Position: Front Office Administrator
Job Description
Responsible for providing functional support to business at all times and ensuring smooth running of administrative and operational matters of the business.
Follows standardized processes and provides administrative support in line with...
nimeleta hii mada tuwa tafakari hawa vijana wamalizapo chuo au kama wamemaliza chuo mda zaidi ya miaka miwili na zaidi ujiona kila kitu kwao wapo zaidi ya walio mtaani kimaisha.
maana hayashauriki
1. Singapore International Graduate Award (SINGA)
https://opportunityportal.info/singapore-government-singa-scholarship/
2. Deakin University Scholarship
https://opportunityportal.info/deakin-university-scholarship-2023/
3. Boston University Scholarships...
Naomba msaidie dogo wangu afanyaje mana alikuwa hajui kama kajisajili postgraduate degree badala ya local undergraduate loan application.
Hivyo form inamsumbua hatari na ukiwapigia watu loan board hawapokei masimu!
Host Country: Thailand
University: Chulabhorn Graduate Institute
Degree Level: Masters
Financial Coverage: Fully Funded
Deadline: 30th September 2023
Scholarship Duration
6 weeks of refresher courses and 2 years of Master’s degree study. The academic program will commence in August 2024.
Fields...
We kijana uliyesoma soma huko,
kuna sera mpya inakuja haiwezekani ule milo mitatu hivi hivi wakati huna kazi yoyote unayofanya hapo nyumbani
Halafu ukute anayekulisha amekubali kuteseka na kazi ya laki na nusu kwa mwezi...
amka upambane tukutane mezani Jioni tu
Milo mitatu ni kwa watoto wadogo
Mkipata kazi kwanza mjue mlichojifunza Chuoni ni kama 60% hivyo mnahitaji kujifunza kwa haraka majukumu mtakayo pangiwa bila dharau kwa mtakao wakuta. Degree inakusaidia kupata kazi ila haikusaidii kuendelea kubakia kazini.
Kitakachokufanya usalie kazini na kuendelea kula mema ya nchi ni kama...
Habari wanaJF
Nilikuwa napitia kitabu cha TCU cha "Postgraduate Guidebook", Nikaona kuna baadhi ya vyuo kama CBE, TIA, IIA n.k ambavyo ni vya serikali na vinatoa hadi elimu ngazi ya Masters lakini kwenye kitabu hicho.
Hii inamaanisha hizo kozi hazitambuliki na TCU? Au TCU wamevisahau...
Hello members,
I am university graduate from UDSM, studied (BAED) Linguistics and literature graduated with GPA of 3.8 natafuta any NGO nipate volunteering position ili niweze ku-advance my career.
I am expert on Ms word, powerpoint and Excel studied at (UCC-UDSM), I have ability to meet...
Kwa Graduate Engineers, jiendeleze kwa kozi zinazotolewa na Siemens bure, na kupewa Certification
Hizi zinaweza kukuongezea ujuzi na kupendezesha CV yako, au hata kujichotea mawili matatu ya kuweza kujiajiri kama Contractor Engineer wa Viwandani na Ofisi yako ya mkononi....
👇...
Polisi, Uhamiaji, Magereza na Zimamoto. Wote ni wizara moja. Sayansi mliyotumia inashangaza.
Hivi mnajua kwamba tunao-graduates wanauza chai kwenye vihoteli vidogo?
Mnajua kwamba kuna graduates wanaendesha bodaboda? Mnajua kuwa form six leavers wanauza matunda stendi na wengine ni vibarua wa...
Habari, natumaini uko salama na Leo nataka niongee na wazazi ambao Wana watoto ambao wamemaliza chuo na wako nyumbani bado hawajapata kitu maalumu cha kuwaingizia kipato.
Uzi unaanza..wazazi wengi ambao wana watoto waliomaliza chuo sasa hivi wengi wao ni wazazi ambao walikua wanaamini sana...
Wadau wa JamiiForums habari zenu, Mimi Ni graduate engineer kwenye kozi ujenzi barabara na majengo ngazi ya Diploma, hivyo Ninaomba msaada wa kimawazo Kuna contractor ambaye alinisihii nimsajilie mwanae kampuni kutumia cheti changu na ya kwamba atanizingatia katika kazi kama engineer.
Naombeni...
Can anyone imagine how many students graduate Universities and go back homes with full of books and hand-outs in their heads but with no any idea neither skills of how to fight the poverty in their societies, and set up businesses?
WE DON’T NEED CAPITAL TO THINK
It is good to know that no one...
Habari!
Siku moja nilikuwa na mzee mmoja mstaafu JWTZ aliniambia kuwa Ikulu hupokea taarifa na majina ya wahitimu wa elimu ya chuo kikuu wale wa degree ya awali nakuendelea. Pia hupokea majina ya baadhi ya wahitimu wa elimu ya stashahada na advanced diploma kila mwaka.
Rais kwa kutumia team...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.