Huwa nafuatilia tuhuma zote alizotuhumiwa Sabaya nabaki kujiuliza What if kingetokea kidume kama Mohamed Mwamwindi kule Hai kingebadili historia yote ya Hai na kila kiongozi akipelekwa Hai anakuwa na adabu kabisa.
Wale wasiojua historia zamani kidogo Serikali ya Mwl Nyerere ilikuwa inaogopewa...
Ni maswali tata sana mbayo tungependa kumuuliza Shujaa. Ni kweli hakujua kuwa mteule wako anatuhumiwa na kufadhili genge la kihalifu?
-Kama alijua basi kuna haja ya wananchi Kufungua kesi dhidi ya Rais wa JMT aliyepita kwa kubariki kufanyika uhalifu dhidi ya binadamu kwa raia alioapa kuwalinda...
Huyu bwana kipindi akiwa mkuu wa wilaya ya hai, Nasikia amefanya ubaya uliokithirika.
Ameteka watu akawakata masikio, Akawakata mikono akaona haitoshi akawaingizia chupa kwenye haja kubwa.
Bwana Sabaya amelawiti mabinti kwa nguvu, amedhalilisha wanawake na mabinti wengi kingono...
Iko wazi kwamba OCD wa Hai alinyamazia unyama wote ulioambatana na uchafu wa kutia aibu wa Mhalifu Ole Sabaya, kwa vyovyote vile Mtu mwenye mamlaka ya kuzuia Uhalifu anapounyamazia ili uendelee kutendwa huyu naye ni kwamba anashiriki uhalifu huo, anapaswa kukamatwa na kuunganishwa kwenye kesi...
TANZANIA NI MWANACHAMA HAI WA MAHAKAMA YA HAKI ZA BINADAMU AFRIKA
The Diplomat
Kumekua na mitazamo hasi inayokosoa kauli ya Waziri wa Mambo ya Nje, Balozi Liberata Mulamula aliyoizungumza jana Mei 25, 2021 Siku ya Afrika Duniani kwa kusema "Tanzania ni mwana chama hai wa Mahakama ya Haki za...
Kama tujuavyo kuwa kwenye shughuli ya siasa mtaji ni wanachama, CCM wanadai kuwa wana wanachama hai wapatao milioni 12. Ningetamani kujua na vyama vingine waweke data za wanachama wao hadharani.
Hii itasaidia sana kuwahamasha makada kufanya mapitio ya mipango na mbinu mbalimbali za kuongeza...
Hii ndio habari mpya inayosambaa Wilayani Hai kwa sasa baada ya Taarifa ya kufutwa kazi kwa aliyekuwa DC wa hapo bwana mdogo bilionea mpya Sabaya (miaka 34) , ambaye anachunguzwa kwa makosa mbali mbali ikiwemo uvamizi , uporaji wa pesa na wizi wa kuaminiwa ikiwa ni pamoja na ulevi wa madaraka...
Hawa ndiyo "vijana wa kazi"wa Mwendazake Magufuli...
Waliitumikia LEO kwa kuvunja sheria na maadili ya Utumishi kwa kunyanyasa wanaowaongoza (wananchi) kwa sababu wana madaraka na kusahau kabisa kuwa kuna KESHO...
Walitegemea KULINDWA NA MTU badala ya matendo yao ya HAKI..
Katika video hii...
Wakuu kheri ya Idd,
Ndugu zangu wapendwa wote mlio JamiiForums ndani na nje ya nchi nawasalimia katika jina la 47Mbatizaji maana Mungu wetu sote
Niliona 'kibanda' flani kipo Wilaya ya Hai, chenye master mbili na vyumba viwilii. Nimejitokeza nataka kwa niaba ya Ndugu na Jamaa kwa bei tajwa hapo...
Nyumba ipo Mbezi beach upande wa chini
Ina vyumba vitatu kimoja master
Jiko, sebule, dinning na public toilet
Ina eneo lenye ukubwa wa sqm 1000
Hati miliki mkononi
Wahi sasa BEI ni milioni 200 Tu
Mawasiliano 0677 818283
Mawasiliano 0677 818283
Mawasiliano 0677 818283
Mawasiliano 0677 818283...
apartment
beach
bei
biashara
buguruni
eneo
ghorofa
hai
hasara
inauzwa
kali
kariakoo
kibamba
kigamboni
kilimanjaro
kimara
kubwa
kutoka
lami
maana
maji
mbezi
mbezi beach
milioni
mita
nauza
nyumba
nyumba kali
nyumba ya kisasa
nzuri
tabata
uchukue
vyumba
Kwa Mujibu wa maelezo yaliyotelewa leo na DC wa Hai, Sabaya, 360 Clouds, hakika eneo hilo uwajibikaji ulikuwa duni sana .
Takwimu zinaonyesha ujambazi ulikithiri, mihadarati, wananchi wanyonge kuporwa mashamba, makusanyo hafifu ya kodi, uhaba wa vituo vya afya, miundombinu chakavu na mengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.