Natafuta Mwalimu wa Graphic Design
🔹 Sifa: Awe mhitimu wa chuo
🔹 Mshahara: Makubaliano
🔹 Mahali: Nyumbani kwangu (Dar es Salaam)
🔹 Ratiba: Kila Jumapili, kuanzia saa 4 asubuhi hadi saa 4 usiku
🔹 Marupurupu: Laptop, simu (kiswaswadu)
🔹 Muda wa Kozi: Makubaliano
📍 Awe mkazi wa Dar es Salaam...
Dark Earth Carbon on behalf of Masika Venture, is seeking a Graphic Designer & Social Media Marketer
Job Location: Dar es Salaaam
Short Brief of the Company:
Masika Ventures is an umbrella organization that encompasses the business services functions of our companies including Upendo Honey...
Jamani poleni nakazi na mihangaiko ya hapa na pale wakuu. Kama nilivyosema mimi ni mpenzi wa games sasa kuna gaming pc nimeipata mshikaji anaiuza hana hela kaishiwa ina graphic card aina ya GTX 1650 4 GB sasa nilikuwa nauliza hii gaming pc inaweza kucheza magame ya ps5 Maana hamu yangu ni...
Tunatafuta mtaalamu mwenye ujuzi katika Graphic Design na Digital Marketing kwa ajili ya kujiunga na timu yetu. Mtu anayefaa kwa nafasi hii anatakiwa kuwa mbunifu, mwenye uelewa mzuri wa masoko ya kidijitali, na uwezo wa kuandaa maudhui yanayovutia.
Majukumu:
Kubuni na kutengeneza nyenzo za...
Nina Ordinary Diploma ya Information Technology nina Ujuzi sehem zifuatazo :-
1. Graphics Designing and Printing
2. Data Entry
3. Class D license ya Magari (Manual na Automatic transmission)
4. Sales and Marketing, kuongoza Team ya Marketing
NB: Ninafundishika Kama ni kazi mpya na mifumo mipya...
Wakuu,
Mimi ni mtu ninayependa sana technology na nimekuw nikifuatilia sana masuala ya technology. Kwa upande wangu sijasoma course yoyote officially ambayo iko related na masuala ya IT ila mengi nimejifunza mwenyewe kuanzia programming japo siwezi tengeneza kitu chochote cha maana ila najua...
Graphic Card Nvidia RTX 2060 Super 8gb
Nauza Tsh 600000/= laki sita
inacheza games zote wakuu niwewe tuu
na wale watu wa 3d hii ni fursa kwako chukua piga kazi kwa uhakika
0657977457
📍Dar es Salaam
UNAHITAJI KUDESIGN STICKERS & PRODUCTS LABELS,VIPEPERUSHI,POSTER NA LOGO YA BIDHAA YAKO?
Usikubali bidhaa yako uize kiholela sokoni bila kuwa na utambulisho wenye muonekano mzuri na kuuzika sehemu yoyote unayohitaji Bidhaa nyingi nzuri zimeshindwa kupata masoko sababu hazina muonekano mzuri...
Je, unahitaji huduma bora za Graphic Design? Kama jawabu ni ndio! Basi hii ni sehemu sahihi ya kutatua haja yako.
Tunatoa huduma bora za graphic design kwa bei nafuu:
🔹 Huduma ya Logo design zenye kuvutia na za kipekee pamoja na banner.
🔹 Huduma ya business Card design.na lebo za bidhaa
🔹...
Je, unahitaji huduma bora za Graphic Design? Kama jawabu ni ndio! Basi hii ni sehemu sahihi ya kutatua haja yako.
Tunatoa huduma bora za graphic design kwa bei nafuu:
🔹 Huduma ya Logo design zenye kuvutia na za kipekee.
🔹 Huduma ya business Card design.
🔹 Huduma ya Flyer
🔹 Huduma ya poster...
Sista angu alikuwa na project yake anatakiwa kuisubmit mahali. Hiyo project ilikuwa na picha kama mia na ushee hivi ambazo yeye aliona zinafaa kufanyiwa graphics zote.
Bajeti ya sista kwa picha ni sh. Elfu 5 kwa kila picha.
Mimi huyo nikaenda mpaka kwa ofisi ya brother mmoja anafanyaga...
Je unahitaji huduma bora za Graphic Design? Kama jawabu ni ndio! Basi hii ni sehemu sahihi ya kutatua haja yako.
Tunatoa huduma bora za graphic design kwa bei nafuu:
🔹 Huduma ya Logo design zenye kuvutia na za kipekee.
🔹 Huduma ya business Card design.
🔹 Huduma ya Flyer
🔹 Huduma ya poster...
Position: Graphic Designer and Social Media Officer
Employment Condition: Full Time Job
Gaini Company Limited (GCL) is among the leading Building Material and Hardware items sellers in Lake Zone, Dodoma and Dar Es Salaam regions. The company is now expanding to Southern Highlands and Northern...
Position: Multimedia & Graphic Design Volunteer (International)
Duration: 6 Months – 1 Year
Location: Tanzania, Dar es Salaam
Time: 40 hours per week
TEN/MET, a national education network of 232 CSOs, is seeking an International Multimedia & Graphic Design Volunteer to create impactful...
Wakuu angalieni kundi la Kiisilamu la Janjaweed wanachowafanyia wanawake Darfur Sudan.
Haya makundi ya kiisilamu hua hayana huruma na wanawake wala watoto?
https://twitter.com/abasmas/status/1740720706110038506?s=19
Habarini wadau,
Nimewakumbuka sana.
Anyways, kuna nafasi ya kazi na anahitajika Graphic designer and social media expert.
Vigezo :
1. Awe mwanamke
2. Asiwe na majukumu ya kifamilia
3. Muaminifu na asie muongomuongo
4. Awe tayari kujifunza new skills
5. Ajue kuzungumza kiingereza, akijua lugha...
Za asubuhi wanaJF.
Leo ikiwa ni Jumanne tulivu, wanaJF wakitokea kwenye weekend ndefu kuanzia Jumamosi.
Ninaanza kwa swali kama kichwa kinavyosema, Je unaifahamu CANVA?
Share designs uliyotengeneza kwa kutumia hii software ya CANVA.
Natumai kwa wale wote ambao hawaifahamu ni mwanzo mzuri wa...
JE Unapenda Kujifunza Cinema 4D au Blender? ( Animation ) Motion Graphic kwa kutumia Cinema 4D.
Mwezi sasa toka nianze kujifunza Animation kwa kutumia Cinema 4D na Blender.
Week hii nmefanya kazi moja ya kutangaza bidhaa ya mteja kwa kumdizainia flyer, logo na Motion graphic ya bidhaa yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.