A girl is a young female human, usually a child or an adolescent. When she becomes an adult, she is described as a woman. The term girl may also be used to mean a young woman, and is sometimes used as a synonym for daughter. Girl may also be a term of endearment used by an adult, usually a woman, to designate adult female friends.
The treatment and status of girls in any society is usually closely related to the status of women in that culture. In cultures where women have a low societal position, girls may be unwanted by their parents, and the state may invest less in services for girls. Girls' upbringing ranges from being relatively the same as that of boys to complete sex segregation and completely different gender roles.
Hii Dunia isikie vituko na majanga yake kwa wengine yasikukute.
Dada Jenifa amepitia visa na mikasa vya housegirls wachawi kwa uchache ntaweka visa vitatu (3).
1. Huyu alimtoa kijijini kwao kwa ant yetu alikuwa na kawaida yq kuharibu kila aina ya mmea dawa uliopo bustanini hasa ukifikia hatua...
Zaidi ya Wanafunzi 1000 kutoka Shule mbalimbali za Sekondari jijini Dar es Salaam wamejitokeza katika tukio la uchangiaji damu wa hiari lililofanyika katika Viwanja vya Shule ya Kisutu ambapo zaidi ya chupa 600 za damu zimepatikana.
Tukio hilo la uchangiaji damu wa hiari limeratibiwa na Shule...
Kanisa la Anglican Tanzania ambao ndio wamiliki wa shule ya Sekondari Bunda Girls iliyopo wilayani Bunda mkoani Mara fanyeni uchunguzi wa kina kuhusu shule yenu.
Kwanza ni tatizo la uongozi, mkuu wa shule kwa sasa ni binti mdogo sana ambaye bado ana mihemko sana. 95%ya walimu hawampendi ila...
FULL TIME
90' Zinaongezwa dakika 4 za nyongeza
80' Simba wanapambana lakini mambo yanakuwa magumu
78' Simba wapo nyuma kwa goli moja
60' Ngoma bado ngumu
Kipindi cha pili kimeanza
MAPUMZIKO
45' Mwamuzi anakamilisha kipindi cha kwanza
40' Mamelodi wanapambana kutafuta goli kwa nguvu
30' Simba...
Hizi Shule Precious Blood Kibaha, feza, anwarite, maua hazina mambo ya pre form one lakini zinaongoza kuwa na matokeo mazuri hizi zingine zinazofanya pre form one zinakwama wapi?
MHE. GEKUL ASHANGILIA Serengeti girls KUTINGA ROBO FAINALI
N/Waziri wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Gekul ashangilia matokeo ya ushindi kwa Serengeti Girls U17 baada ya kutinga hatua ya Robo FAINALI ya Kombe la Dunia la wanawake U17 linaloendelea Nchini India.
[Habari wanajukwaa!
Mwalimu mmoja amenifata kuniomba nimshauri kitu!
Kuna mwanafunzi kamfata leo, kamwambia Ana tatizo kwamba Ana MIMBA Ina wiki 3, hivyo anaomba msaada wa kununuliwa vidonge.
Ila mwl. kagoma kunijua vidonge, na akamjibu kwamba atampatia jibu baaae na Cha kufanya.
Ndio...
KARIBU SHULE YA SEKONDARI JOY GIRLS' ILIYOPO MKOANI MBEYA KWA KIDATO CHA KWANZA 2023.
INTERVIEW ZITAKUA ZIKIFANYIKA KUANZIA MWEZI WA KUMI.
MTOTO ATAPATIWA:
1) ELIMU BORA 2) CHAKULA BORA NA MALAZI 3) KITANDA NA GODORO BURE 4) CHUMBA SAFI CHA KUISHI WANAFUNZI WANNE TU KATIKA KILA CHUMBA 5)...
Mbona hii shule haifanyi vizuri? Wale Waturuki bado wapo? Siku hizi ada kubwa na extra curricula kibao ila matokeo zero. Nasikia walimu wako shallow sana. Hadi wa O-level wanafundisha A-level. Enzi mamsapu akisoma pale shule ilikuwa moto sana. Uongozi wa sasa ni wa watanzania? Nasikia matokeo ya...
Kuna mabadiliko makubwa sana katika ushindani wa matokeo ya kidato cha sita. Wakongwe waliotesa kwa miaka mingi wamepigwa mweleka mkali wakiwemo Marian Girls, Feza boys, Marian boys, Feza boys, Kibaha sekondari, Uwata sekondari nk. Je tatizo ni nini? Mkeka huu hapa:
Kemebos Sekondari, Kagera -...
Wanafunzi Jenipher na Caren wa Iringa girls wanahitaji ushauri wenu,
Wanafunzi Hawa walichaguliwa kujiunga kidato Cha 5 iringa girls mwaka huu,
Wameshareport lakini swala lao kubwa ni kwamba hawataki kusoma A level na hawakuijaza ktk machaguo ,waliopt chuo tu
Lakini wizara ikawatupa Iringa...
Serengeti Girls imekuwa timu ya kwanza kukaa eneo maalum wanalokaa wabunge kwenye Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, leo Juni 7, 202
Timu hiyo imealikwa bungeni baada ya kufuzu kucheza fainali za Kombe la Dunia litakalofanyika India Oktoba 2022.
Leo Waziri ametoa ombi la kuvunja kanuni na kuruhusu timu ya Serengeti girls na viongozi wake kuingia ndani ya ukumbi wa Bunge.
Bunge limechukua hatua hiyo ili kuwapongeza baada ya kufuzu kushiriki michuano ya kombe la dunia kwa wanawake chini ya miaka 17 yatakayofanyika nchini India.
Spika...
Serengeti Girls wanakwenda India kucheza kombe la dunia na ni mara ya kwanza katika historia ya Tanzania.
Bravo sana makocha, bravo wachezaji wote mliopambana mpaka kupata ushindi wa kishindo wa magoli 5-1 tena ugenini dhidi ya timu yenye uzoefu mkubwa ya hadhi ya Cameroon,
Mmefuta aibu ya...
Am almost 35 and my daughter is 15 (kidato cha pili) Nahisi kama vile sina tena uwezo wa kum control huyu mtoto.
I think She now takes me as her brother (Nimelihisi hili kwa kuangalia jinsi aanavyo wa address agemates wangu ) Hawezi kusema kuna mbaba mmoja au uncle mmoja, atasema...
Applications are invited from suitable qualified female candidates to fill the Headmistress vacancy.
Introduction and Background
Established In 2000, the Barbro Johansson Model Girls’ Secondary School (Barbro School) Is now In Its 22nd year, running from Form 1 to Form VI with a total capacity...
Interested parties are hereby invited to submit their proposal for; “Project designing, costing,
permitting, registrations, construction and commissioning of a New 2 Storey Biology
Laboratory for St Jude’s Girls’ Secondary School, Sisia Campus Moshono, Arusha”.
Tender Reference: TENDER NO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.