Google Pixel is a brand of consumer electronic devices developed by Google that run either Chrome OS or the Android operating system. The Pixel brand was introduced in February 2013 with the first-generation Chromebook Pixel. The Pixel line includes laptops, tablets, and smartphones, as well as several accessories.
Nimenunua pixel 5 kwa ajili wife kasema kadogo anataka simu ya kujaa mkononi, naiuza bei hiyo ina wiki tu. RAM 8GB, 128GB STORAGE.
HAINA SHIDA YOYOTE CHAJI INAKAA ASUBUHI MPAKA JION DATA IKIWA ON.Ukizima data unatoboa siku 2.
Imenyooka sana CAMERA KALI.
Sim aina ya Google Pixel 6A used but in good condition.
Ram 6 GB
Internal storage 128 GB
Single sim card
Size 6.1 inches
Network 5G
Bei 500,000/=
Protector cover bure
Nipo Tabata Segerea
Habarini za kila mmoja mwenye kusoma uzi huu
Kama ilivyo katika kichwa cha habari hapo juu, ni kwamba inahitajika mashine(hapa mafundi simu tu ndo watanielewa zaidi nikisema mashine) ya google pixel 6. Kwa maana ya kwamba mtu anaweza kuwa na google pixel 6 yake mbovu, kwa hivyo anaweza kutupatia...
Habari , nauza simu tajwa hapo juu ipp clean mpya ,, sifa za hizi simu picha zake zipo clean as reality...for more ni cheki 067270132...pia po moshi KCMC
price 360,000...RAM 6 GB, INT.64 GB
Jipatie Google Pixel 5 yenye 5G iliyotumika USA (Second Hand)
Warranty 6 Months
Imenyooka sana Grade A imetumika kwa upendo sana
0764081567
Free Charger
Free Cover
Free delivery in Dar es salaam
Naomba kujua kwa watumiaji wa Google pixel 7 pro,pamoja na wadau wenye uelewa wa hii simu. Je, nawezaje kuitambua kama ni simu original?
Je Kuna test ambazo naweza kuzifanya kutofautisha copy na original
Bidhaa zote za kielectronic Simu, Pc, Tablet, Sabufa, Tv na Fridge vinapatikana kwa bei rahisi sana, simu zetu zipo used from Dubai na Full boxed mpya kabisa tunauza Iphone, Samsung, Google pixel, Sony, Oppo na Infinix warranty ni uhakika Tv pia zipo Hisense, Samsung ukubwa tofauti tofauti...
bei
camera
cover
dubai
free
from
galaxy
googlegooglepixel
hot
huawei
infinix
iphone
iphone 11
iphone x
kali
laini
mbili
mtandao
note
note 9
offer
oppo
pro
ram
redmi
samsung
samsung galaxy
sana
sony
spark
tecno
used
Google pixel 3
Gb 128
Ram 4
4k video shot
Best camera phones
imported from korea
used for two weeks
380,000..
In Dar es alaam, kimara mwisho
0713096076
Muonekano mpya wa simu ya Google Pixel 6a umetoka, na inaonekana Google imeamua kuweka design mpya kama Google Pixel 6. Itakuwa ni style moja katika simu zake zote.
Simu hii mpya ya gharama ya wastani (mid-ranger), itakuwa na design mpya, kamera zitakuwa katika style ya mstari mmoja (style ya...
Kutoka katika vyanzo vya kusambaza material na utengenezaji wa simu za Google Pixels, kwa supply na order za sasa, inaonekana Google imefanya maamuzi ya kusitisha kuzitengeneza simu za Pixel Fold ambazo zilitegemewa kutoka mwaka huu.
Mabadiliko hayo yatapelekea Pixel Fold isitoke mwisho wa...
Hizi simu za google pixel nimezielewa sana upanda camera zinachukua clear shot mpaka kero
Kwa hapa Bongo Naweza pata kwa bei au zanzibari kwa 3XL na vp kuhusu spare zake hizi simu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.