girl

  1. Informer

    KENYA: Unregistered Kisii orphanage shut down after defilement of a seven-year-old girl

    Kenya Government has shut down an orphanage in Lusaka's Chudleigh area, following allegations of sexual abuse and defilement involving a clergyman who is running
  2. Ellerie Bexley

    Una ushauri gani kwa Binti anayeanza maisha mapya mjini?

    Hi. Ushauri gani unaweza kumpa binti aliye in her early 20s ambaye anajiandaa kuhamia mji mkubwa kwa mara ya kwanza, kujihusisha na kazi ya waitress asiye na exposure ya maisha yoyote? Anajiandaa kuishi mbali na wazazi, kukutana na mazingira mapya, watu wapya, marafiki wapya, na hali mpya...
  3. Last_Joker

    Wanawake na ‘Soft Girl Era’: Ni Starehe tu au Ni Uthubutu wa Kuishi Maisha Bora?

    Katika zama hizi, dhana ya “Soft Girl Era” imechukua kasi kubwa, hasa kwenye mitandao ya kijamii. Wanawake wanajitokeza wakipigia debe maisha ya utulivu, starehe, na kujitunza—mara nyingi wakitoa picha za maisha yenye mwonekano wa kifahari na uzuri wa kila aina. Lakini hii ina maana gani? Je, ni...
  4. T

    Kuna aliyewahi kudate na persian girl humu anipe uzoefu?

    Habari ndugu zangu. Girl ni wa ki persian pure, kwao Tehran ila yupo bongo kwa muda. Tumekuwa marafiki na nahitaji muongozo kutoka kwenu ili niliwakilishe vema taifa. Asanteni.
  5. Money Penny

    Usipojitambua kama Msichana au Mwanaume, hizi ndio sehemu zako zitaathirika.... GIRL CODE NO 4

    Ewe mwanamke wewe msichana wewe binti Usipotambua thamani yako kama mwanamke, zitakazoathirika ni 1. sehemu zako za siri 2. utu wako 3. saikolojia yako juu ya wanaume 4. afya ya akili yako nakusahuri, jitambue, jielewe jua thamani yako, jua wewe ndio the price sio mwanaume natoa darasa la...
  6. KENZY

    Kwako Liberian girl

    Umekua kama tui la nazi kwenye penzi hili!, utamu wako ni kama hewa laini inayopuliza wakati wajoto. Nikianza na ngozi yako nitamaliza na umaridadi wako!, unaponivutia zaidi ni pale unaposema unapenda upekupeku!. Haha! kama ni tunu nimepata na kama ni nuru hakika unaangaza. Si kwa miguno na...
  7. KikulachoChako

    Uchunguzi usiokuwa rasmi;Ndoa za waliowahi kuwa madada wa kazi( ma house girl) zinadumu kuliko za hawa wengine.......

    Habari za asubuhi waungwana...... Wakati mwingine kukaa bila kazi ya kufanya inafanya kichwa kizurure kifikra na kupitia mawazo mbali mbali....... Katika kuzurura huko kimawazo nikajikuta nimewakumbuka baadhi ndugu, jamaa na marafiki ambao imetokea wameangukia kwenye pendo la hawa wadada wa...
  8. Money Penny

    Mwanaume kama hakupi hela, huyo hakupendi - Girl Code no 1 imeshuka

    Nasemaje Nasemaje! 1. Mwanaume kama hakupi hela huyo hakupendi 2. Mwanaume kama alikuwa anakuoaga hela sahivi hakupi tena basi mapenzi kwako yalishaisha muda sana 3. Mwanaume kama unastruggle sana kumwomba hela ndio anatoa, huyo mapenzi kwako yalishaisha muda sana we hamisha mapenzi yako kwa...
  9. Jamii Opportunities

    Social Media Moderator- Long-Term Consultancy (Individual Consultant) at Girl Effect September 2024

    Job type: Full-time Who We Are Girl Effect is an international non-profit that builds media that girls want, trust and need. From chatbots to chat shows, TV dramas to tech, our content helps adolescent girls in Africa and Asia make choices and changes in their lives. We create safe spaces...
  10. Waufukweni

    Cardi B na Offset wamkaribisha Mtoto wao wa Tatu, ni baby girl

    Septemba 7 mwaka huu, Cardi B na Offset waliungana kwa pamoja kumkaribisha ulimwenguni mtoto wao wa Tatu pamoja. Cardi B ame-share nasi picha pamoja na video kwenye akaunti yake ya instagram, mtoto huyo ni wa Kike na anakuwa wa tatu akiwafuata; Kulture Kiari Cephus (6) na Wave Set Cephus...
  11. Midekoo

    Im Just a Girl

  12. U

    Kwanini Mahouse girl wanaongea sana na simu kama call centre/phone operator

    Toka hii dunia naifahamu nimeweza kujionea watu wanaoongea na simu mara nyingi sana, kwanza ni Hawa watu wa call centre /phone operators wa makampuni makubwa kama TANESCO na mitandao ya Simu, Hawa masaa ishirini na nne ni simu tu , hakuna kingine shift Kwa shift ni simu tu. Ukiachilia watu hao...
  13. Annie X6

    Nahisi mume wangu anatoka na house girl wetu…

    Kama mada ilivyo... Huyu binti alimtumia mume wangu sms akamwambia I mess you. Awali niliipuzia kwamba anawasiliana na wanaume wake na lugha yake ya kukosea I miss you atakuwa amemess kweli. Baadae nikamuona mume wangu amelala kwenye kochi akawa anampigapiga akimuamsha. Nikaona akasema naomba...
  14. ndege JOHN

    Kuundwe siku ya mahouse girl, chama cha mahouse girl, kazi wanayofanya hakika ni ngumu

    Moto unauma wewe assume kila siku unaungua kwenye kupika bado nguo za kusugua zinakusubiri. Kazi fulani hivi afu watu wanaidharau vibaya mno. Sasa mbona na wenyewe wanazingua hawana umoja wao ni watu wanafanya kazi Kwa wakubwa kweli hakuna mjanja wa ku initiate Ka chama Hivi ikawa kazi RASMI...
  15. N

    Girl friend anahitajika baadae awe mke

    Sifa za mwanamme Mrefu maji ya kunde, Elimu degree, Umri 30, Mpole na mcheshi, Kajiajiri,kipato cha kubadilisha mboga tu. Makazi Dodoma Sifa za mwanamke anaehitajika Elimu kuanzia form four Umri kuanzia 20 - 35 awe smart Dini yeyote,rangi yeyote kimo chochote Akiwa na mtoto asizidi mmoja...
  16. LIKUD

    Aliyekuwa house girl wa Julius Malema apost picha za mtoto wake

    House girl mwenyewe Bonge la pisi kali
  17. Shining Light

    The Girl Manuscript

    Growing up, I was told that a girl is like a white sheet. A small dot on the sheet is no longer considered beautiful. I was told to abstain from boys throughout my adolescence. You grow up being told that you need to be tough, strong, endure pain, and be patient. How can you raise a family if...
  18. hermanthegreat

    Never date a girl who can't respect your wife

    Wakuu nawakumbusha tu, usidate girl ambaye hana heshima kwa mke wako. Naomba kuwasilisha
  19. 2 of Amerikaz most wanted

    The 15-year-old Missouri girl who was beaten unconscious has severe brain damage and a skull fracture

    Kaylee was left convulsing after she got her head beaten on the pavement outside of Hazelwood East High School. Kaylee has not woken up yet and has swelling, major brain bleeding, frontal lobe damage and a fractured skull. “Kaylee is fighting hard to stay alive and heal but this is only the...
  20. F

    Kuona Dada wa Kazi (house girl) mwenye degree ya Accounting pamoja na CPA inafundisha Uwekezaji wa kusomesha mtoto haupaswi kutumia gharama kubwa

    Kutana na dada wa kazi alieenda shule Ella ambaye yeye anasema kazi yake ni usaidizi wa kazi za nyumbani. Anasema licha ya kuwa na CPA yeye ni dada wa kazi na anafurahia kazi hiyo.
Back
Top Bottom