hacked

  1. snipa

    Account ya Mohamed Dewji haikuwa hacked "haikudukuliwa" ? ila kalipwa kuwadanganya na kuwaingiza mkenge watanzania, Crypto scam.

    Wadau Kwa wanaoona Kanye west ni chizi basi jifikirieni mara mbili, mana Kuna ukweli kwenye analolisema. Kanye west anadai scammers wa crypto walimfuata na kumwambia apost kwenye x crypto yao ajifanye yake na aiache post Kwa masaa 8 na baada ya muda huo kupita aje aseme account yake...
  2. D

    Account yako ya Instagram imekuwa hacked mpaka sasa sijaelewa imehackiwa kwa style gani

    Mimi ni mtu ambaye huwa sifungu link ninazotumiwa kama sijui imetoka kwa nani kwa sababu daily napokea emails kibao kutoka kwa mascammer. Pia akaunti yangu instagram haikuwa linked na email bali namba ya simu ambaye kimsingi nilishaipoteza so kama hata kutumiwa link zingeenda kule kwenye hiyo...
  3. W

    Namna ya kujua kama Simu yako Imedukuliwa 'Hacked'

    VIASHIRIA KUWA HUENDA SIMU YAKO IMEDUKULIWA Simu yako kufanya kazi tofauti na ulivyoitaka au ambazo hujaidhinisha kama kutuma Ujumbe, kupiga simu Uwepo wa Programu Wezeshi (Applications) ambazo hujaziweka wewe na hazikuja na simu hiyo kutoka kwa Watengenezaji Chaji kuisha haraka kuliko...
Back
Top Bottom