girl

  1. Chachu Ombara

    Hakimu akamatwa akiwa na binti mdogo kwenye nyumba ya kulala wageni

    Hakimu akamatwa akiwa na binti wa chini ya umri wa miaka 18 akiwa kwenye nyumba ya kulala wageni Afisa huyo wa mahakama ambaye jina lake limehifadhiwa alinaswa akiwa na msichana huyo wa umri wa miaka 17 katika nyumba ya kulala wageni katika Kituo cha Kaplong huko Bomet. Kamanda wa Kaunti ya...
  2. N

    Swali kwa wanaume: Hivi ukimwona au kusikia mkeo au girlfriend uliyempenda ana mtu mwingine na furaha unajisikiaje?

    Kanye West tangia ameachwa amechanganganyikiwa kabisa na juzi mahakama imempa ushindi kim kwa mama officially yupo single . Kanye anatishia kumuua huyo boyfriend wa Kim . Je. wewe unaweza tishia?
  3. JanguKamaJangu

    Nigeria: Baada ya miezi 3 abaini 'house girl' ni mwanaume

    Mwanamke mmoja raia wa Nigeria, amezua taharuki mitandaoni kwa kusimulia yaliyomkuta baada ya kubaini kuwa mtu aliyemwajiri kama mfanyakazi wa ndani mwanamke 'house girl' sio wa jinsia ya kike bali ni mwanaume. Mwanamke huyo amebaini kuwa huyo si mwanamke baada ya kumfanyia kazi kwa takribani...
  4. sky soldier

    Jiongeze: Mheshimu sana House girl anayebaki na mtoto wako, unapokuwa haupo hakuna kinachomzuia yeye kulipizia kisasi kwa mtoto

    nani anaependa kukaripiwa? nanj anaependa kupigwa? nani anapenda kugombezwa? nani anapenda kupigwa? nani anapenda kunyanyaswa? HAKUNA!!!! Inanishangaza sana kuona kuna baadhi ya wazazi hawaheshimu kabisa mahouse girl wanaobaki na watoto wao, huwaona kama wanadamu wa toleo la pili. House girl...
  5. Da Vinci XV

    Girls, stop breaking your Sugar Daddies’ hearts

    Girls Please stop breaking your Sugar daddies heart They are our bosses at work, Now they are shouting at us, for no reason
  6. Superbug

    Niliwahi kupigwa na head girl assemble, sasa hivi anaolewa na mdogo wangu

    Wakati nasoma primary mkoa wa Tanga, dada mkuu wa shule aliwahi kunipiga yeye akiwa la Saba Mimi la tano. Kisa chenyewe kidoogo kiganja changu cha mkono wa kushoto kilipigana kikumbo na makalio yake. Ilikuwa bahati mbaya Ila kwakuwa nilikuwa mtundu alidhani nimefanya makusudi. Sasa hivi ni...
  7. Da Vinci XV

    Hijab girl...

    Yes she is gift, You only see her natural glowing skin on her hands Her voice of compassion, smooth like an Arabian serin. Its very enough to judge if she is so much beutfull, by simply looking at those big, Almond-Shaped Eyes The chance to win her heart is like what the Latins call "...
  8. H

    SoC01 Girl Child and Technology (Digital Platforms)

    I know there is a lot of things running in our heads when we hear or see the two terms Girls/ladies/women and Technology.. I will tell you what comes in so many People's minds and it's probably a true or verified assumption ...... Facebook ; As soon as you open your account there is a big...
  9. Hell is real

    Kwanini waajiri wengi hawapendi house girl wenye watoto?

    Habari wakuu!! Siku hizi kuna uhaba mkubwa wa house girl, waajiri wengi hawapendi wadada wenye watoto, tatizo ni nini??? Wakati hiyo ni kazi kama kazi zingine. Kwa upande wangu mm naona huu ni ubaguzi na unyanyasaji Kwenye swala nzima la ajira!!!
  10. D

    Imekaaje hii. Najikuta nachukia tu kuona house girl anapoongea na mabwana zake kwenye simu

    Sijui Mimi ndo nina shida au vipi! Mtoto wa watu (house girl) anahaki ya kuwasiliana na watu wake! Lakini pale anapopigiwa simu na mabwana zake au kuchat na kitochi pachapacha mbele yangu huwa nachukia sana, huwa natamani nifurushe kabisa! Siyo bek3 tu, hata wadogo zake na mke wangu wa kike...
  11. kyagata

    House girl kanifichia siri, sijui nimpe zawadi gani?

    Kwema wakubwa? Wife alisafiri kama week hivi imepita..home akaniacha mimi na dada wa kazi. Sasa me toka juzi nilikuwa silali home, nilikuwa nalala kwa mchepuko wangu flani hivi hapa mtaani. Nilikuwa narudi home asubuhi, so kumbe nahisi wife ni kama alikuwa kaweka mtego. Leo karudi asubuhi...
  12. Sky Eclat

    How to kiss a girl was a lesson once upon the time

    Boys were taught how to kiss a girl. Hili somo lirudiwe kufundishwa huenda tukapunguza idadi ya ndoa za jinsia moja.
  13. D

    Nimesema kuzaa au kuwa na serious relationship Tanzania au Afrika mwisho

    Unajua nimeishi na wasichana wengi na hata side wangu ni mzuri hasa ila huyu mtu wa 3 years anakila kitu cha mke mwema leo nimejua ananichola for 3 years yani nimeishiwa pozi nimesema kuzaaa au kuwa na serious relationship Tanzania au Africa mwisho leo maana nusu nimuoe unajua ndoa ya serikali...
  14. B

    Amfumania mume wake na house girl, alimlipisha pesa ili yaishe

    Hiki kisa kilitokea muda kidogo. Nakumbuka nilitoka mkoani kuja kusoma tuition dar, nilifikia kwa baba mdogo. Siku moja najiandaa kurudi shule mkoani nikaenda kariakoo kununua vitu mbali mbali vya shule, kurudi home nikagonga get akaja baba mdogo kunifungulia . Bahati mbaya mimi sikufunga na...
  15. Izzi

    Gorgeous girl at the party - 36 Marketing Terms explained

    A Professor explains MARKETING to MBA students; What's your favorite? 1. You see a gorgeous girl at a party. You go up to her and say “I am very rich. Marry me”. That’s Direct Marketing. 2. You are at a party with a bunch of friends and see a gorgeous girl. One of your friends goes up to her...
  16. M

    Mume wa mzazi mwenzangu kanikataza kuwasiliana na mkewe

    Nilikua na girlfriend wangu na tulibahatika kupata mtoto ila tulitofautiana hali iliosababisha kutokuishi pamoja. Sasa mwezi uliopita mwenzangu kapata mwenza lakini tulikua tunawasiliana kawaida kuhusu malezi ya mtoto. Jana mumewe kanipigia simu ananiambia nisiwasiliane na mkewe, ishu zote...
  17. Nduka Original

    X Girl friend kaomba tuonane kesho the whole day

    My Ex kaniomba sana kesho tuonane tu spend muda wakutosha kwa gharama zake mwenyewe. Amesema yuko so much stressed with her love affairs hivyo anataka nimshauri. Mimi kwa sasa nimeshaoa tangu tuachane four years back na sitaki kabisa mambo ya ku cheat. Unahisi atakuwa anataka kuongea tu au na...
  18. Mi-Ann

    Playboy weds a good girl: inspired by true events

    Wiki iliyopita nlikua kwenye sherehe ya harusi. Well wanaooana wote nawafahamu. Bi harusi nilimfahamu kupitia bwana harusi. Bwana harusi nlimfahamu kupitia mzee wangu. I was very happy kwa bi harusi maana najua namna anavompenda mumewe. Ila namhurumia pia maana najua ubazazi wa bwana harusi...
  19. J

    I am looking for a very bright woman

    Hii, Naitwa Jophy (29yrs), Christian (KKKT) and God fearing man. Naishi dodoma. I am a university graduate and now nafanya mishe zangu hapa dodoma. I am looking for a very bright woman (girl friend) PM me kama you are aged 21-25. Educated, confident, who is ready to be somebody's partner/wife...
Back
Top Bottom