Sina kumbukumbu kama dunia imewahi kuwa na Mtawala baradhuli ambaye mwisho wake ulikuwa mwema, Labda CCM mtusaidie
Kiwango cha Ufedhuli katika Miaka yake mitano kinavuka fikra timamu ya kibinadamu
Na Mungu hadi sasa amemwacha lakini bado hasomi tu alama za nyakati.
Unakwendaje kwenye Uchaguzi...