gpe

  1. Roving Journalist

    Jakaya Kikwete aongoza Vikao vya Bodi ya Taasisi ya GPE vinavyofanyika Jijini Paris

    Rais Mstaafu Mhe. Dkt. Jakaya Kikwete, ambaye ni Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Kimataifa inayoshughulikia Masuala ya Elimu Duniani (Global Partnership for Education (GPE) ameongoza Vikao vya Bodi ya Taasisi hiyo vinavyofanyika Jijini Paris, nchini Ufaransa kuanzia tarehe 5 hadi 7 Disemba...
Back
Top Bottom