governance

Governance is all the processes of interactions be they through the laws, norms, power or language of an organized society over a social system (family, tribe, formal or informal organization, a territory or across territories). It is done by the government of a state, by a market, or by a network. It is the decision-making among the actors involved in a collective problem that leads to the creation, reinforcement, or reproduction of social norms and institutions".
In lay terms, it could be described as the political processes that exist in and between formal institutions.
A variety of entities (known generically as governing bodies) can govern. The most formal is a government, a body whose sole responsibility and authority is to make binding decisions in a given geopolitical system (such as a state) by establishing laws. Other types of governing include an organization (such as a corporation recognized as a legal entity by a government), a socio-political group (chiefdom, tribe, gang, family, religious denomination, etc.), or another, informal group of people. In business and outsourcing relationships, Governance Frameworks are built into relational contracts that foster long-term collaboration and innovation.Governance is the way rules, norms and actions are structured, sustained, regulated and held accountable. The degree of formality depends on the internal rules of a given organization and, externally, with its business partners. As such, governance may take many forms, driven by many different motivations and with many different results. For instance, a government may operate as a democracy where citizens vote on who should govern and the public good is the goal, while a non-profit organization or a corporation may be governed by a small board of directors and pursue more specific aims.
In addition, a variety of external actors without decision-making power can influence the process of governing. These include lobbies, think tanks, political parties, non-government organizations, community and media.
Most institutions of higher education offer governance as an area of study, such as the Balsillie School of International Affairs, Munk School of Global Affairs, Sciences Po Paris, Graduate Institute Geneva, Hertie School, and London School of Economics, among others.

View More On Wikipedia.org
  1. Sildenafil Citrate

    Rais Samia: Wakuu wa wilaya hamfanyi kazi, mnasubiri mkeka

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Wakuu wa wilaya nchini wameacha kufanya kazi kwa hofu ya kuondolewa au kuhamishwa vituo vya kazi. “Wakuu wa wilaya hamfanyi kazi, mnasubiri mkeka. Sikusema nitawabadilisha leo au kesho, kwahiyo kama hamfanyi kazi hao ndiyo...
  2. The Sheriff

    Serikali Ina Wajibu wa Kuhakikisha Raia Wake Hawadhulumiwi Maisha au Mali Zao

    Moja ya majukumu makubwa kabisa ya serikali ni kuwalinda watu wake dhidi ya changamoto zote za kiusalama na kuwahakikishia amani na utulivu. Jukumu la Serikali si tu kulinda watu wake kutokana na mashambulizi ya nje, lakini pia kuwalinda dhidi ya changamoto zote za kiusalama zinazoweza...
  3. Mathanzua

    Kalamu ya Mkali: Kuundwa kwa Kamati ya Mwigulu ni Matumizi Mabaya ya Fedha za Umma

    HII NI HUJUMA NA MATUMIZI MABAYA YA FEDHA ZA WANANCHI. Hebu tutazame kiasi gani cha fedha zitafujwa kupitia hii Kamati kwa kitu ambacho jibu liko wazi,tozo ni "Poll Tax," kwa hiyo wananchi hawapaswi kutozwa,vitafutwe vyanzo vingine vya mapato,na vipo.. 1) Hao wajumbe 200 kila mmoja atalipwa...
  4. The Sheriff

    Watanzania hawana uhakika kuhusu matumizi ya mapato yatokanayo na Tozo

    Imeelezwa kuwa Wananchi wengi hawana uhakika kuhusu matumizi ya mapato yatokanayo na tozo kwani 42% wanasema kuwa hawajui yanatumikaje ikilinganishwa na 38% ya wanaosema wanajua namna mapato hayo yanavyotumika. Hii ni kwa mujibu wa Ripoti mpya ya Shirika lisilo la Kiserikali la TWAWEZA ambalo...
  5. Jamii Opportunities

    Governance & Controls Manager at ABSA Bank

    Governance & Controls Manager Job requisition id: R-15937287 Bring your possibility to life! Define your career with us With over 100 years of rich history and strongly positioned as a local bank with regional and international expertise, a career with our family offers the opportunity to be...
  6. Willima

    Unyanyasaji wa kijinsia unavyopamba moto kwenye elimu za juu (vyuo)

    Unyanyasaji wa jinsia katika ngazi ya elimu ya juu, umekua ukijitokeza mara kwa mara hususani kwa wanafunzi wa jinsia ya kike, ingawa matukio haya pia hujitokeza hata kwa wanafunzi wa jinsia ya kiume. unyanyasaji huu hujitokeza kwa njia tofauti, unyanyasaji wa kijinsia huwaza kujitokeza kati ya...
  7. B

    Siku ya vijana duniani

    Mawazo ya kuwepo kwa siku ya kimataifa ya vijana yalitolewa mnamo mwaka 1991 na vijana waliokusanyika mjini Vienna nchini Austria kwa ajili ya kipindi cha kwanza cha jukwaa la dunia la vijana la mfumo wa umoja wa mataifa. Kwa mara ya kwanza, Umoja wa Mataifa ulisherehekea mwaka wa kimataifa wa...
  8. Sildenafil Citrate

    Ushauri: Bima kwa wote iendane na utoaji wa elimu. Kuna "Lightness" wengi sana wasio na sauti

    Jana waziri wa Afya Mh. Ummy Mwalimu alitoa maelekezo kwa Lightness Shirima (22), mwanafunzi wa Chuo Cha Serikali za Mitaa (LGTI), Hombolo - Dodoma kufika Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa ajili ya kuchukua kitambulisho chake kilicho zuiwa kutolewa kutokana na kushindwa kulipa deni la tsh 9M la...
  9. GENTAMYCINE

    Mimi nilidhani haka Kautamaduni kabaya kangeishia tu kwa RC Chalamila wa Kagera kumbe kanaendelezwa na kwa Wengine?

    Rais Samia Suluhu Hassan amemteua aliyewahi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) Eric Benedict Hamissi kuwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Huduma za Meli (MSCL). Rais Samia alitengua uteuzi wa Hamissi mapema mwezi Julai mwaka huu na nafasi hiyo kuzibwa na Bw...
  10. Lady Whistledown

    Uteuzi: Stephen Kagaigai ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya TBC

    Rais Samia Hassan amemteua Eric Benedict Iamissi kuwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Huduma za Meli (MSCL). Kabla ya uteuzi huo alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) Pia, Stephen Nzohabonayo Kagaigai ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Utangazaji...
  11. N

    Mbunge gani katika bunge letu la sasa tunaweza kumpa shida/tatizo au siri na akatusaidia kwa hoja, kama ilivyokuwa awali?

    Heshima kwema JF Moja kwa moja kwenye hoja, zamani wananchi walikuwa wanaibua uozo uliko ndani ya wizara, mkoa, wilaya, Idara au hata mashirika ya umma kwa kutoa siri ya kinachoendelea kwa wabunge wa upinzani iliwanjenge hoja na kulisidia taifa kutokana hali hiyo. Rejea Richmond, chuo cha KIU...
  12. JF Member

    Kura zikipigwa leo, hakika anarudi zake kisiwani

    Kwa hali ilivyo huku mtaani. Sioni namna anatoboa. Cha kushangaza hadi walioimba anaupiga mwingi, walioimba anaupiga hadi unamwagikia kwa sasa wako zii. Kitu kina mcost ni lack of consistence, kukosa msimamo. Wengine wanaenda mbali hadi wanaingiza mambo ya jinsia kwenye uongozi. Alicho baki...
  13. The Sheriff

    Ni Muhimu Watoto Wenye Ulemavu Kuwezeshwa Kuwa Washiriki Hai Katika Jamii Zao Na Kuishi Maisha Bora

    Ni muhimu kwa watu wenye ulemavu kuwa washiriki hai katika jamii zao na kuishi maisha yenye kuridhisha. Mkataba wa Haki za Watu Wenye Ulemavu unasema kuwa watu wenye ulemavu wana haki ya kushiriki kikamilifu katika jamii. Watoto na watu wazima wenye ulemavu mara nyingi hukabiliwa na ubaguzi...
  14. C

    Kuwe na Uhuru wa Mahakama katika masuala ya Kidemokrasia

    Kama wote tutakuwa sawa chini ya sheria na hakuna hata mmoja atakayekuwa juu ya sheria hiyo ndiyo itakapokuwa nchi yenye misingi ya kisheria. Sheria inatakiwa imuhusishe kila mtu ndani yake ukiingiza na serikali ndani yake kwani serikali pia imebeba watu inaowatumikia katika kufanya kazi katika...
  15. M

    Je, maadhimisho ya siku ya wakulima, maarufu kama nanenane yana tija yoyote kwa wananchi wa Tanzania?

    "Waziri wa Kilimo Hussein Bashe, ametangaza rasmi kurejea kwa Maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima, Wafugaji na Wavuvi maarufu kama Nane Nane kwa mwaka 2022. Waziri Bashe amesema baada ya timu ya Wizara kupitia na kubuni namna bora kulingana na mazingira ya sasa ya namna bora ya kuendesha...
  16. C

    Jaji Makambara: Hakuna Sheria mbovu, kuna Sheria zilizopitwa na wakati

    Maneno haya yalizungumzwa na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria akizungumzia hayo katika Mkutano wa Miaka 30 ya Demokrasia ya Vyama Vingi. Mkutano uliohudhuriwa na baadhi ya viongozi wa serikali na vyama vya kisiasa kama vile ACT, Chadema na wengine lakini Chama Tawala kilitoa Udhuru kutokana na...
  17. M

    Januari Makamba: Kama kuna mtu anataka kutapika kwa sababu kina mama wa vijijini wamepata mitungi ya gesi, basi aende pembeni kutapika

    Waziri wa Nishati, Januari Makamba amesema kama kuna mtu anataka kutapika kwa sababu kina mama wa vijijini wamepata mitungi ya gesi basi aende pembeni kutapika lakini hataacha wala kusimamisha zoezi la kugawa mitungi kwa sababu ni msaada mkubwa kwa akina mama. "Sasa kama kuna mtu anataka...
  18. figganigga

    Rais Samia, tunaomba Umtoe Mkurugenzi wa NBS, atatuharibia Sensa. Hili ni suala la Kitaifa

    Salaam Wakuu, Mkurugenzi Mkuu Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Dk. Albina Chuwa, tunaomba apumzishwe ili kazi hii ya Sensa iende Vizuri. Hili ni Suala la Kitaifa si Swala la CCM. Kila mtanzania anatakiwa ashiriki hata asiyekuwa na chama. Tutafute Mtu asimamie Sensa kwa Manufaa ya Nchi. Dk Chuwa...
  19. B

    Aibu! Boda ya Rusumo Mgeni haingii nchini bila rushwa

    Tusipoyaandika au kuyapigia kelele vilivyo, mama aliye busy na kuifungua nchi atayasikia vipi na hasa kama wenye dhamana ni sehemu ya mchezo wenyewe? Baada ya kuyasikia nilijivinjari kufika mpakani Rusumo kujiridhisha. Huu ndiyo ulio ukweli mchungu: Mgeni haingii nchini bila kutoa rushwa...
  20. Papaa Mobimba

    Babati: Viongozi BAVICHA Taifa wakamatwa na Jeshi la Polisi kwa kufanya mkusanyiko usio na kibali

    Leo, viongozi wa BAVICHA, John Pambalu na ujumbe wake wamekamatwa na jeshi la Polisi Babati wakiwa kijiweni, wakijadili na vijana wenzao masuala ya nchi yao. Polisi Babati wanasema hili ni kusanyiko lisilokuwa na kibali, hivyo John Pambalu (mwenyekiti wa BAVICHA) na wenzake 7 wamekamatwa kwa...
Back
Top Bottom