girls

A girl is a young female human, usually a child or an adolescent. When she becomes an adult, she is described as a woman. The term girl may also be used to mean a young woman, and is sometimes used as a synonym for daughter. Girl may also be a term of endearment used by an adult, usually a woman, to designate adult female friends.
The treatment and status of girls in any society is usually closely related to the status of women in that culture. In cultures where women have a low societal position, girls may be unwanted by their parents, and the state may invest less in services for girls. Girls' upbringing ranges from being relatively the same as that of boys to complete sex segregation and completely different gender roles.

View More On Wikipedia.org
  1. Pang Fung Mi

    Visa vya kweli dada wa kazi wachawi. Ambatana nami

    Hii Dunia isikie vituko na majanga yake kwa wengine yasikukute. Dada Jenifa amepitia visa na mikasa vya housegirls wachawi kwa uchache ntaweka visa vitatu (3). 1. Huyu alimtoa kijijini kwao kwa ant yetu alikuwa na kawaida yq kuharibu kila aina ya mmea dawa uliopo bustanini hasa ukifikia hatua...
  2. McCord

    Waingereza nimekwama: Tunasema Girl's School au Girls' school?

    Nimekwama Tunasema Girl's School au Girls' school?
  3. Roving Journalist

    Wanafunzi 1000 wajitokeza kuchangia damu, chupa 600 za damu zapatikana katika Kampeni ya KISUTU GIRLS BLOOD DRIVE

    Zaidi ya Wanafunzi 1000 kutoka Shule mbalimbali za Sekondari jijini Dar es Salaam wamejitokeza katika tukio la uchangiaji damu wa hiari lililofanyika katika Viwanja vya Shule ya Kisutu ambapo zaidi ya chupa 600 za damu zimepatikana. Tukio hilo la uchangiaji damu wa hiari limeratibiwa na Shule...
  4. Yakki Kadaf

    Anglican Church of Tanzania (ACT) itupieni macho Shule ya Sekondari ya Wasichana Bunda

    Kanisa la Anglican Tanzania ambao ndio wamiliki wa shule ya Sekondari Bunda Girls iliyopo wilayani Bunda mkoani Mara fanyeni uchunguzi wa kina kuhusu shule yenu. Kwanza ni tatizo la uongozi, mkuu wa shule kwa sasa ni binti mdogo sana ambaye bado ana mihemko sana. 95%ya walimu hawampendi ila...
  5. Greatest Of All Time

    FT || Mamelodi Sundowns Girls 1-0 Simba Queens | Semi Final | CAF Women's Champions League | 09 Nov 2022

    FULL TIME 90' Zinaongezwa dakika 4 za nyongeza 80' Simba wanapambana lakini mambo yanakuwa magumu 78' Simba wapo nyuma kwa goli moja 60' Ngoma bado ngumu Kipindi cha pili kimeanza MAPUMZIKO 45' Mwamuzi anakamilisha kipindi cha kwanza 40' Mamelodi wanapambana kutafuta goli kwa nguvu 30' Simba...
  6. B

    Shule kama Precious Blood, Anwarite Girls na Maua Hazina Pre form one

    Hizi Shule Precious Blood Kibaha, feza, anwarite, maua hazina mambo ya pre form one lakini zinaongoza kuwa na matokeo mazuri hizi zingine zinazofanya pre form one zinakwama wapi?
  7. J

    Naibu Waziri wa Michezo, Pauline Gekul ashangilia Serengeti Girls kutinga robo fainali Kombe la Dunia Wanawake -U17

    MHE. GEKUL ASHANGILIA Serengeti girls KUTINGA ROBO FAINALI N/Waziri wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Gekul ashangilia matokeo ya ushindi kwa Serengeti Girls U17 baada ya kutinga hatua ya Robo FAINALI ya Kombe la Dunia la wanawake U17 linaloendelea Nchini India.
  8. Khadija Mtalame

    Mwanafunzi wa kike kidato Cha 6 kanifata kanambia Ana MIMBA Ina wiki 3(ushauri hapo)

    [Habari wanajukwaa! Mwalimu mmoja amenifata kuniomba nimshauri kitu! Kuna mwanafunzi kamfata leo, kamwambia Ana tatizo kwamba Ana MIMBA Ina wiki 3, hivyo anaomba msaada wa kununuliwa vidonge. Ila mwl. kagoma kunijua vidonge, na akamjibu kwamba atampatia jibu baaae na Cha kufanya. Ndio...
  9. Engineer Az

    Joy Girls' school Mbeya

    KARIBU SHULE YA SEKONDARI JOY GIRLS' ILIYOPO MKOANI MBEYA KWA KIDATO CHA KWANZA 2023. INTERVIEW ZITAKUA ZIKIFANYIKA KUANZIA MWEZI WA KUMI. MTOTO ATAPATIWA: 1) ELIMU BORA 2) CHAKULA BORA NA MALAZI 3) KITANDA NA GODORO BURE 4) CHUMBA SAFI CHA KUISHI WANAFUNZI WANNE TU KATIKA KILA CHUMBA 5)...
  10. tutafikatu

    Feza Girls ilitaifishwa?

    Mbona hii shule haifanyi vizuri? Wale Waturuki bado wapo? Siku hizi ada kubwa na extra curricula kibao ila matokeo zero. Nasikia walimu wako shallow sana. Hadi wa O-level wanafundisha A-level. Enzi mamsapu akisoma pale shule ilikuwa moto sana. Uongozi wa sasa ni wa watanzania? Nasikia matokeo ya...
  11. M

    Shule 10 bora matokeo ya Kidato cha Sita: Zimo shule 7 za serikali. Wakongwe Marian Girls, Feza Boys, Kibaha Sekondari, Ilboru Sekondari watupwa mbali

    Kuna mabadiliko makubwa sana katika ushindani wa matokeo ya kidato cha sita. Wakongwe waliotesa kwa miaka mingi wamepigwa mweleka mkali wakiwemo Marian Girls, Feza boys, Marian boys, Feza boys, Kibaha sekondari, Uwata sekondari nk. Je tatizo ni nini? Mkeka huu hapa: Kemebos Sekondari, Kagera -...
  12. Amina68

    Hongereni sana Machame girls, hakika Mmeng'aa Sana Matokeo ACSEE 2022,Marium na Stella mmeipaisha Serikali ya awamu ya 6

    Hongereni sana Machame girls, hakika Mmeng'aa Sana Matokeo ACSEE 2022, https://matokeo.necta.go.tz/acsee2022/index.htm
  13. Amina68

    Wanafunzi Jenipher na Caren wa Iringa girls wanahitaji ushauri wenu,enyi GREAT THINKERS

    Wanafunzi Jenipher na Caren wa Iringa girls wanahitaji ushauri wenu, Wanafunzi Hawa walichaguliwa kujiunga kidato Cha 5 iringa girls mwaka huu, Wameshareport lakini swala lao kubwa ni kwamba hawataki kusoma A level na hawakuijaza ktk machaguo ,waliopt chuo tu Lakini wizara ikawatupa Iringa...
  14. JanguKamaJangu

    Timu ya Serengeti Girls yaweka rekodi Bungeni leo Juni 07, 2022

    Serengeti Girls imekuwa timu ya kwanza kukaa eneo maalum wanalokaa wabunge kwenye Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, leo Juni 7, 202 Timu hiyo imealikwa bungeni baada ya kufuzu kucheza fainali za Kombe la Dunia litakalofanyika India Oktoba 2022.
  15. Replica

    Bunge latengua kanuni kuruhusu Serengeti Girls kutinga mbele ya Bunge

    Leo Waziri ametoa ombi la kuvunja kanuni na kuruhusu timu ya Serengeti girls na viongozi wake kuingia ndani ya ukumbi wa Bunge. Bunge limechukua hatua hiyo ili kuwapongeza baada ya kufuzu kushiriki michuano ya kombe la dunia kwa wanawake chini ya miaka 17 yatakayofanyika nchini India. Spika...
  16. P

    Serengeti Girls mmetuheshimisha sana Watanzania, pokeeni pongezi za dhati kabisa

    Serengeti Girls wanakwenda India kucheza kombe la dunia na ni mara ya kwanza katika historia ya Tanzania. Bravo sana makocha, bravo wachezaji wote mliopambana mpaka kupata ushindi wa kishindo wa magoli 5-1 tena ugenini dhidi ya timu yenye uzoefu mkubwa ya hadhi ya Cameroon, Mmefuta aibu ya...
  17. LIKUD

    Baba wenye 30s wenye mabinti teenagers njooni hapa (Huyu binti yangu nimpeleke Feza Girls au Makongo Sec?)

    Am almost 35 and my daughter is 15 (kidato cha pili) Nahisi kama vile sina tena uwezo wa kum control huyu mtoto. I think She now takes me as her brother (Nimelihisi hili kwa kuangalia jinsi aanavyo wa address agemates wangu ) Hawezi kusema kuna mbaba mmoja au uncle mmoja, atasema...
  18. Jamii Opportunities

    Headmistress at Barbro Johansson Model Girls Secondary School

    Applications are invited from suitable qualified female candidates to fill the Headmistress vacancy. Introduction and Background Established In 2000, the Barbro Johansson Model Girls’ Secondary School (Barbro School) Is now In Its 22nd year, running from Form 1 to Form VI with a total capacity...
  19. T

    Request for Proposal (RFP) - DESIGN AND BUILD A NEW BIOLOGY LABORATORY FOR ST JUDE’S GIRLS’ SECONDARY SCHOOL SISIA CAMPUS, MOSHONO, ARUSHA

    Interested parties are hereby invited to submit their proposal for; “Project designing, costing, permitting, registrations, construction and commissioning of a New 2 Storey Biology Laboratory for St Jude’s Girls’ Secondary School, Sisia Campus Moshono, Arusha”. Tender Reference: TENDER NO...
  20. C

    Ipi bora kati ya St. Francis Girls Mbeya na FEZA Girls Dar es Salaam?

    Msaada. Binti yangu amechaguliwa shule zote mbili, ipi shule bora na sababu na mapungufu Ahasante.
Back
Top Bottom