Nimefanya simple research nikaona kuwa - Intergovernmental Agreements (IGAs) na Host Government Agreements (HGAs), zina template maalum ambayo mabeberu waliitengeneza kulinda maslahi yao na kuiba mali za developing world. Nimesoma mikataba iliyopo kwenye google nikagundua format hiyo iko kila...
The public authority has affirmed that the hotly anticipated yearly compensation increment will start to be paid next month.The Clergyman of State in the President's Office (Public Assistance The executives and Great Administration), George Simbachawene tended to the matter yesterday, in light...
As President Samia Suluhu Hassan marked two years in office, I penned an article concluding that she is a “decent person”. However, my assessment faced significant criticism from certain circles. How dare I suggest, critics asked, that the President is decent?
I observe that two groups...
Hello,
I’m observing the trends of some O-level graduates ditching A-level selections for NACTVET.
Some have 9 A’s. What went wrong in A-level ?
Shouldn’t the MoE scrap A-level subjects or merge it somewhere in NACTVE and University curriculum?
Major reason has been ‘That level is a wastage...
Nimekuwa Tanzania kwa muda mrefu sasa nataka kutoa ushauri kwa serikali ya Tanzania na wananchi wa Tanzania.
Nchi ya Tanzania ina kabiliwa na umasikini mkubwa hali hii nimejifunza na kushuhudia sehemu kubwa ya Tanzania na hali hii kwa sasa inazidi kuathiriwa kwa kasi na tatizo la kuongezeka kwa...
Kwa watasha tuu karibuni msongoke
---
STATEMENT
IN RESPECT TO THE INTERGOVERNMENTAL AGREEMENT (IGA)
BETWEEN THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA AND THE
EMIRATE OF DUBAI CONCERNING THE ECONOMIC AND SOCIAL
PARTNERSHIP FOR DEVELOPMENT AND IMPROVING THE
PERFORMANCE OF SEA AND LAKE PORTS IN TANZANIA...
Hellow Africa 🌍
Tanzania kubwa lakini pia tuna viongo ambao tumewachagua kutoka kwenye jamii zetu kwa namna moja wanapatia na nyingine wanakosea.
Je, kwako wewe katika eneo lake unalo is ishi au kwenu ulikozaliwa changamoto kubwa ni nini?
Mimi kwangu ni barabara ni changamoto kubwa kutoka...
"Deep government observers" ni wachambuzi na wataalamu wa masuala ya siasa, serikali, na utawala wa nchi, ambao wanachunguza shughuli za serikali na uongozi wake katika kiwango cha kina zaidi kuliko wataalamu wengine wa masuala hayo. Huduma yao ni muhimu sana katika kufanya uchambuzi wa kina...
MINISTER JENISTA MHAGAMA SAYS; GOVERNMENT OF TANZANIA READY TO REVIEW ELECTORAL LAWS.
The government is ready to review electoral laws, among others, being part of the preparations to the writing of a new constitution, the Parliament Said today.
Minister of State, Prime Minister’s Office...
You go to the hospital mama kijacho kapata uchungu you need to give bribe to buy nurses attention.
You are peacefully driving and just ahead of you kunguru mweupe gives you a hand signal, My friend just prepare that 5k or 10k else you might just loose your precious time.
Nepotism is also on...
Wakurungwa
Tanzania bado tunajiweka nyuma sana katika maswala ya kimataifa wakati enzi za Mwalim Nyerere tulikuwa frontier katika Ukombozi wa Afrika dhidi ya Mabeberu ambao wanapoka uhuru wa Afrika wenzetu.
Now Days we remaining silence wakati bado nafasi ya kubwa ya kuwa mpatanishi na...
Salaam ndugu Wana JF,
Naambiwa "Mama" yetu Rais wetu huwa anasoma humu JF.
Kwa heshima na taadhima naomba asome na hii.
Twende kwenye hoja..
Leo hii Kuna jamaa yangu kutoka halmashauri ya jirani kapata uhamisho kutoka halmashuri yake kwenda chuo cha Mandela (Arusha) yaani kwa huo mshahara...
Fully Funded Thailand Government Scholarships 2023/2024
Chulalongkorn University Thailand Government Scholarships 2023
Deadline: 31st May 2023 Fully Funded Thailand Government Scholarships 2023/2024
Click here to apply: Fully Funded Thailand Government Scholarships 2023/2024...
Wife kapata kazi serikalini huko,mshahara ni TGS D ambayo ni sawa na laki 7.6, kwa sasa anafanya kazi private sector ambako mshahara ni 1.6m gross.
Kampuni anayofanyia ina pressure za hapa na pale ila kuna a lot of incentives kama bima ya afya ya Jubilee,holidays allowance na nyingine nyingi...
Je hii ni urithi wa rais yule aliyeamua kununua ndege nyingi kwa kampuni iliyofilisika tayari?
Halafu bila kumtafuta hata meneja mmoja aliyewahi kufaulu katika biashara hiyo?
Nani alimshauri rais aliyefuata kuendelea na mpango huu?
Cash strapped Air Tanzania to receive Sh10 billion government...
Duh haya mashairi mazuri ya mwanamuziki Diamond kwenye wimbo yatapita yanatukumbusha msoto majeraha kipindi cha mwendazake aisee watu waliteseka balaa matajiri wakafirisiwa, watu waliuawa hovyoo na kutupwa baharini kama vifurushi, wasomi walikosa matumaini na elimu zao zilikosa thamani kabisa.
Niende tu moja kwa moja kwenye mada husika. Niko najiuliza, hivi siku hizi huko shule watoto wetu wanafundishwaje aisee. Nauliza hivi maana toka majuzi sielewi mwanangu kaona nini na wapi. Amekuwa ananiuliza na hii leo ni mara ya pili, "Baba, rais anaongoza na nchi? nikajibu ndio mwanangu...
Kwema wakuu,
Yapata miezi 4 sasa tangu watu tutume applications za taasisi tajwa hapo juu lakini wahusika ni wako kimya tu hawaiti watu kwenye usaili.
Hivi karibuni zimeibuka tuhuma mbalimbali kutoka kwa wadau kuwa kuna watu kutoka hizo taasisi tajwa hapo juu wameajiriwa kimya kimya bila hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.