hana

  1. Dr Akili

    Ukweli tunaotakiwa kuujua: Rais atakayekuwa hana wabunge wa kutosha Bungeni hataweza kuleta au kufanya mabadiliko yoyote na Urais wake hautadumu

    Utawala wa nchi yetu na nchi zote za kidemokrasia ni utawala wa sheria. Na sheria hizo tunazitunga wenyewe wananchi kupitia wawakilishi wetu kwenye bunge letu. Sisi ndiyo tunaoamua nchi yetu tuiendeshe namna gani kupitia sheria tutakazozitunga au kuzibadilisha kupitia wawakilishi wetu (wabunge)...
  2. S

    Uchaguzi 2020 Halima Mdee: Gwajima alijaza fomu ya maadili nyumbani kwake badala ya kuja mbele ya msimamizi wa uchaguzi hivyo hana sifa ya kugombea

    Kanuni ya 26(3) ya Kanuni za Uchaguzi zinataka Fomu ya KUTEKELEZA MAADILI kujazwa mbele ya Msimamizi wa Uchaguzi. Ndugu yangu wa CCM KAWE alijaza tarehe 20/8/2020 NYUMBANI kwake. Na BADO MSIMAMIZI wa UCHAGUZI Kinondoni AKAMTEUA!⁩ HUYU Mgombea HANA SIFA-Halima Mdee on twitter.
  3. Mackanackyyy

    Kwa vyovyote vile, Mjumbe wa sasa hana mwisho mzuri

    Sina kumbukumbu kama dunia imewahi kuwa na Mtawala baradhuli ambaye mwisho wake ulikuwa mwema, Labda CCM mtusaidie Kiwango cha Ufedhuli katika Miaka yake mitano kinavuka fikra timamu ya kibinadamu Na Mungu hadi sasa amemwacha lakini bado hasomi tu alama za nyakati. Unakwendaje kwenye Uchaguzi...
Back
Top Bottom