Baada ya kuona tangazo la zawadi nono kwa atakayefanikisha kutiwa nguvuni Kigogo2014, nili'follow' ukutasa huo ili nifatilie kinachoendelea.
Lakini baada ya muda mfupi, ukurasa huo haupatikani tena. Ama kweli tumekosa 'zawadi nono' kwa atakaempata kigogo2014.
Mmmmh! Siku ya kwanza binafsi kuona bajeti ya jumla ya serikali nilimuuliza rafiki yangu xxxx kwamba hivi tutafanikiwa kweli kama ulaya sisi? Niliuliza hivyo bila kuelewa vizuri maana binafsi nilivyoona salaries na wages inaichukua serikali pesa nyingi nilisikitika sana moyoni.
Nilisikitika...
On behalf of Muhimbili National Hospital (MNH), National College of Tourism (NCT), The Dar es Salaam University College of Education (DUCE), Petroleum Upstream Regulatory Authority (PURA) and Benjamin Mkapa Hospital, Public Service Recruitment Secretariat invites qualified Tanzanians to fill 28...
1. JOB TITLE: Driver II (2 POSTS)
QUALIFICATIONS
Holder of Certificate of Secondary Education (CSE) or Advanced Certificate of Secondary Education (ACSE) with a valid driving license grade E and C1, one year working experience with clean in accident record and basic driving course certificate...
Tahadhima kwenu wajumbe wa bodi huru!
Kwa muda sasa nimekuwa nikimfuatilia kwa karibu Waziri huyu toka alipoteuliwa na Rais Magufuli kuwa Waziri wa Afya. Namzungumzia Dk. Dorothy Gwajima.
Kila ofisi zilizochini yake anapoingia huwadhalilisha sana madaktari wenzake. Dk. Gwajima anamtazama kila...
Tanzania's debt surging, but government says it’s still sustainable
By BEATRICE MATERU More by this Author
Summary
Despite the increase, the Ministry of Finance says that the debt is still sustainable.
For the year 2020/2021, the indicative debt burden threshold in Tanzania is 55...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe, Selemani Jafo amesema ndani ya miaka mitatu ijayo matamanio yake ni kuona Halmashauri zinajitegemea zenyewe kupitia mapato ya ndani na kwamba ifike muda ziwe zinalipa watumishi wake mishahara.
“Nikiangalia hoteli...
Mining sector reforms in Tanzania, just like elsewhere in the world, relate to the whole of natural resources governance. According to the OECD (2011) task force natural resources report, both renewable and non-renewable, as well as ecosystem services are part of the real wealth of nations such...
Firstly am delighted to realize differences in some policy propositions by Tundu Antipus Lissu — the Chadema opposition presidential candidate against those of the incumbent and the ruling party Chama cha Mapinduzi presidential candidate, Dr. John Pombe Magufuli.
One of those important policy...
Dar es Salaam. A Tanzanian medical researcher and innovator, Dr Lwidiko Edward Mhamilawa, has been recognized by the United Kingdom government for work he has done in grooming young scientists in his country.
The medic, has been announced as the Commonwealth Point of Light Awardee recipient, an...
Kenyan County governments are more efficient than the central government of most nations. Let`s take an example with Tanzania and Mombasa, the Magufuli government is depending on the Morrocan Government to build Dodoma stadium while Mombasa stadium is getting built without even the help of the...
Wakuu naomba mnisaidie Mimi nimehitimu kidato cha NNE mwakaa 2019 nikapata Chemistry-C, Biology-C, M aths-C, Geo-C, Physics-D, Hist-C, Kiswahili-C na English- C, nina 2point 21 he ninaweza kupata chuo cha Serikali kwa koz ya clinical officer kwa ushindani uliopo saizi
Credit: Tanzania Government Seizes Gold Worth Sh2.9 Billion
''Dar es Salaam - The government has nationalised 27.488 kilograms of gold worth over Sh2.9 billion which were illegally smuggled from Kenya. The gold, which belongs to Tanzanian businessman Bhawesh Chandulal Gandecha, was seized by...
Serikali ya Venezuela imefungua kesi ya madai nchini Uingereza kudai kiasi cha dhahabu yake yenye thamani ya dola bilioni 1 ilohifandhiwa katika benki kuu ya Uingereza.
Kesi hiyo itakayosikilizwa kwa siku nne mjini London itahusisha pande mbili ambapo ni wawakilishi wa serikali ya Venezuela na...
If you're a football fan,have you ever wondered why Argentina has rarely fielded a black player in their team? This is surprising, given the fact that Argentina is in South America and unlike its neighbour countries,like Brazil,Ecuador,Chile,and others in the continent who all have black players...
Je, Mtu mwenye ufaulu huu Civ - C , Geo - C , Kisw - C , Eng - C , Chem - C , Bio - C , Phy - D , Math D , Hist - D anae 3 . 22 anaeza kwenda advance Government comb ya PCB 2020?
Hii handling ya corona pandemic hapa italeteleza government non- maleficence
Nonmaleficence
The principle of nonmaleficence holds that there is an obligation not to inflict harm on others. It is closely associated with the maxim primum non nocere (first do no harm). The principle of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.