godoro

  1. M

    INAUZWA Godoro 5&6 nchi 10, kitanda na jaba vinauzwa

    Godoro ni Comfy Limetumika kdg sana Muuzaji yupo Tiptop Manzese Dsm Contact 0654973754 Muuzaji ana hamia mkoani kesho Bei laki 3 vyote
  2. INAUZWA Nauza Godoro Comfy 5 * 6 inch 8

    Jamaaan nina shida sana hio hela godoro inch 8 kwa laki tu niende kufanya interview Godoro Comfy 5 * 6 inch 8 limetumika miezi nane tu bei tsh 120,000 Bei imeshuka 100,000 0762165498 0778444669 Liko Mabibo karibu na soko la Engo
  3. P

    Leo nimetimiza miaka 30, sijawahi miliki hata Godoro

    Baada ya kutimiza huu umri nimejikuta natamka maneno magumu sana education is a lottery ticket not a safe investment. Nimetafuta kazi nimekosa, nimefanya biashara nimefilisika. So nilichobakiza ni kuwalamba wana mizinga ya ten tu ili niishi.
  4. Hali ya maisha ya zamani ilisaidia kuwajenga vijana shupavu kuanza kupanga chumba na godoro la futi 3 chini.

    Tujikumbushe changamoto za kutanda.
  5. Kitanda kizuri kinauzwa 5*6, bila godoro

    Habari, Kitanda kinauzwa 5*6, bila godoro, hakina tatizo lolote na sababu ya kukiuza ni muhusika anahama mkoa kikazi, Location ni Mbezi beach, Bei yake ni 250K, No. ya simu whatsap ni 0764-955-657 na call ni 0686-816804..!!
  6. C

    INAUZWA Kitanda, godoro, kabati na sofa

    vinauzwa vipo dar kitanda 6*6 100,000 godoro 80,000 kabat 180,000 sofa 65,000 piga/tuma sms 0625618177
  7. INAUZWA Kitanda na godoro vinauzwa Kimara Baruti

    Kitanda cha chuma Futi 4 kwa 6 pamoja na godoro lake vinauzwa . Bei Shiling laki tatu 300,000/= Mawasiliano: 0623 325 015 Location: Kimara Baruti, Dar es Salaam Karibuni
  8. Adaiwa kuiba mtoto, achoma godoro ionekane kateketea

    Jeshi la Polisi mkoani Rukwa linamshikilia mwanamke mmoja (jina limehifadhiwa), mkazi wa kijiji cha Msata mkoani Pwani, kwa tuhuma za kumuiba mtoto mwenye umri wa wiki moja na kisha kuchoma godoro alilokuwa amelalia mtoto huyo ili ijulikane ameteketea kwa moto. Tukio hilo lilitokea Juni 11...
  9. Natafuta godoro used 5*6 inches 8

    Nahitaji godoro used, 5 kwa 6. Liwe kati ya inches 6 au 8. Nipo Sinza A, karibu na Mlimani City. Tuwasiliane kwa +255683018095
  10. Nahitaji godoro (5x6, 8inches)

    Nahitaji godoro used, 5 kwa 6. Liwe kati ya inches 6 au 8. Nipo Sinza A, karibu na Mlimani City. Tuwasiliane kwa +255683018095
  11. Watu wanalala bwana! Drake analalia godoro lenye thamani ya takriban Tsh. Bilioni 1

    Chile!! IONO how y’all are sleeping, but Drake is apparently out here sleeping like a King!! He already told us he only loves his BED and his MUM, so it’s no surprise that Drake’s mattress reportedly costs a whole $395,000. I know people whose whole houses cost less than that, let alone their...
  12. G

    Nauza godoro super banco 6*6 inch 6

    Godoro ni super banco limetumika miezi 7 ni kama jipya. Linapatikana Mwanza kirumba Mawasiliano: 0745352352 Bei: 150,000 tzs
  13. Kijana anayeanza maisha usinunue godoro nunua mkeka huo huo kiti huo huo kitanda

    Vijana wengi kuanza maisha hupata shida waanzaje. Tafuta elfu tano nunua mkeka huo huo utautumia Kama kiti Cha kukaaa wewe na wageni wako na hapo hapo ujautumia Kama kitanda kulala usiku.
  14. Tunaokaa watumishi wa serikali Dodoma chumba kimoja na godoro tukutane hapa

    Kimsingi watumishi wa umma wengi tuliohamishiwa Dodoma tunaishi maisha ya ajabu sana, bado hatujakubali kwamba ngoma ndio ishatoka hiyo na kifupi ikirudi ni panchaaa!wengi wetu tumepanga chumba kimoja ndani kuna gororo tumeweka chini basi. Wengi wetu muda wa kazi ukiisha tunazugazuga pale...
  15. INAUZWA Kitanda na Godoro vyote vipya vinauzwa mbeya (4*6) 150k

    Habari... nimehama mbeya, nimeacha kitanda na godoro 4*6 nimetumia mwezi mmoja(20days)... bei 150k fixed... karibuni..kama utahitaji kukiona tiwasiliane 0742900511
  16. Kitanda na godoro lake

    Kitanda kinauzwa na godoro lake kimetumika Miezi mitatu tu Call 0673864333
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…