Nina rafiki yangu leo kafikisha umri wa miaka 31.
Sasa amenicheki hapa kuwa nimtumie zawadi ya muamala kwajili ya birthday yake: je hili limekaaje wadau wa JF?
Mtu wa aina hii kijana mwenye nguvu muajiriwa kwa mshahara mzuri anataka zawadi ya birthday?
Kuna usalama kweli hapa?
https://youtu.be/e2PsmMlSP5s?si=9kcGRMlCdNEIXk6A
Asantee sana kwa kutupa album kalii ya hurry up tomorrow hapa tunasubiria movie yetu sasa ya hurry up tomorrow happy birthday Ethiopia finest
https://youtu.be/ljxYE-aJD3A?si=HsztdoldHBJpglZk
Je nyimbo gani kalii unayo ikubali kutoka kwa the Weeknd?
Wadau hamjamboni nyote?
Siku ya furaha,siku ya kukumbukwa
HAPPY BIRTHDAY SAFARI LARGER
Tarehe 4 Februari 1977 siku kama ya leo bia ya SAFARI LAGER ilizinduliwa na kampuni ya bia Tanzania Breweries katika mikoa ya Arusha na Dar es Salaam. Sherehe za uzinduzi zilifanyika New Africa hotel...
Utangulizi
Katika kipindi hiki cha kisiasa, ni muhimu sana kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa makini na maamuzi yake, hasa katika kumchagua Nchimbi kuwa Makamu wa Rais kuelekea mwaka 2030.
Hatari hii inaonekana wazi kwa sababu inawezekana kwamba tunajenga msingi wa Rais wa mwaka 2030 hadi...
He won the Premier League 13 of his 21 seasons in charge including two three-peats.
He was a two-time champion of Europe.
Five FA Cups and four League Cups.
It's legendary former Manchester United manager Sir Alex Ferguson's birthday 👑
Tunapoadhimisha miaka 63 ya Uhuru wa Tanganyika na baadae Tanzania, tujikumbushe maneno ya aliyekuwa Rais wa kwanza wa Tanzania na Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere kuhusu Muungano wa Tanzania.
Pakua Samia App kupitia Play Store au App Store
Happy Birthday Hon. Speaker, Madame, Dr. Tulia Akson Mwansasu!
I am reverently writing you a birthday wish, my Heart is overflowing with emotional goose bumps of gratitude!
Dear Madame speaker and president of IPU! You’re the most loving, caring, enduring, encouraging, forgiving, considerate...
Habari wanaJF,
Siku ya leo miaka 22 nyuma Dunia ilipata MBEBA MAONO.
Nikiwa kama kijana wa makamo na mwenye mchango mkubwa kwa taifa hili nakumbuka siku yangu ya kuzaliwa.
Najua haiwahusu ila ndio hivyo tena hamna cha kufanya. Alichokipenda Mungu wewe Mwanadamu huwezi kukichukia.
Amin,amin...
Happy Birthday to the one super lady!
🎉 You're the perfect mix of brilliance, strength, and fun. Keep being amazing, because you're simply unstoppable!
Hongera sana financial services 🎂 🍾 🥂
New Certified accountant in town!!
Proud of you 👏 👏 👏
Tuungane pamoja kumtakia heri na fanaka💐 💐
Heri ya kuzaliwa wadau wa JF mliozaliwa tarehe ya leo. Mungu awatangulie katika mishe zenu.
Happy Birthday 28/August
mwilongo Aron mr xuma
Inspector Jws Gilbert Julius
Alex Fredrick amonbiner anonymous_blue
Lobaraki Joyeuse
SISTY DENIS MUSHI saliel Sanga Imma Mr Stoic Edna kahema
Na...
Sikia kisa cha Joseph Minala kiungo raia wa Cameroon aliwahi kukutana na changamoto ya kuhisiwa kudanganya umri wakati huo ambao alikuwa anadai kuwa na umri wa miaka 17.
Vyombo vya habari vya Italia vilidai kwamba wakati huo alikuwa na umri wa miaka 42 na sio 17 kama ambavyo anasema
Mchezaji...
Leo Madaraka anatimiza miaka 64.
Ni mtoto wa mwisho wa Mwalimu Nyerere ( now that Rose Nyerere has passed away).
Madaraka amesoma Banking, Italy na Canada.
Madaraka ana predilection for going to Uhuru Peak,( Uhuru Peak,that is the summit of Mount Kilimanjaro).
Wishing you a birthday as perfect as you are for me.
Your day is as special as you are! May your birthday be as unforgettable as you are every day.
Here's to another year of good health and happiness.
May you have all the love your heart can hold, all the happiness a day can bring, and all...
Ni siku mpya hii, pia kwa ndugu wengine ni siku muhimu ya kumbukizi ya siku ya kuzaliwa kwao.
Kama umezaliwa siku kama ya leo tujuze basi maana sisi ni familia.
Japo hatuwezi kukumwagia maji, tutakupa wishes, ambazo pia zitaweza kukumotivate, na kufanya siku yako iwe njema na uifurahie zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.