graphic

  1. Teja Junior

    Ushauri wa kununua desktop ya video production na graphic design

    Wakuu kwema? Nilikuwa naomba ushauri wa duka au sehemu gani naweza nunua desktop computer yenye uwezo mzuri wakufanyia kazi zangu za productions (video editing na graphic design). Nina bajeti ya shilingi laki tano. Ahsante
  2. P

    Computer graphic, photoshop, illustration, Logo design, printing, marketing

    Nime soma course ya computer graphic miaka minne kutoka JWTZ Kama kuna mtu anatafuta kijana wa computer graphic anaye weza kutengeneza kama photoshop, photography, logo design, web design, app design, video director nipo hapa 4 years experience. Lakini pia nina mafunzo ya ukamanda kutoka JWTZ...
  3. Codexdave

    Graphic Designer needed

    Habari, Nahitaji graphics design mwenye outstanding skills. Requirements 1. Lazima awe na uzoefu na skills na software mbali mbali za design. 2. Lazima aweze kutafuta masoko / marketing na kufikia malengo. 3. Awe na ushirikiano na team members na kukamilisha kazi Kwa wakati. Mashahara: 300k...
  4. Greatest Of All Time

    Graphic designer wa Yanga amesifiwa sana lakini kumbe anakopi na kupest

    Amekopi na kupest toka kwenye wimbo wa DJ Khaleed, yeye alichofanya aka-edit na kuweka nembo ya Yanga...haya Kazi kwenu utopolo...
  5. Jamii Opportunities

    Graphic Designer at Mwananchi Communications Ltd

    GRAPHIC DESIGNER Industry : Print /Digital Media Job Function : Art / Design Job Experience Level : Mid Level Minimum Years of Experience : 2-3 Minimum Academic Qualification : Bachelor Job Summary The purpose of this job holder is to create and develop communication material for MCL and...
  6. Mr Kazembe

    INAUZWA Graphic card nauza 400k pia nafanya exchange na simu na pesa

    Graphic card: amd radeon rx 470 4GB Wale wapenzi wa games 3d & graphics basi hii kitu ni mwisho wa matatizo yako Bei 400000/= Karibu whatsapp number 0759377457 tembelea hapa kupata specification zake https://www.amd.com/en/products/graphics/radeon-rx-470
  7. Next Elon Musk

    Natafuta kazi IT na Graphic Design

    Habari wadau, mimi ni kijana wa kitanznia umri wa miaka 21, naishi Dar es salaam. Nina elimu ya stashahada; natafuta kazi kama graphic designer. Nina uzoefu wa miaka miwili nina uzoefu wa designing pia computer skills, marketing, communication skills niko flexible kwenda popote na naahidi...
  8. M

    Graphic & Design Officer Intern

    Habari Wadau, Kijana mwenye uwezo wa kufanya Intern ya Graphic and Design Anicheki wakuu, Kuna fursa imejitokeza au atume mail kwa kassa.mwakambaya18@gmail.com Ahsante
  9. Jamii Opportunities

    Graphic designers at AA TANCH holding company ltd

    Job title: GRAPHIC DESIGNERS (2 position) Location: ARUSHA, Head office Reports to: Managing director Projects: SOKOKUUONLINE AND TANCH EXPRESS APP SUMMARY: AA TANCH holding company ltd is a private limited company established in 2018.It focused on connecting buyers to seller, dedicated in...
  10. E

    Computer4Sale gaming laptop dell e6430 core i7 ram gb 8,, dedicated graphic inauzwa

    bei 350k imepungua to 300k location mwenge mpakani 0787202143 used Dell latitude e6430 nzuri for gaming and graphic processor :intel Core i7-3520qm clock speed 2.6 GHz and 3.6 GHz with turbo boost ram 8 gb hard disk 500gb 2 graphic card 1.intel hd 4000; 2.NVIDIA nvs5200m (1gb dedicated)...
  11. R

    Graphic Designer Natafuta Kazi

    Kwa mwenye uhitaji wa Graphic Designer, natafuta kazi: Ninao uzoefu wa kutosha kwenye Designing na Printing katikaViwanda. Ninauzoefu wa miaka kumi (10) katika Designing na Printing, nikitumia Programs za:- Adobe Photoshop, Illustrator, InDesign, Coral Draw, Quick Express na Microsoft Office...
  12. Senator jr

    Wapi nitapata best Video graphic adapter kwa ajili ya modern PC?

    Habari ya uzima wakuu, Naomba mnishauri wapi nitapata gpu nzuri na ikiwezekana mniambie ninunue toleo gani bajeti yangu 400k asante CHIEF MKWAWA
  13. I

    Mtaalam na mbobezi wa maswala ya graphic anapatikana pita unipe mchango wako.

    Naitwa Doen Graphic nimtalam na mbobezi katika maswala yafwatayo.. ... NINAUWEZO WA KUEDIT PICHA KWA KUTUMIA PROGRAM YOYOTE YA KUEDIT PICHA. ...NINAUWEZO WA KUEDIT VIDEO ZA AINA YOYOTE NA KWAKUTUMIA PROGRAM YOYOTE . ...NINAUWEZO WA KUTUMIA PROGRAM KAMA ADOBE C6 , ADOBE C6 2019 KIKAMILIFU...
  14. Mr Kazembe

    Graphic card inahitajika

    NAHITAJI Graphic card ya low profile NAMANISHA INAYO FITI KWENYE MASHINE YA KULALA NIPE BEI NUMBER YAKO... NB: ISIWE CHINI YA 1 GB
Back
Top Bottom