Mi najiuliza maswali mengi. Mungu Ni Nini, anataka Nini na Yuko wapi.
Ukifuatilia historia ya binadamu tokea tukiwa wawindaji maporini miungu ilikuwepo. Wazee walikuwa wanaongoza vijana kwa kuwaambia kuwa Mungu anataka mfanye hivi, na hio miungu ilikuwepo pangoni ambapo wazee tu wanaingia...
(Usomaji wa dakika 25)
PRAISE OUR LORD JEHOVAH!!!
PRAISE JESUS!!!
Whatever name you have for him (him being a symbol for Order), we all recognize him.
It took me being a Mum and going through crap to come to this realization.
Ikanibidi nikubaliane na maneno niliyasikia kwa Dr. Jordan...
When emotions are involved, people tend to get hurt and bitterness and resentment can arise. In any relationship romantic or otherwise, there must be clear boundaries established. When these boundaries are violated and expectations aren’t met, relationships can become the cause of headache and...
Kanisa la Anglican linajadili uwezekano wa kutokutumia jinsia pale unapotaja Mungu. Yaani mungu sio baba ama mama.
Lengo la kufanya hivyo ni kuhakikisha kwamba dini inaendana na muda na wakati wa sasa na dini inakua jumuishi. Dini kua jumuishi ama inclusive ni kutambua haki za mashoga na watu...
1. NATO and the US supplying weapons to Ukraine.
2. Economics sanctions by the EU and US against Russia meant to distabilise and weaken Russia economically and socially.
3. Russia running out of stock of conventional weapons used agains Ukraine.
I think, those are mojor reasons that will...
Hello bosses...
Nlidhan sitokuja kusikiliza tena rap kutoka bongo, kwa wale tunaopenda rap kutoka kwa veterans iwe wa humu tz au nnje basi natumaini mtanielewa. Dizasta ni complete package ya msanii, hata videos zake ni simple ila zinatell story kama miaka ile ya kina professor Jay, Juma...
Habari wakuu, natumai mu wazima
rejea kichwa cha habari, nimeleta hii mada kwa kwakuwa kwa mtazamo wangu na upeo wangu niliwonao nimeona kuna mkanganyiko juu ya uumbaji wa dunia na namna watu wanavyovutana juu ya dini zao.
Wengine huuliza Mungu ni nani, wengine huuliza kwanini shetani, wengine...
GOD IS THE MASTER PLANNER OF OUR LIVES.
[Mungu ndiye mtaalamu wa mipango ya maisha yetu]
Kama kijana au kama binadamu yeyote wa kawaida ni lazima kuna mipango fulani itakuwa umejiwekea kwenye maisha.
Mipango yako inaweza kuwa mizuri kwa ufahamu wako wa kawaida lakini upo uwezekano wa...
Kipekee nichukue nafasi hii kuwapongeza viongozi wetu wa nchi kwa kazi kubwa mnayoendelea kuifanya kwa taifa.
Pili kama wanadamu wengine nyinyi nyote mnamapungufu yenu kama binadamu wengine,ni vizuri mkumbuke kila siku,na hii itawasaidia kujitahidi sana kutenda mema,haki na usawa mkijua ipo siku...
Wanabodi
Kumetokea ajali mbaya ya magari manne na boda boda, yamegongana huku mimi nikishuhudia huku nikiwa viti virefu hapa sebuleni kwangu Highland, mkabala na Masana Hospital.
Sijaweza kujua chanzo, ila gari moja ilikuwa inatokea Goba, Kwa spidi kali, mara uso kwa uso na Bodaboda...
Siku Moja katika pita pita zangu nlikutana na Jamaa mmoja anitwa NHIF ,huyu jamaa ni mdau mkubwa sana wa Afya kwa kifupi ni kajitolea kuwatunzia pesa zao Watu kwa Ajiri ya Matibabu yao baadae .
Wakati napita alikuwa mlangoni nlimsikia akilia kwa Nguvu sana akisema Ooh God ,thank you for another...
God over Everything
Also God please give them hope patients and prisoners and to him nothing Imposssible.
I'm 26 years old
Muslim
God fearing person
Self-esteem
Hard worker
Government servant
No kids
No serious relationship
Outlook
Urefu Futi 5.8
Maji ya kunde
Weights 68
Sifa za Mwanamke...
Proverbs 6:17-19
1.Eyes that show pride,
2.Tongues that tell lies,
3.Hands that kill innocent people,
4.Hearts that plan evil things to do,
5.Feet that run to do evil,
6.Witnesses in court who tell lies
7. Anyone who causes family members to fight.
MY PEOPLE LET US TURN TO GOD WHAT WE ARE...
Kuna mtindo wa kwenye social media watu kutosoma maelezo marefu sana. Hivyo basi nimeamua kuileta sehemu tu ya ile sehemu ya pili, enjoy;
....................kukazia pointi kadhaa na kufunga;
Ndugu zangu, haidhuru mtu au mfumo kutokujua mwisho au mwanzo wake ili kuleta maana – ‘sense’. Maana...
TLDR – Causing suffering and death on other conscious beings makes you grow old and die. Refrain from causing suffering and death and you can make yourself immortal. And just to clarify, I do mean actual physical immortality where you live forever in the physical body that you inhabit; none of...
Kuna hoja ya kuthibitisha uwepo wa Mungu, hoja ambayo imeegemea zaidi katika kutumia vitabu vya dini kama uthibitisho
Ni hoja ambayo ime base kwenye imani ya kusema Mungu amejidhihirisha uwepo wake kwa binadamu kupitia uumbaji au maandiko matakatifu.
Watu wamekua waki experience hayo...
Ambitious Marriage Is Within Your Reach
Photo source: Internet.
Marriage a union of complementary parts not competitors
Marriage is one of the misunderstood and stressful things people struggle with than anything else, making it not only an optional but less important.
It’s unfortunate that...
“The best place to begin is well at the beginning, so let’s dive in.
Read Genesis Chapter 1: 1-5
Genesis Chapter 1 This is the day.
What are some interesting observations from the first day? GOD created the Heavens and the earth period. Was there anything before this? Where was GOD before all...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.