government

  1. mangiTz

    Msaada ufafanuzi page ya Tanzania government communicator

    Habari wakuu Kama title inavyojieleza naomba kufahamu hivi page ipo chini ya taasisi ya serikali au ipo chini ya mtu binafsi. Ni kwasababu mara nyingi nimeona caption zake zinaanza na neno " nime... " Nimefanya hivi n.k Lakini kuna vingine pia ni kama havihusiani na page au viko kibinafsi...
  2. F

    Study in Romania: Romanian Government Scholarships for Non-EU Citizens 2025 (fully-funded & available for undergraduate, master’s, and PhD)

    Usaidizi wa application ya scholarship hii utatolewa, contact www.researchlinktz.com, visit the Opportunities page for more assistance.
  3. Venus Star

    Gerson Msigwa: Serikali tayari imeshanunua treni 10 za mchongoko, 8 zimeshawasili

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, na Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema Serikali tayari imeshanunua treni 10 za mchongoko ambapo treni 8 zimeshawasili na kati ya hizo 8, treni moja siku ya Jumamosi Januari 25, 2025 inakamilisha majaribio yake kutoka...
  4. Venus Star

    MSLAC yapamba moto Kakonko - elimu kwa wananchi yaendelea kutolewa

    Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko yashuhudia ongezeko kubwa la hamasa kupitia kampeni ya Samia Legal Aid Campaign (MSLAC), ambapo elimu ya sheria inaendelea kutolewa kwa wananchi kwa kasi kubwa. Wananchi wamehamasishwa kuhusu masuala ya ardhi, mirathi, ndoa, haki za kijinsia, ajira, na mbinu za...
  5. Venus Star

    Ujenzi wa Msalato international airport wazidi kunoga –PAC yaridhishwa na maendeleo, yaagiza ukamilike kwa haraka na ubora

    Mradi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Msalato jijini Dodoma umeendelea kuonyesha maendeleo makubwa, huku kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) ikieleza kuridhishwa na hatua zilizofikiwa hadi sasa. PAC imeitaka serikali na wakandarasi kuhakikisha mradi huu unakamilika haraka lakini pia...
  6. Venus Star

    Daraja la jp magufuli (kigongo-busisi ) lafikia asilimia 96.3, kukamilika februari 2025

    Waziri wa Ujenzi Abdallah Ulega amesema Daraja la JP MAGUFULI (Kigongo-Busisi), linalounganisha mkoa wa Mwanza na Geita, linatarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwezi Februari mwaka huu.Akikagua Ujenzi wa Daraja hilo leo tarehe 24 Januari 2025 mkoani Mwanza, Waziri Ulega amemshukuru na kumpongeza...
  7. Roving Journalist

    Baada ya kuondoka Twaweza East Africa, Aidan Eyakuze ajiunga na Ushirikiano wa Serikali Wazi (OGP)

    Ushirikiano wa Serikali ya Wazi (OGP) unafuraha kubwa kutangaza uteuzi wa Aidan Eyakuze, Mkurugenzi Mtendaji wa Twaweza Afrika Mashariki, kama Mtendaji Mkuu (CEO) mpya wa OGP. Eyakuze analeta uzoefu mkubwa katika masuala ya Serikali wazi, Uwazi, na Ushirikishwaji wa Wananchi barani Afrika na...
  8. Mathanzua

    U.S. Government COVID-19 after action report is out .It clearly shows that those who were called "Conspiracy Theorists" were RIGHT

    U.S. Government COVID-19 after action report is out .It clearly shows those who were called "Conspiracy Theorists" were RIGHT,and everyone else was wrong Hal Turner World December 02, 2024 The US House of Representatives "COVID Committee" has released its Final Report (527 Pages) and it's now...
  9. Meneja Wa Makampuni

    Why 'A' Students Work for 'C' Students and 'B' Students Work for the Government

    "The education system teaches people how to work for money, not how to make money work for them." 7 lessons from Why 'A' Students Work for 'C' Students and 'B' Students Work for the Government: Rich Dad's Guide to Financial Education for Parents by Robert T. Kiyosaki's: 1. The Education...
  10. Mindyou

    Towards 2025 Tundu Lissu declares "The election is over" as he scrutinizes the ongoing Local Government Elections procedures

    In a highly publicized press conference meant to address Tanzania’s ongoing Local government election process, Tundu Lissu, CHADEMA's Vice Chairman for Tanzania Mainland, voiced deep skepticism about the fairness and integrity of the current electoral climate. Speaking to journalists today...
  11. Mindyou

    Towards 2025 Minister Mchengerwa: Candidates should file their objections for Local Government Elections in 2 days

    The Minister of State in the President’s Office for Regional Administration and Local Government, Mohamed Mchengerwa, has urged all candidates who are dissatisfied with the nomination of candidates for various positions in the upcoming Local Government Elections. Read also: CHADEMA and ACT...
  12. D

    Can TISS be catalysts who alter the government actions but do not take part in the actions themselves?

    I hope in tanzania TISS take part in the government decision though they are supposed to be catalysts only. Is the the reason why the opposition parties particularly chadema can't face free and fair election? If this is true why don't we reform our constitution to cover up this loop hole.
  13. Ojuolegbha

    Waziri Kombo amwakilisha Rais Samia katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Madola Apia, Samoa

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo anamwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa 49 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Madola (CHOGM) unaoendelea Apia, Samoa kuanzia Oktoba 21 hadi...
  14. winnerian

    Why a Government System's Failure Leads to the Collapse of All Sectors, Including the Private Sector

    In Tanzania, we have often heard that agriculture is the backbone of our country, emphasized repeatedly by leaders, institutions, and policies. While agriculture plays a significant role in sustaining livelihoods and contributing to the economy, I argue that it is not the true backbone of this...
  15. and 300

    Tunawakilishwa na nani Commonwealth Heads of Government Meeting, Samoa?

    Kama mjuavyo Commonwealth Heads of Government Meeting tarehe 25-26 Oktoba 2024 huko Samoa. Nani anapeleka agenda yetu huko? World Food Summit, Rome, Italy kama kawaida.
  16. and 300

    Upcoming trips abroad: World Food Summit (Italy) & Commonwealth heads of Government (Samoa)

    Watanzania fursa zinazidi kufunguka duniani. Mikutano mkubwa hiyo tayari. Ni nyie kucheza na fursa Tu. Asanteni
  17. w0rM

    President Samia warns foreign diplomats: You can’t tell me what to do, we know what to do!

    President Samia Suluhu Hassan has criticized Western interference in Tanzania's internal affairs and urged foreign diplomats to respect the country's sovereignty. Without naming specific countries, President Samia asserted that Tanzania will not accept directives from any foreign government on...
  18. Doctor Mama Amon

    Utovu wa nidhamu katika Vyombo vya Ulinzi na Usalama, unaohusisha usiginaji wa Katiba, unahalalisha wito wa “Samia Must Go”

    Kama ukiwa msituni kuchanja kuni kwa ajili ya kuwapikia watoto wako chakula, mara akajitokeza nyati anayetaka kukurarua na kukuteketeza, kuna mambo manne yanaweza kufanyika. Nayo ni: Kukimbia, kama una uhakika unayo kasi kubwa kuliko kasi ya nyati huyo; au Kupanda mti mrefu au kuingia kwenye...
  19. Ngaliwe

    Tanzania Under Samia Suluhu Hassan: A Leader in Democracy and Government Transparency in Africa

    Tanzania, under the leadership of President Samia Suluhu Hassan and the ruling party Chama Cha Mapinduzi (CCM), has emerged as a significant example of democratic progress and government transparency in Africa. In a continent often marked by political turbulence and governance challenges...
  20. Mathanzua

    Despite scientific findings explaining how vaccines trigger Autism, government and health authorities worldwide continue to ignore them

    September 5, 2024 Despite scientific findings explaining how vaccines trigger Autism, government and health authorities worldwide continue to ignore them.The problem apparently is rooted in the body’s response to the aluminum adjuvant used in six vaccines on the childhood immunization...
Back
Top Bottom