global citizen

  1. Victor Mlaki

    Mtazamo wangu juu ya suala la Tanzania kujiandaa kuwafanya watu wake kuwa raia wa Dunia "Global citizen"

    Tanzania inatazamia kuhakikisha raia wake wanatoka nje ya boksi na kushiriki kikamilifu bila kujifungia mipaka juu ya ustawi wa Dunia, yaani Raia wa Dunia. Kupitia jukwaa hili nimetamani sana kutoa mtazamo wangu ambao unaweza pia kuwa ushauri. Lengo ni kuhakikisha ushiriki wetu kama Taifa...
  2. K

    Mashine ya kutengeneza na kukausha chaki za mashuleni on sale

    Mashine ya Kutengeneza na Kukausha Chaki za Shuleni ON SALE Tsh 30mil (Milioni 30) Karibu tufanye biashara. Call 0767 235923. Sifa za Mashine ya Kutengeneza Chaki: Inatumia Umeme wa Single Phase; Ni Semi-Automatic: Inatumia Motor kuchanganya Unga wa CHaki na Maji; Ina Moulds (vinu) 6 za...
  3. mtakahela

    Tupeane mbinu kuhusu fursa za kibiashara zilizopo kwenye utalii

    Habari za majukumu wahangaikaji wenzangu! Naomba kufunguliwa zaidi kimawazo kwa wale wenye kujua biashara ya utalii inavyoendeshwa. Naona fursa ipo kwenye utalii ila nashindwa kutumia. Natamani kutumia rasimali zilizopo kufanikisha jambo hili, mfano kutafuta watalii na kuwaunganisha na...
Back
Top Bottom