Habari wakulungwa
Leo katika pitapita zangu kwenye email zangu nikakutana na email 📧 niliambiwagwa nijiandae kwa virtual interview, lakini mpaka Leo Mwezi wa Tano
Lakini nakumbuka hilo Tangazo lilikuwa linahitaji watu kibao wa logistics, marketing na sales nk
Nimeona niulize vipi kuna mtu...