClifton pamoja na mshindi wa 3 mwanamazingaombwe #CillianOConnor. Licha ya kushindwa, #GhettoKids walifanikiwa kuweka historia ya kupewa heshima ya...
  20. BARD AI

    Ghetto Kids kuweka historia mpya fainali za Britain's Got Talent?

    Kundi hilo linaloundwa na Watoto wenye vipaji vya kucheza na kuimba kutoka #Uganda limefanikiwa kuingia Fainali za mashindano ya vipaji ya #BritainsGotTalent ambayo kilele chake ni Juni 4, 2023. Waliofanikiwa kuingia Fainali ni #MusaMotha, Amy Lou, #ViggoVenn, Olivia Lynes, #GhettoKids, Travis...
Back
Top Bottom