Kenya Government has shut down an orphanage in Lusaka's Chudleigh area, following allegations of sexual abuse and defilement involving a clergyman who is running
Hi.
Ushauri gani unaweza kumpa binti aliye in her early 20s ambaye anajiandaa kuhamia mji mkubwa kwa mara ya kwanza, kujihusisha na kazi ya waitress asiye na exposure ya maisha yoyote? Anajiandaa kuishi mbali na wazazi, kukutana na mazingira mapya, watu wapya, marafiki wapya, na hali mpya...
Katika zama hizi, dhana ya “Soft Girl Era” imechukua kasi kubwa, hasa kwenye mitandao ya kijamii. Wanawake wanajitokeza wakipigia debe maisha ya utulivu, starehe, na kujitunza—mara nyingi wakitoa picha za maisha yenye mwonekano wa kifahari na uzuri wa kila aina. Lakini hii ina maana gani? Je, ni...
Habari ndugu zangu.
Girl ni wa ki persian pure, kwao Tehran ila yupo bongo kwa muda.
Tumekuwa marafiki na nahitaji muongozo kutoka kwenu ili niliwakilishe vema taifa.
Asanteni.
Ewe mwanamke
wewe msichana
wewe binti
Usipotambua thamani yako kama mwanamke, zitakazoathirika ni
1. sehemu zako za siri
2. utu wako
3. saikolojia yako juu ya wanaume
4. afya ya akili yako
nakusahuri, jitambue, jielewe jua thamani yako, jua wewe ndio the price sio mwanaume
natoa darasa la...
Umekua kama tui la nazi kwenye penzi hili!, utamu wako ni kama hewa laini inayopuliza wakati wajoto.
Nikianza na ngozi yako nitamaliza na umaridadi wako!, unaponivutia zaidi ni pale unaposema unapenda upekupeku!.
Haha! kama ni tunu nimepata na kama ni nuru hakika unaangaza.
Si kwa miguno na...
Habari za asubuhi waungwana......
Wakati mwingine kukaa bila kazi ya kufanya inafanya kichwa kizurure kifikra na kupitia mawazo mbali mbali.......
Katika kuzurura huko kimawazo nikajikuta nimewakumbuka baadhi ndugu, jamaa na marafiki ambao imetokea wameangukia kwenye pendo la hawa wadada wa...
Nasemaje Nasemaje!
1. Mwanaume kama hakupi hela huyo hakupendi
2. Mwanaume kama alikuwa anakuoaga hela sahivi hakupi tena basi mapenzi kwako yalishaisha muda sana
3. Mwanaume kama unastruggle sana kumwomba hela ndio anatoa, huyo mapenzi kwako yalishaisha muda sana we hamisha mapenzi yako kwa...
Job type: Full-time
Who We Are
Girl Effect is an international non-profit that builds media that girls want, trust and need. From chatbots to chat shows, TV dramas to tech, our content helps adolescent girls in Africa and Asia make choices and changes in their lives.
We create safe spaces...
Septemba 7 mwaka huu, Cardi B na Offset waliungana kwa pamoja kumkaribisha ulimwenguni mtoto wao wa Tatu pamoja.
Cardi B ame-share nasi picha pamoja na video kwenye akaunti yake ya instagram, mtoto huyo ni wa Kike na anakuwa wa tatu akiwafuata; Kulture Kiari Cephus (6) na Wave Set Cephus...
Toka hii dunia naifahamu nimeweza kujionea watu wanaoongea na simu mara nyingi sana, kwanza ni Hawa watu wa call centre /phone operators wa makampuni makubwa kama TANESCO na mitandao ya Simu, Hawa masaa ishirini na nne ni simu tu , hakuna kingine shift Kwa shift ni simu tu.
Ukiachilia watu hao...
Kama mada ilivyo...
Huyu binti alimtumia mume wangu sms akamwambia I mess you. Awali niliipuzia kwamba anawasiliana na wanaume wake na lugha yake ya kukosea I miss you atakuwa amemess kweli.
Baadae nikamuona mume wangu amelala kwenye kochi akawa anampigapiga akimuamsha. Nikaona akasema naomba...
Moto unauma wewe assume kila siku unaungua kwenye kupika bado nguo za kusugua zinakusubiri. Kazi fulani hivi afu watu wanaidharau vibaya mno.
Sasa mbona na wenyewe wanazingua hawana umoja wao ni watu wanafanya kazi Kwa wakubwa kweli hakuna mjanja wa ku initiate Ka chama Hivi ikawa kazi RASMI...
Sifa za mwanamme
Mrefu maji ya kunde,
Elimu degree,
Umri 30,
Mpole na mcheshi,
Kajiajiri,kipato cha kubadilisha mboga tu.
Makazi Dodoma
Sifa za mwanamke anaehitajika
Elimu kuanzia form four
Umri kuanzia 20 - 35 awe smart
Dini yeyote,rangi yeyote kimo chochote
Akiwa na mtoto asizidi mmoja...
Growing up, I was told that a girl is like a white sheet. A small dot on the sheet is no longer considered beautiful. I was told to abstain from boys throughout my adolescence.
You grow up being told that you need to be tough, strong, endure pain, and be patient. How can you raise a family if...
Kaylee was left convulsing after she got her head beaten on the pavement outside of Hazelwood East High School.
Kaylee has not woken up yet and has swelling, major brain bleeding, frontal lobe damage and a fractured skull.
“Kaylee is fighting hard to stay alive and heal but this is only the...
Kutana na dada wa kazi alieenda shule Ella ambaye yeye anasema kazi yake ni usaidizi wa kazi za nyumbani.
Anasema licha ya kuwa na CPA yeye ni dada wa kazi na anafurahia kazi hiyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.