group

  1. Bata batani

    Ni kwanini NATO na USA wanaliogopa kundi la Wagner Group kutokea Urusi

    Mara nyingi USA na NATO wamekuwa wakilalamika kuhusu hili kundi la Wagner Group ambalo linasemekana chimbuko lake urusi limekuwa likiwanyima usingizi. sasa hivi taarifa kutoka kwenye taasisi za kijajusi zinasemekana hili kundi ambalo lipo ukraine wamepewa kazi ya kuhakikisha wanamkamata na...
  2. Roving Journalist

    Dar: Hospitali ya Dar Group inanuka kinyesi kila sehemu

    Salaam Wakuu, Usalama wa wagonjwa hatarini katika hospitali ya Dar Group iliyopo Tazara Jijini Dar es Salaam. Mazingira yote ya hospitali yananuka kinyesi kutokana na kutozibuliwa Kwa chemba za kuhifadhia maji taka. Wagonjwa Wengine wanashindwa kuvumilia na kuondoka kwenda kwenye hospitali...
  3. Jamii Opportunities

    Account Manager at Qatar Airways Group

    Account Manager - Dar Es Salaam - Tanzania Tanzania - TZ Location Dar Es Salaam - DAR, Tanzania - TZ Category Corporate & Commercial Job Id 146727 We are pleased to announce an incredibly exciting opportunity to join our Commercial team in Dar Es Salaam, Tanzania as an Account Manager...
  4. Jamii Opportunities

    Planning Officer at Tanzania Investment and Consultant Group Ltd

    Planning Officer Position: Planning Officer Planning Officer will provide Strategic leadership in the process of Coordinating and Facilitating implementation of all activities related to TICGL overall Development strategy and Corporate Strategic plans, Monitoring and Evaluation, Statistics...
  5. K

    Mgomo wa Madaktari na Wafanyakazi wa hospitali ya Dar group (T.O.H.S) kuanza Februari 14

    Madaktari na wafanyakazi wa Taasisi ya Tanzania Occupational Health Services (T.O.H.S) maarufu kama Dar Group Hospital wanatarajia kuanza mgomo na kuishinikiza Serikali kupitia wizara zake husika kutoa muafaka na hitimisho kuhusu kadhia ya muda mrefu iliyop ktk hospital hiyo isiyo na mmiliki...
  6. Sir John Roberts

    Nimeleft group la WhatsApp la Familia ya mke wangu

    Naaomba kuuliza wadau katika kutafakari sababu za familia ya mke wangu kuniunganisha katika group la familia yao sikuona mantiki na hivi leo nimeaamua kuondoka. Je, nitakuwa nimekosea?
  7. Zero Competition

    Msaada kuhusu Alistair Group

    Habari zenu wakubwa na wadogo Naomba kuuliza kwa wale ambao wamewahi kupata kazi au kushiriki usahili katika hii kampuni ya Alistair Group Baada ya kufanya Aptitude test na ile interview nyinge ya pili kwanjia ya WhatsApp je kuna usahili mwingine unaofuata ? Na je kama upo unakua katika mfumo...
  8. Suzy Elias

    Polepole: Kwenye group letu la Viongozi mmoja wetu kasema waziwazi yeye ni mhuni kati ya wale waliobaki

    "...inashangaza sana,mfano tuna group letu la Viongozi ajabu mmoja wetu bila aibu amethubutu kabisa kusema yeye ni mmoja wa wahuni waliobakizwa na awamu ya 5." "...INASIKITISHA sana!" "...hata mimi naona aibu ya kwanini yule aliachiwa akafikia ngazi ya uongozi aliyonayo." Chanzo Dar 24. Polepole.
  9. Kasomi

    Group Admin kuwa na uwezo wa kufuta jumbe kwenye group la WhatsApp.

    Group Admin kuwa na uwezo wa kufuta jumbe kwenye group la WhatsApp. Mtandao wa WhatsApp kufanya maboresho na kuruhusu kiongozi wa kikundi (Group Admin) uwezo wa kufuta jumbe kwenye kikundi. Hivyo group Admin atakuwa na uwezo wa kudhibiti mijadala kwenye group boresho hili WhatsApp wamepanga...
  10. GENTAMYCINE

    Tusiougua Mafua, Homa na Vifua Kipindi hiki ni Sisi tu 'tuliobarikiwa' Damu ya Group O+, hivyo tujuane ili 'tumshukuru' Mwenyezi Mungu

    Pamoja na huu Unyonge ( Umasikini ) wangu mkubwa na wa Kutukuka nilionao GENTAMYCINE kitu pekee ambacho namshukuru Mwenyezi Mungu ( Allah ) ni Kwanza Kunilinda Kiafya kwa Kutougua hovyo na Kubwa zaidi 'Kunibariki' na Damu ya Group O+ ambayo ni Kinga tosha Kwangu ( Kwetu ) katika kupata...
  11. Sky Eclat

    The musgum, an ethnic group in far north province in Cameroon, created their homes from compressed sun-dried mud

    A woman from the Musgum tribe, Cameroon.🇨🇲 The musgum, an ethnic group in far north province in cameroon, created their homes from compressed sun-dried mud. the tall conical dwellings, in the shape of a shell (artillery), featured geometric raised patterns. A characteristic settlement form is...
  12. K

    Kuna anaewaelewa hawa Alistair group?

    Walinifanyisha test moja ngumu hatari,lakini kwa uwezo wa Mungu nimeifaulu.ila cha kushangaza wameniambia eti ndio recruitment team yao wanakaa kuangalia kama cv yangu inafaa or not,swali langu ni walinipa ile test ngumu vile ya nin ilihali hata cv yangu kumbe hawajaiangalia? Kama kuna mwenye...
  13. The Sheriff

    Apple watengeneza programu ya kuzuia udukuzi unaoweza kufanywa kwa vifaa vyake bila ya mtumiaji kubonyeza 'link'

    Apple imezindua programu ya dharura ili kukabiliana na hatari ya kiusalama kwa bidhaa zake kuzuia kile kinachoitwa "zero-click, ikiwa ni baada ya watafiti wa usalama kugundua kasoro ambayo inawaruhusu wadukuzi kuvifikia vifaa kupitia huduma ya iMessage hata bila watumiaji kubonyeza kiungo (link)...
  14. E

    7 types of members you’ll find in your family WhatsApp group

    1. The Clown: They post jokes, memes and funny videos in the most inappropriate of forums. They can post lewd jokes in a WhatsApp group created to organise a funeral. When asked to stop, the culprits claim they are “livening up” the group because everybody else is “too serious” 2. The Flirt...
  15. Lameckjr

    Nani aliipata kazi BARRICK GROUP

    Habari wakulungwa Leo katika pitapita zangu kwenye email zangu nikakutana na email 📧 niliambiwagwa nijiandae kwa virtual interview, lakini mpaka Leo Mwezi wa Tano Lakini nakumbuka hilo Tangazo lilikuwa linahitaji watu kibao wa logistics, marketing na sales nk Nimeona niulize vipi kuna mtu...
  16. R

    Wana CCM tusiwe makeyboard warriors: Tuingie mabarabarani kupinga kodi na tozo zisizohalali, kulalamika kwenye whatsapp group hakutasaidia

    Habari za Muda huu wana Jfs. Ni muda sasa wa takribani mwezi kumekuwa na introduction ya kile kinachoitwa tozo ambapo kwa mujibu wa Mh Rais Samia kupitia Waziri Wake Dr Mwigulu nchemba na wabunge wake wanadai ni kwa ajili ya solidarity funds ili kusaidia miradi mbali mbali ya kijamii kama...
  17. Informer

    TANZIA Mzee ASAS (CEO wa ASAS Group of Companies) Alhaj Faraj Ahmed Abri, afariki dunia

    DEATH ANNOUNCEMENT ‎إِنَّا للهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعون "Surely we belong to Allah and to Him shall we return". It is with sadness that we share the news of the demise of ALHAJ FARAJ AHMED ABRI MZEE ASAS ) CEO of ASAS GROUP OF COMPANIES Who Passed away In Dar es salaam today Friday 13th...
  18. ommytk

    Ushawahi kupost bahati mbaya picha au video ya ngono kwenye group la familia au ukoo?

    Yaaani unatamani kuvunja simu lakini ndio huwezi yaaani unabaki kuleft tu.
  19. Mwamuzi wa Tanzania

    Ni mwaka wa pili sasa sipo group lolote la WhatsApp

    Najikuta tu siko kwenye group lolote la WhatsApp. Ukiishi maisha ya kipekee raha sana. Kazini ni mwendo wa salamu, kazi na kicheko kidogo mnatawanyika. Sijui magroup ya ma classmates sipo, magroup ya waliotoka Kijiji au wilaya au mkoa mmoja simo. Magroup sijui ya kabila moja simo. I feel good.
  20. Geza Ulole

    Dangote Group plans to invest a mega fertilizer plant in Tanzania

    Dangote impressed by dramatic change in Tanzania's business environment President Samia meets Nigerian businessman Aliko Dangote at State House, Dar es Salaam. Dar es Salaam. President Samia Suluhu Hassan has on Monday May 24, met Africa’s richest man and Nigerian Billionaire Aliko Dangote at...
Back
Top Bottom