happy birthday

  1. Mwasapile

    Ni sawa mwanaume kumpa mwanaume mwenzake zawadi ya Birthday?

    Nina rafiki yangu leo kafikisha umri wa miaka 31. Sasa amenicheki hapa kuwa nimtumie zawadi ya muamala kwajili ya birthday yake: je hili limekaaje wadau wa JF? Mtu wa aina hii kijana mwenye nguvu muajiriwa kwa mshahara mzuri anataka zawadi ya birthday? Kuna usalama kweli hapa?
  2. Vincenzo Jr

    Happy birthday the Weeknd

    https://youtu.be/e2PsmMlSP5s?si=9kcGRMlCdNEIXk6A Asantee sana kwa kutupa album kalii ya hurry up tomorrow hapa tunasubiria movie yetu sasa ya hurry up tomorrow happy birthday Ethiopia finest https://youtu.be/ljxYE-aJD3A?si=HsztdoldHBJpglZk Je nyimbo gani kalii unayo ikubali kutoka kwa the Weeknd?
  3. U

    Happy birthday bia ya safari lager leo umetimiza miaka 48 ya kuzaliwa

    Wadau hamjamboni nyote? Siku ya furaha,siku ya kukumbukwa HAPPY BIRTHDAY SAFARI LARGER Tarehe 4 Februari 1977 siku kama ya leo bia ya SAFARI LAGER ilizinduliwa na kampuni ya bia Tanzania Breweries katika mikoa ya Arusha na Dar es Salaam. Sherehe za uzinduzi zilifanyika New Africa hotel...
  4. milele amina

    Hatari ya CCM Kuchagua Nchimbi Mapema kugombea Umakamu wa Rais

    Utangulizi Katika kipindi hiki cha kisiasa, ni muhimu sana kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa makini na maamuzi yake, hasa katika kumchagua Nchimbi kuwa Makamu wa Rais kuelekea mwaka 2030. Hatari hii inaonekana wazi kwa sababu inawezekana kwamba tunajenga msingi wa Rais wa mwaka 2030 hadi...
  5. sergio 5

    Happy birthday to me and myself

    🎈🎂🔥📸
  6. Manyanza

    Happy birthday Sir Alex Ferguson

    He won the Premier League 13 of his 21 seasons in charge including two three-peats. He was a two-time champion of Europe. Five FA Cups and four League Cups. It's legendary former Manchester United manager Sir Alex Ferguson's birthday 👑
  7. aise

    Happy Birthday In advance kwa Baby Boy wetu

    Ni miaka zaidi ya 2,000 sasa tangia azaliwe! Happy Birth Day kwake in Advance
  8. Ojuolegbha

    Heri ya Siku ya Uhuru wa Tanganyika

    Tunapoadhimisha miaka 63 ya Uhuru wa Tanganyika na baadae Tanzania, tujikumbushe maneno ya aliyekuwa Rais wa kwanza wa Tanzania na Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere kuhusu Muungano wa Tanzania. Pakua Samia App kupitia Play Store au App Store
  9. Stephano Mgendanyi

    MP Mpembenwe: Happy Birthday Hon. Speaker, Madame, Dr. Tulia Akson Mwansasu!

    Happy Birthday Hon. Speaker, Madame, Dr. Tulia Akson Mwansasu! I am reverently writing you a birthday wish, my Heart is overflowing with emotional goose bumps of gratitude! Dear Madame speaker and president of IPU! You’re the most loving, caring, enduring, encouraging, forgiving, considerate...
  10. Utajua wewe

    Najua haiwahusu ila Happy Birthday To Me!

    Habari wanaJF, Siku ya leo miaka 22 nyuma Dunia ilipata MBEBA MAONO. Nikiwa kama kijana wa makamo na mwenye mchango mkubwa kwa taifa hili nakumbuka siku yangu ya kuzaliwa. Najua haiwahusu ila ndio hivyo tena hamna cha kufanya. Alichokipenda Mungu wewe Mwanadamu huwezi kukichukia. Amin,amin...
  11. uran

    Happy Birthday to the Queen of Awesomeness

    Happy Birthday to the one super lady! 🎉 You're the perfect mix of brilliance, strength, and fun. Keep being amazing, because you're simply unstoppable! Hongera sana financial services 🎂 🍾 🥂 New Certified accountant in town!! Proud of you 👏 👏 👏 Tuungane pamoja kumtakia heri na fanaka💐 💐
  12. Mpenda vurugu

    Mpenzi wangu aliniomba siku yake ya Birthday nimnunulie zawadi itakayo dumu mwaka mzima nimemnunulia Calendar kanuna

    Za sahizi wakuu. Wakuu nipo njia panda simuelewi huyu mpenzi wangu maana alitaka zawadi nimempa ananuna Au nimezingua wakuu
  13. Mad Max

    Happy Birthday wadau. Muishi maisha marefu na yenye Mafanikio!

    Heri ya kuzaliwa wadau wa JF mliozaliwa tarehe ya leo. Mungu awatangulie katika mishe zenu. Happy Birthday 28/August mwilongo Aron mr xuma Inspector Jws Gilbert Julius Alex Fredrick amonbiner anonymous_blue Lobaraki Joyeuse SISTY DENIS MUSHI saliel Sanga Imma Mr Stoic Edna kahema Na...
  14. ngara23

    Happy birthday Joseph Minala, leo anatimiza miaka 28

    Sikia kisa cha Joseph Minala kiungo raia wa Cameroon aliwahi kukutana na changamoto ya kuhisiwa kudanganya umri wakati huo ambao alikuwa anadai kuwa na umri wa miaka 17. Vyombo vya habari vya Italia vilidai kwamba wakati huo alikuwa na umri wa miaka 42 na sio 17 kama ambavyo anasema Mchezaji...
  15. Poppy Hatonn

    Happy Birthday Madaraka Nyerere

    Leo Madaraka anatimiza miaka 64. Ni mtoto wa mwisho wa Mwalimu Nyerere ( now that Rose Nyerere has passed away). Madaraka amesoma Banking, Italy na Canada. Madaraka ana predilection for going to Uhuru Peak,( Uhuru Peak,that is the summit of Mount Kilimanjaro).
  16. m2peace

    Happy Birthday to Me

    LEO NIMEZALIWA
  17. Leejay49

    Happy birthday to me

    Signed out forever
  18. Mahondaw

    Happy birthday Smart911

    Wishing you a birthday as perfect as you are for me. Your day is as special as you are! May your birthday be as unforgettable as you are every day. Here's to another year of good health and happiness. May you have all the love your heart can hold, all the happiness a day can bring, and all...
  19. M

    Mke atumia meseji za Mume wake na Mchepuko kuandaa keki ya Birthday

    Ungekuwa wewe ungefanya nini kama mwanaume, chhkulia ni mbele za watu. Tena mkeo unamuita stupid mbele kwa mchepuko.
  20. P h a r a o h

    Happy Birthday to you

    Ni siku mpya hii, pia kwa ndugu wengine ni siku muhimu ya kumbukizi ya siku ya kuzaliwa kwao. Kama umezaliwa siku kama ya leo tujuze basi maana sisi ni familia. Japo hatuwezi kukumwagia maji, tutakupa wishes, ambazo pia zitaweza kukumotivate, na kufanya siku yako iwe njema na uifurahie zaidi...
Back
Top Bottom