The 2011 Dar es Salaam explosions were a series of explosions at an ammunition depot in Dar es Salaam, Tanzania, that killed 20–32 people. According to officials at the base, the first explosion was at 8:30 pm local time. Being the second explosion in two years of an ammunition depot near a populated area, several groups questioned the locations of these centers and requested they be moved. Reports indicate that 23 military structures, two homes and a school were destroyed.The first of several reported explosions was at around 10 pm local time, and eyewitnesses reported that intermittent explosions occurred during the following hour for two minutes at a time. Media reports said that between 20 and 32 people were killed by the blasts and that 300 more were injured as homes were flattened and debris fell from the sky. The deaths were either directly from the explosions or from the effects of high blood pressure. Debris was reported as far as 15 km (9.3 mi) away from the base. At least 200 children were reported to be missing their parents as well; it was unknown whether their parents were missing from the explosions or were separated during the evacuation.Immediately following the incident, officials in the city ordered all residents within a 10 km (6.2 mi) radius of the military base to evacuate. An estimated 4,000 residents fled their homes. Residents in the city began calling for the resignation of Defence and National Service minister, Hussein Mwinyi, and the Chief of Defence Forces, General Davis Mwamunyange. On February 17, an investigation was launched to find the cause of the explosions.The country's main airport, the Julius Nyerere International Airport, was also temporarily shut down. A similar incident occurred in April 2009 at the Mbagala ward of the city.
Naomba Meneja wa gongo la Mboto tusaidie kupata transforma kubwa tuna low voltage magole kitunda kwa mpemba mchafu. Tuna mwaka mzima umeme ni mdogo hata friji haziwezi kuwa. Tafadhali, jamii forum naomba mnisaidie kufikisha kilio hiki sehemu husika. Ahsanteni
Kilio hiki ni Cha wakazi wa magole, kitunda dar es salaam. Kumekuwa na changamoto ya umeme mdogo kwenye eneo la magole kwa mpemba mchafu .
Hili tatizo linadumu zaidi ya miaka 2 sasa. Matumizi yameongezeka lakn Tanesco hawajabadili transforma, umeme ni mdogo hata friji na pampu za maji haziwaki...
Nimefurahishwa sana na bodaboda wa Kituo Kipya Gomz DSM, Nmependa sana utaratibu wa kusimamisha watu kutopita njia ya SGR pale zipitapo treni mimi nmepita leo mida ya saa1 jioni hivi nkajiuliza kuna nini hapa kusubiri kidogo naona treni ya SGR hii hapa Hongereni sana kujali uhai hasa kwa watoto...
Nimekuwa nikitafakari sana kuhusu jehanamu hasa kujua iko wapi nikitumia google photo map walau kupata direction yake.
Asee kumbe hata google map haifui dafu ikanibidi nitumie tu knowlege aliyoitumia Christopher Columbus kuigundua Marekani
Imenichukua miaka kumi jana usiku ndio nimekuja...
Wakuu,
Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Kata ya Gongolamboto, Mtaa wa Ulongoni A, Mgombea nafasi ya ujumbe Modestus...
Nawasalimu.
Pale Gongo la Mboto mwisho ikishafika saa moja jioni wanaanza kujitokeza kwenye vichochoro vyao na nguo za kuamsha hisia.
Utasikia "Shemeji nimekupenda ulivyo mrefu mweusi, njoo basi nikupe utamu"
Yaani unaweza kuvunjiwa heshima hivihivi unaona, Tena sasahv wamejaa wale XXL sio...
Mimi ni Mkazi wa Gongo la Mboto Majohe, Dar es Salaam, huku kwetu kuna tatizo la uchimbaji mchanga sana, sisi Wananchi tunahofia Bonde linaweza kutanuka kutokana na uchimbaji huu
Wanaofanya hiyo kazi ya uchimbaji wamuogope Mungu, tumesharipoti katika ngazi mbalimbali za uongozi ila bado...
Kwa wale ambao wamekuwa wakifuatilia matukio muhimu ya kiusalama nchini, milipuko ya mabomu katika maghala ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) huko Mbagala mwaka 2009 na Gongo la Mboto mwaka 2011 ni miongoni mwa matukio yaliyoshtua taifa zima.
Tukio la kwanza la Mbagala lilitokea Aprili...
======
UPDATES
=======
Habari zinazosambaa Mtandaoni zikidai Treni ya SGR yadaiwa kusimama baada ya kupata hitilafu si za Kweli kwani Treni ipo kwenye Majaribio.
Nadhani ifike wakati serikali yetu hata kama ina wajinga wengi basi tutumie nafasi yetu kushauri badala ya kukosowa tu.
Mimi si mtaalam wa mambo ya ulinzi lakini naelewa fika nimezaliwa Dar gongo la mboto ilikuwa iko wilaya ya kisarawe ni shamba.
Sasa kuwepo kambi ya JWTZ kwa kipindi kile...
Watanzania wenzangu ni matumani yangu mu buheri wa afya, mliopo na Matatizo mbali mbali muwe na subira na kutokata tamaa hata mnapohisi kushindwa.
Leo katika pita pita zangu nikakutana na uzi wa dada Janeth Thomson Mwambije akiwa amekutana na mkuu wa wilaya ya ILALA mheshimiwa Edward Jonas...
Na. M. M. Mwanakijiji
Kwa wanaokumbuka na wale wasiokumbuka ni kuwa mimi ni mpinzani wa madai ya Katiba Mpya. Sijaona bado na sijashawishika kabisa kutambua mchakato wowote halali wa uandikaji wa Katiba Mpya. Nilitakaa na kupinga mchakato haramu ulioanzishwa na Rais Kikwete wa kuivunja Katiba...
Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi anasema "Ilipotokea ajali ya mabomu kule Gongo la Mboto, mimi nikiwa Waziri wa ulinzi nilipeleka ujumbe kwa Rais wangu wakati huo Mhe. Kikwete nikimtaka aliridhie nijiuzulu lakini sikukurupuka kwenda kwenye vyombo vya habari nikatangaza kwamba nimejiuzulu...
Habari za humu Jumba la Melo!
Ninatarajia kupata mgeni kesho Ijumaa hii akitokea kusini kwa kina Miso Misondo.
Mgeni wangu amehitaji hotel au lodge nzuri maeneo ya Ukonga, Gongo la Mboto au Pugu, anahitaji hotel au lodge kwenye eneo mojawapo ya hayo lkn kuwe na utulivu kiasi cha kuweza...
Wanasema dhahabu hupitia moto ili kutengeneza Vito, hayo yanajidhihirisha kwa wakazi wa gongo la mboto ambapo kwa sasa wanapitia adha kubwa ya usafiri wakati ukarabati wa barabara ya mwendokasi ukiendelea.
Kipande cha barabara ya Pugu almaarufu kama Nyerere road kuanzia maeneo ya gold star...
Aisee kuna hii branch ya NMB gomsi huwa najiuliza maswali nashndwa kuelewa. Branch iko mzambarauni karibu kabisa na gomsi means inahudumia population kubwa ya gomsi na maeneo jirani.
Lakini mazingira yake hasa kwa wateja wa nje wanaofanya transaction kwenye ATM huku nje ni balaa yan wateja...
Nimekaa sana Tabata barakuda Takribani miaka mi 5 ivi Ila nimehama mwaka jana mwanzoni Nimehamia GONGO LA MBOTO ila kwa sasa napaona Pachungu.
Chanzo cha kuhama tabata ni kukimbia bar na malaya wanaojiuza, Nikaona bora nihamie sehemu iliyop00zap00za nikaambiwa gongo la mboto ni pazuri...
Husika na mada tajwa hapo juu,
Kimsingi eneo linalosemekana limeandaliwa kwa ajili ya stend ya mabasi ya mwendo kasi kwa maeneo ya gongolamboto, sidhani kama lipo mahali sahihi.
Wahusika waliangalie hili jambo kwa umakini kusiwe na upigaji wa kipekee kwa maana kule Pugu stesheni , stend...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.