Mara nyingi USA na NATO wamekuwa wakilalamika kuhusu hili kundi la Wagner Group ambalo linasemekana chimbuko lake urusi limekuwa likiwanyima usingizi.
sasa hivi taarifa kutoka kwenye taasisi za kijajusi zinasemekana hili kundi ambalo lipo ukraine wamepewa kazi ya kuhakikisha wanamkamata na...
Salaam Wakuu,
Usalama wa wagonjwa hatarini katika hospitali ya Dar Group iliyopo Tazara Jijini Dar es Salaam.
Mazingira yote ya hospitali yananuka kinyesi kutokana na kutozibuliwa Kwa chemba za kuhifadhia maji taka.
Wagonjwa Wengine wanashindwa kuvumilia na kuondoka kwenda kwenye hospitali...
Account Manager - Dar Es Salaam - Tanzania Tanzania - TZ
Location Dar Es Salaam - DAR, Tanzania - TZ
Category Corporate & Commercial
Job Id 146727
We are pleased to announce an incredibly exciting opportunity to join our Commercial team in Dar Es Salaam, Tanzania as an Account Manager...
Planning Officer
Position: Planning Officer
Planning Officer will provide Strategic leadership in the process of Coordinating and Facilitating implementation of all activities related to TICGL overall Development strategy and Corporate Strategic plans, Monitoring and Evaluation, Statistics...
Madaktari na wafanyakazi wa Taasisi ya Tanzania Occupational Health Services (T.O.H.S) maarufu kama Dar Group Hospital wanatarajia kuanza mgomo na kuishinikiza Serikali kupitia wizara zake husika kutoa muafaka na hitimisho kuhusu kadhia ya muda mrefu iliyop ktk hospital hiyo isiyo na mmiliki...
Naaomba kuuliza wadau katika kutafakari sababu za familia ya mke wangu kuniunganisha katika group la familia yao sikuona mantiki na hivi leo nimeaamua kuondoka.
Je, nitakuwa nimekosea?
Habari zenu wakubwa na wadogo
Naomba kuuliza kwa wale ambao wamewahi kupata kazi au kushiriki usahili katika hii kampuni ya Alistair Group
Baada ya kufanya Aptitude test na ile interview nyinge ya pili kwanjia ya WhatsApp je kuna usahili mwingine unaofuata ? Na je kama upo unakua katika mfumo...
"...inashangaza sana,mfano tuna group letu la Viongozi ajabu mmoja wetu bila aibu amethubutu kabisa kusema yeye ni mmoja wa wahuni waliobakizwa na awamu ya 5."
"...INASIKITISHA sana!"
"...hata mimi naona aibu ya kwanini yule aliachiwa akafikia ngazi ya uongozi aliyonayo." Chanzo Dar 24.
Polepole.
Group Admin kuwa na uwezo wa kufuta jumbe kwenye group la WhatsApp.
Mtandao wa WhatsApp kufanya maboresho na kuruhusu kiongozi wa kikundi (Group Admin) uwezo wa kufuta jumbe kwenye kikundi.
Hivyo group Admin atakuwa na uwezo wa kudhibiti mijadala kwenye group boresho hili WhatsApp wamepanga...
Pamoja na huu Unyonge ( Umasikini ) wangu mkubwa na wa Kutukuka nilionao GENTAMYCINE kitu pekee ambacho namshukuru Mwenyezi Mungu ( Allah ) ni Kwanza Kunilinda Kiafya kwa Kutougua hovyo na Kubwa zaidi 'Kunibariki' na Damu ya Group O+ ambayo ni Kinga tosha Kwangu ( Kwetu ) katika kupata...
A woman from the Musgum tribe, Cameroon.🇨🇲
The musgum, an ethnic group in far north province in cameroon, created their homes from compressed sun-dried mud. the tall conical dwellings, in the shape of a shell (artillery), featured geometric raised patterns.
A characteristic settlement form is...
Walinifanyisha test moja ngumu hatari,lakini kwa uwezo wa Mungu nimeifaulu.ila cha kushangaza wameniambia eti ndio recruitment team yao wanakaa kuangalia kama cv yangu inafaa or not,swali langu ni walinipa ile test ngumu vile ya nin ilihali hata cv yangu kumbe hawajaiangalia?
Kama kuna mwenye...
Apple imezindua programu ya dharura ili kukabiliana na hatari ya kiusalama kwa bidhaa zake kuzuia kile kinachoitwa "zero-click, ikiwa ni baada ya watafiti wa usalama kugundua kasoro ambayo inawaruhusu wadukuzi kuvifikia vifaa kupitia huduma ya iMessage hata bila watumiaji kubonyeza kiungo (link)...
1. The Clown:
They post jokes, memes and funny videos in the most inappropriate of forums. They can post lewd jokes in a WhatsApp group created to organise a funeral. When asked to stop, the culprits claim they are “livening up” the group because everybody else is “too serious”
2. The Flirt...
Habari wakulungwa
Leo katika pitapita zangu kwenye email zangu nikakutana na email 📧 niliambiwagwa nijiandae kwa virtual interview, lakini mpaka Leo Mwezi wa Tano
Lakini nakumbuka hilo Tangazo lilikuwa linahitaji watu kibao wa logistics, marketing na sales nk
Nimeona niulize vipi kuna mtu...
Habari za Muda huu wana Jfs.
Ni muda sasa wa takribani mwezi kumekuwa na introduction ya kile kinachoitwa tozo ambapo kwa mujibu wa Mh Rais Samia kupitia Waziri Wake Dr Mwigulu nchemba na wabunge wake wanadai ni kwa ajili ya solidarity funds ili kusaidia miradi mbali mbali ya kijamii kama...
DEATH ANNOUNCEMENT
إِنَّا للهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعون
"Surely we belong to Allah and to Him shall we return".
It is with sadness that we share the news of the demise of ALHAJ FARAJ AHMED ABRI MZEE ASAS ) CEO of ASAS GROUP OF COMPANIES Who Passed away In Dar es salaam today Friday 13th...
Najikuta tu siko kwenye group lolote la WhatsApp.
Ukiishi maisha ya kipekee raha sana. Kazini ni mwendo wa salamu, kazi na kicheko kidogo mnatawanyika.
Sijui magroup ya ma classmates sipo, magroup ya waliotoka Kijiji au wilaya au mkoa mmoja simo.
Magroup sijui ya kabila moja simo.
I feel good.
Dangote impressed by dramatic change in Tanzania's business environment
President Samia meets Nigerian businessman Aliko Dangote at State House, Dar es Salaam.
Dar es Salaam. President Samia Suluhu Hassan has on Monday May 24, met Africa’s richest man and Nigerian Billionaire Aliko Dangote at...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.