graphic

  1. Miss Natafuta

    Natafuta mtu wa kunifundisha graphic design

    Natafuta Mwalimu wa Graphic Design 🔹 Sifa: Awe mhitimu wa chuo 🔹 Mshahara: Makubaliano 🔹 Mahali: Nyumbani kwangu (Dar es Salaam) 🔹 Ratiba: Kila Jumapili, kuanzia saa 4 asubuhi hadi saa 4 usiku 🔹 Marupurupu: Laptop, simu (kiswaswadu) 🔹 Muda wa Kozi: Makubaliano 📍 Awe mkazi wa Dar es Salaam...
  2. Jamii Opportunities

    Graphic Designer & Social Media Marketer at Dark Earth Carbon March 2025

    Dark Earth Carbon on behalf of Masika Venture, is seeking a Graphic Designer & Social Media Marketer Job Location: Dar es Salaaam Short Brief of the Company: Masika Ventures is an umbrella organization that encompasses the business services functions of our companies including Upendo Honey...
  3. Joseph 44

    Naomba Mnisaidie Kujuzwa Kuhusu Gaming Pc Yenye Graphic Card Ya Gtx 1650 4 Gb

    Jamani poleni nakazi na mihangaiko ya hapa na pale wakuu. Kama nilivyosema mimi ni mpenzi wa games sasa kuna gaming pc nimeipata mshikaji anaiuza hana hela kaishiwa ina graphic card aina ya GTX 1650 4 GB sasa nilikuwa nauliza hii gaming pc inaweza kucheza magame ya ps5 Maana hamu yangu ni...
  4. Binadamu Mtakatifu

    Tangazo la ajira: Graphic designer & digital marketer

    Tunatafuta mtaalamu mwenye ujuzi katika Graphic Design na Digital Marketing kwa ajili ya kujiunga na timu yetu. Mtu anayefaa kwa nafasi hii anatakiwa kuwa mbunifu, mwenye uelewa mzuri wa masoko ya kidijitali, na uwezo wa kuandaa maudhui yanayovutia. Majukumu: Kubuni na kutengeneza nyenzo za...
  5. CFX

    Diploma ya IT, Dereva, Graphic Designer, Data Officer(Entry)

    Nina Ordinary Diploma ya Information Technology nina Ujuzi sehem zifuatazo :- 1. Graphics Designing and Printing 2. Data Entry 3. Class D license ya Magari (Manual na Automatic transmission) 4. Sales and Marketing, kuongoza Team ya Marketing NB: Ninafundishika Kama ni kazi mpya na mifumo mipya...
  6. kwa-muda

    Natafuta junior software developers wa backend na frontend na graphic designers tuunde kampuni

    Wakuu, Mimi ni mtu ninayependa sana technology na nimekuw nikifuatilia sana masuala ya technology. Kwa upande wangu sijasoma course yoyote officially ambayo iko related na masuala ya IT ila mengi nimejifunza mwenyewe kuanzia programming japo siwezi tengeneza kitu chochote cha maana ila najua...
  7. Mr Kazembe

    INAUZWA Nauza Graphic Card Nvidia RTX 2060 super 8GB

    Graphic Card Nvidia RTX 2060 Super 8gb Nauza Tsh 600000/= laki sita inacheza games zote wakuu niwewe tuu na wale watu wa 3d hii ni fursa kwako chukua piga kazi kwa uhakika 0657977457 📍Dar es Salaam
  8. tustary software develope

    Karibu upate huduma za graphic design kwa bei poa

    UNAHITAJI KUDESIGN STICKERS & PRODUCTS LABELS,VIPEPERUSHI,POSTER NA LOGO YA BIDHAA YAKO? Usikubali bidhaa yako uize kiholela sokoni bila kuwa na utambulisho wenye muonekano mzuri na kuuzika sehemu yoyote unayohitaji Bidhaa nyingi nzuri zimeshindwa kupata masoko sababu hazina muonekano mzuri...
  9. tustary software develope

    Je, unahitaji huduma bora za Graphic Design?

    Je, unahitaji huduma bora za Graphic Design? Kama jawabu ni ndio! Basi hii ni sehemu sahihi ya kutatua haja yako. Tunatoa huduma bora za graphic design kwa bei nafuu: 🔹 Huduma ya Logo design zenye kuvutia na za kipekee pamoja na banner. 🔹 Huduma ya business Card design.na lebo za bidhaa 🔹...
  10. tustary software develope

    Tunatoa huduma bora za graphic design kwa bei nafuu

    Je, unahitaji huduma bora za Graphic Design? Kama jawabu ni ndio! Basi hii ni sehemu sahihi ya kutatua haja yako. Tunatoa huduma bora za graphic design kwa bei nafuu: 🔹 Huduma ya Logo design zenye kuvutia na za kipekee. 🔹 Huduma ya business Card design. 🔹 Huduma ya Flyer 🔹 Huduma ya poster...
  11. LIKUD

    Narudia tena akili ya mbantu haiwezi kufanya biashara. Graphic designer kadengua kazi ya zaidi ya laki 5 then baadae anaitaka tena

    Sista angu alikuwa na project yake anatakiwa kuisubmit mahali. Hiyo project ilikuwa na picha kama mia na ushee hivi ambazo yeye aliona zinafaa kufanyiwa graphics zote. Bajeti ya sista kwa picha ni sh. Elfu 5 kwa kila picha. Mimi huyo nikaenda mpaka kwa ofisi ya brother mmoja anafanyaga...
  12. tustary software develope

    Tunatoa huduma ya graphic design na kutengeneza matangazo mbalimbali

    Je unahitaji huduma bora za Graphic Design? Kama jawabu ni ndio! Basi hii ni sehemu sahihi ya kutatua haja yako. Tunatoa huduma bora za graphic design kwa bei nafuu: 🔹 Huduma ya Logo design zenye kuvutia na za kipekee. 🔹 Huduma ya business Card design. 🔹 Huduma ya Flyer 🔹 Huduma ya poster...
  13. tustary software develope

    Nafanya Graphic Design, Window Repair and Installation, Phone Settings

  14. Jamii Opportunities

    Graphic Designer and Social Media Officer at Gaini Company Limited (GCL) February, 2024

    Position: Graphic Designer and Social Media Officer Employment Condition: Full Time Job Gaini Company Limited (GCL) is among the leading Building Material and Hardware items sellers in Lake Zone, Dodoma and Dar Es Salaam regions. The company is now expanding to Southern Highlands and Northern...
  15. Jamii Opportunities

    Multimedia & Graphic Design Volunteer at TEN/MET February, 2024

    Position: Multimedia & Graphic Design Volunteer (International) Duration: 6 Months – 1 Year Location: Tanzania, Dar es Salaam Time: 40 hours per week TEN/MET, a national education network of 232 CSOs, is seeking an International Multimedia & Graphic Design Volunteer to create impactful...
  16. T

    Graphic Content: Angalia kundi la Janjaweed wanachowafanyia wanawake Darfur, Sudan

    Wakuu angalieni kundi la Kiisilamu la Janjaweed wanachowafanyia wanawake Darfur Sudan. Haya makundi ya kiisilamu hua hayana huruma na wanawake wala watoto? https://twitter.com/abasmas/status/1740720706110038506?s=19
  17. CFX

    Natafuta kazi nina Diploma ya IT, Dereva, Data Clerk na Graphic Designer

    Tayar
  18. Relief Mirzska

    Graphic designer & social media expert

    Habarini wadau, Nimewakumbuka sana. Anyways, kuna nafasi ya kazi na anahitajika Graphic designer and social media expert. Vigezo : 1. Awe mwanamke 2. Asiwe na majukumu ya kifamilia 3. Muaminifu na asie muongomuongo 4. Awe tayari kujifunza new skills 5. Ajue kuzungumza kiingereza, akijua lugha...
  19. Father of Chemistry

    Je, unaifahamu Canva?

    Za asubuhi wanaJF. Leo ikiwa ni Jumanne tulivu, wanaJF wakitokea kwenye weekend ndefu kuanzia Jumamosi. Ninaanza kwa swali kama kichwa kinavyosema, Je unaifahamu CANVA? Share designs uliyotengeneza kwa kutumia hii software ya CANVA. Natumai kwa wale wote ambao hawaifahamu ni mwanzo mzuri wa...
  20. Termux

    Uzi maalumu kwa ajili ya kujifunza namna ya kutengeneza ( Animation ) Motion Graphic kwa kutumia Cinema 4D

    JE Unapenda Kujifunza Cinema 4D au Blender? ( Animation ) Motion Graphic kwa kutumia Cinema 4D. Mwezi sasa toka nianze kujifunza Animation kwa kutumia Cinema 4D na Blender. Week hii nmefanya kazi moja ya kutangaza bidhaa ya mteja kwa kumdizainia flyer, logo na Motion graphic ya bidhaa yake...
Back
Top Bottom