1.Haki za kidigitali ni haki za kibinadamu.
1.1. Haki ya mtandao
Kila mtanzania ana haki ya mtandao kupata mtandao kwa gharama nafuu.
Kuongezeka kwa gharama za data na ukosefu mzuri wa mtandao umekuwa changamoto katika nyanja mbalimbali. Kwani haki ya kimtandao wananchi wanashindwa kuitumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.