Wanawake chonde chonde tupunguzieni kesi na lawama, mko siriazi kweli?
Mke wa mtu analazimisha aje aangalie movie za karate na Judo ghetto kwangu hivi hii ni nini?
Maadili yameenda wapi heshima imeuzwa wapi.
Uchumi wa Dunia uyumbe na umakini pia wa kujiheshimu nao uyumbe.
Tafadhali tuyaepuke...
Kundi la Ghetto Kids la Uganda laweka HISTORIA na Golden Buzzer kwenye British's Got Talent: Britain’s Got Talent ilirejea kwa msimu wake wa 16 siku ya Jumamosi ambapo kundi la densi la Uganda - GhettoKids - lilipata tuzo ya Golden Buzzer.
BritainsGotTalent ni shindano la vipaji...
This is the story of a young man who grew up in the ghetto with his mother. As a child, he didn't understand the struggles his mother faced to raise him and his siblings on her own. He caused her a lot of stress, including getting suspended from school and getting into trouble with the police...
Tarakimu hii "12",imenifanya niukumbuke mwezi wa kumi na mbili mwaka jana katika moja ya mtaa niliokuwa naishi nilikuwa na washkaji zangu kadhaa ambao tulipata kufahamiana katika jioni tulivu,wakati tunapiga stori simu yangu mfukoni ikavibrate kuashiria Kuna mtu ameni sms.
Sikuifungua haraka...
Kama umetuma nauli Na mwanamke hajaja ghetto basi wewe ndio mwenye makosa Na sio mwanamke ambae hajaja ghetto.
IPO namna ya kutuma nauli ambayo uki I apply mwanamke lazima aje ghetto.
( HAPA NAMZUNGUMZIA MWANAMKE AMBAE NDIO ANAKUJA GHETTO KWAKO KWA MARA YA KWANZA. )
Kabla sija elezea mbinu...
Hivi ndivyo wenzetu wanavyojali wachezaji wao...
Ona ghetto la mchezaji wao wa kimataifa linavyo fanana.
Yanga SC mna mengi sana ya kujifunza...kutoka kwa Boss Mo Dewji.
Ukikutana Na mdada Ukachukua namba yake, mkafahamiana kidogo, huna haja ya kumpeleka kwenye migahawa ghali, au kumlipia nauli, vocha, au kumpa pesa alizokuomba.
Wewe mueleze sehemu unapokaa, Na mda utakaokuwa free, Jibu pekee utakalotakiwa ulikubali, ni yeye kuja ghetto kwako, aje umvue nguo...
50 CENT, GHETTO ECONOMICS NA MUZIKI WA RAP - 2
YO! Peace,
Karibu ufuatilie sehemu ya pili ya mfululizo wa maandishi juu ya 50 Cent, Ghetto Economics na Muzikiwa Rap. Maandishi haya yatakufundisha mengi juu ya business management, Entrepreneurship, Marketing na pia muziki wa Rap. Am your...
50 CENT, GHETTO ECONOMICS NA MUZIKI WA RAP - 1
UTANGULIZI
Peace Family
Kwenye Kitabu nilichoandika cha “Uelewe Utamaduni wa Hip Hop” kuna sura inajulikana kama “Vita vya Kimashahiri mjini New York” na kati kati ya vita hiyo muhusika muhimu kabisa anajulikana kama Curtis Jackson au maarufu...
Tuachane na shughuli kitandani tuongelee makazi (Geto)
Kuna kadada kamoja nilidate nako mwaka jana nakumbuka swali aloniuliza "una geto kali hivi halafu huna hata mke"
Tupeane maujanja ni vitu gani vinahitajika GETO la kijanja ili mdada adate kwelikweli akiingia mara moja tu lazima atake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.