Luhaga Mpina ni mtu nondo kweli.
Ni mbunge mjenga hoja na mwana mapinduzi kweli kweli
Hata alivokuwa waziri wa uvuvi na mifugo alikuwa Nondo na alifanya vyema kuzidi huyu wa Sasa.
Alikomesha uvuvi haramu, alikomesha uharamia ziwa Victoria ambapo wavuvi walikuwa sana na kuibiwa engine za boat ⛵...