Wandugu hali ya maisha ni tete, tuna aangaika huku na kule hakuna pa kukimbilia
- Wazee waliokuwa wanalipwa na TASSAF, sasa inabidi wafanye kazi za kujitolea katika maeneo ya umma kwenye halmashauri husika ili walipwe, no free lunch.
-TANESCO tangu mwezi decemba 2021 hadi leo tarehe 4 julai...