gizani

Squalius ghigii, the Rhodes minnow, is a species of freshwater fish in the family Cyprinidae, also known as the gizani or ghizáni. It is currently considered to be endemic to the island of Rhodes, Greece. Its natural habitats are rivers, intermittent rivers, freshwater marshes, freshwater springs, and water storage areas. It is threatened by habitat loss.
Some authors have included the species in the genus Ladigesocypris.

View More On Wikipedia.org
  1. P

    SoC03 Mh. Nuru kuweka mwangaza gizani

    Mh. Nuru kuweka mwangaza gizani Katika Kijiji kimoja cha Tutafika , nchi ya Gizani, kulikuwa na kiongozi wa kipekee aliyeitwa NURU GIZANI, Jina lake lilimaanisha "kufunuliwa au kuondolewa Kwa maskini" ambapo Gizani ni umaskini na shida zote ", na Nuru ni ujasiri na kujituma kwake. Alivutia na...
  2. M

    Ndiyo tuheshimu kauli ya Rais, lakini ni ile isiyokinzana na sheria! Vinginevyo tutatembea gizani

    Rais tumemchagua sisi wenyewe kwa mujibu wa katiba. Anaongoza serikali na nchi kwa jumla kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi kwa ujumla wake. Kutokumtii Rais ni kuwadharau wananchi na kutokuitii katiba ambayo imemweka madarakani. Huo ni upande mmoja wa shilingi. Upande wa pili ni kwamba Rais...
  3. On Duty

    Vijana wa namna hii wanapatikana DSM pekee

    Wasaalam ndugu zanguni, Katika tafiti zangu ambazo nimekuwa nikizitafiti takribani miaka isiyopungua kumi(10). Nimekuja kugundua kwamba hawa vijana wa hapa DSM ni mzigo usio wa kawaida. Ukipita mitaa ya Mwananyamala, kigamboni, kimara, makumbusho , kinondoni yaani hawa vijana sijui wapo...
  4. Nyankurungu2020

    Rais Samia tunasheherekea uhuru wa Tanganyika gizani? Hakuna umeme mitaani. Hii aibu

    Leo watoto walitakiwa waone kwenye luninga historia ya taifa lao. Lakini wewe na January mmekata umeme. Kwa nini msituonee huruma japo hata kwa leo tu siku ya uhuru. Watu wapo nyumbani wanahitaji kuangalia luninga na kujikumbusha na uhuru wa taifa lao
  5. Analogia Malenga

    Mzee Makamba ahamaki alipoulizwa kuhusu mgao wa umeme nusu amlambe vibao mwandishi wa habari

    Yusuph Makamba aulizwa kuhusu ukosefu wa umeme na maji mchini, amshambulia vikali mwandishi, asema "Kuwa na shukrani".
  6. sajo

    Wakati Ripoti ya Mwakyembe bado gizani, Law School of Tanzania waendelea kunoa 'wembe'. Watangaza ratiba ya mitihani inayohusisha supp

    Wakati umma ukiendelea kusubiri ripoti ya Kamati ya Mwakyembe baada ya muda iliopewa ile kamati hiyo kuchunguza nini kinachosababisha wanafunzi wa Shule ya Sheria Tanzania kufeli kwa kiwango cha kutisha kwisha toka tarehe 13 Novemba 2022, hakuna taarifa ni lini Kamati hiyo itasoma na kukabidhi...
  7. YEHODAYA

    Ugandans lose Sh60 billion in football Ponzi scheme

    East Africa News Ugandans lose Sh60 billion in football Ponzi scheme ======= Summary The BLQ scam leaves behind hundreds of Ugandans who had recently become millionaires. The supposed wealth vanished in a matter of hours as they looked on helplessly. The last message BLQ Football Club...
  8. Kandoro sk

    SoC02 Agano la gizani

    Kwa kadiri kumbukumbu inanifikia, najikuta ni msafiri ambaye amepita maishani, niligonga milango yake mlango kwa mlango, na nikavuka nchi zake nchi kavu, na nikachukuliwa kutoka hapo na kushoto, na sikupata chochote isipokuwa kukata tamaa , huzuni na kuchoka. Kwa kadiri ninavyoweza kukumbuka...
  9. Kandoro sk

    SoC02 Agano la gizani

    AGANO LA GIZANI Ninaposema maisha ni hakuna kitu akilini mwangu ambacho naweza kuwaambia wengine au mimi mwenyewe maisha ni nini. Sijui niseme nini nadhani nimepotea katika mawazo ya nini kitatokea au kutokea au ninaishi katika maisha yangu ya zamani na ninasubiri maisha yangu yajayo yanifikie...
  10. B

    Heko Zanzibar kwa kuwa na dira ya ukombozi wakati sisi tukitapa tapa gizani

    Walisema waungwana ukiona vyaelea vimeundwa. Siyo siri wenzetu Zenji wako vizuri na katika njia yao salama ya ukombozi iliyo wazi: "Zanzibar wanataka mamlaka yao kamili na wamejipanga kwa ajili ya hilo." Kwenye mapambano yao wanapigana bega kwa bega na bila ya tashwishi. Sisi hatukujifunza...
  11. S

    SoC02 Taifa huru gizani

    TAIFA HURU GIZANI (TANZANIA) Chanzo cha picha: Vectorstock. Taifa ni jumla ya watu wanaojitambulisha na eneo, lugha, rangi na mila, kwa ujumla ni nchi. Neno taifa linatokana na Kilatini natutio likimaanisha kuzaliwa, watu (kwa maana ya kikabila), spishi au darasa. Taifa lina sifa ya...
  12. N

    SoC02 Nuru gizani

    Ndani ya giza nene lisiloweza kuruhusu aina yoyote ya mwanga kupenya ndipo vijana wenye uthubutu wakafanya kila bidii katika kuonyesha kile kilicho ndani ya fahamu zao ili kurudisha uaminifu tena. Ni miaka mingi imepita tulipokuwa tukishuhudia mafanikio ya wengi kupatikana katika siku zao za...
  13. Zero Conscious

    Uombaji kazi za Ualimu hali ni tete, sehemu anahitajika mmoja wameomba watu zaidi ya elfu moja

    Habarini za wakati huu. Kama tunavyofahamu zoezi la utumaji wa maombi ya Ajira linaelekea kutamatika lakini kiukweli Hali inatisha. Kwa wale ndugu zangu walimu mtakuwa mmeona kwenye shule mlizoomba idadi ya walimu wanaohitajika na namba ya watu waliotuma kuiwania nafasi hiyo. Kuna wakati...
  14. JanguKamaJangu

    Bondia Hassan Mwakinyo arusha jiwe gizani, aponda mabondia wanaolipwa Sh milioni 5

    Bondia Hassan Mwakinyo ametoa kauli ambayo ni wazi inaonyesha anarusha ‘dongo’ sehemu. Wale mnaojua someni hapa kisha muone kijembe hiki kinamuhusu nani? “Bongo bwana Boxer unajulikana mikoa 5 tu Tanzania umeshaanza kuvimba mabega!! Eti unajiona kila mtu Una muweza ikipigwa hesabu yako tangu...
  15. J

    Kijana aliyenusurika kifo kwa manyanyaso ya ndugu, atoa shukrani kwa kutolewa gizani

    Anord Patrick Kalinga (21) mkazi Mlevelwa, Kata ya Mdabulo, Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa ambae ni miongoni mwa vijana 100 kutoka kwenye familia duni walioibuliwa na Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi na mradi wa Youth Agency Mufindi (YAM) amepongeza mradi huo kwa kumuona. Anord alisema akiwa...
  16. C

    Waziri Makamba, nusu ya Mwanza iko gizani

    SAA 2:02 usiku jiji la Mwanza nusu yaake kama siyo robo tatu liko gizani Wengi wanasikika sauti kwenye Giza wakimsifia kijana mchapa kazi January makamba kwa kupenda kuifanyia matengenezo mitambo hiyo haswa nyakati za usiku. Hakika jamaa ni genius sana
  17. Natty Bongoman

    Mtu mweusi leo kujitambua na kutambua historia yake halisi na ya ukweli ni kazi ya ziada

    Habari zenu wanaJF wenzangu. Kiujumla watu weusi tumeishi 'gizani' kwa karne nyingi. Tumeishi katika mifumo kadhaa iliyolenga kutupeleka huko 'gizani' na kutubakisha huko. Mifumo hii imepitia marekebisho ya kila aina - tokea mifumo ya kutumia nguvu hadi leo kutumia mifumo ya kutufumba macho na...
  18. Crimea

    Afghanistan kuingia gizani muda wowote

    Hawa taliban walifikiri kuongoza nchi ni sawa na kuvaa kanzu, vilemba, kubeba bunduki na kupiga hovyo? Unambiwa sasa wanadaiwa mabilioni yanayotokana na malipo ya bill ya kununu umeme toka kwa majirani. Unaambiwa pia ilikuwa ni tabia yaa ya kuhujumu miundombinu ya umeme kabla hawajashika...
  19. MchunguZI

    Hii ni Serikali ya wanafunzi wa CCM muelekeo uko gizani

    Tulijawa na matumaini ya kusonga mbele na kurekebisha makosa yaliyofanyika. Tatizo likaanza kwa kiongozi wetu kuamini anastahili kuunda serikali upya. Kila kitu kipya. Akatikisa mawaziri ili wajisikie wapo kwa sababu yake. Ikawa hivyo. Akakusanya washauri toka NGO, akatafuta mabalozi toka NGO...
  20. Robert Heriel Mtibeli

    Haki haipo CHADEMA wala CCM, jamii bado ipo gizani

    HAKI HAIPO CHADEMA WALA CCM, JAMII IPO GIZANI. Kwa Mkono wa, Robert Heriel. Haki hutofautiana baina ya nchi na Nchi. Ingawaje zipo haki za ujumla za kila mwanadamu Kama vile Haki ya kuishi na kupata nyezo zinazomfanya mtu aishi. Haki hutofautiana baina ya nchi na Nchi kutokana na utashi...
Back
Top Bottom