hardware

  1. kali linux

    Human being living in 21st centuary is like running new software on ancient/old hardware

    Hello bosses... Em tutafakari kidogo. Binadamu tunajiumiza sana pasipo na sababu za msingi, miili yetu haijaumbwa/haijaumbika kwa ajili ya mazingira ya sasa hasa kwenye hii karne ya 21 na ndio maana kuna milipuko ya magonjwa ya ajabu kama vile kansa. Tunalazimisha miili yetu yenye physiology...
  2. gm man

    hardware id (HWID) ban...je nawezaje ku bypass ?

    wakuu, nimedownload miracle thunder 3.02 na kuinstall then nilipojaribu kui open inaleta error hiyo hapo chini je nawezaje kui solve hiyo error????
  3. Sangoma

    Msaada wa vifaa vya ufundi simu upande wa hardware

    Habari za majukumu ni muda sasa nimekuwa nikijihusisha na maswala ya ufundi simu ila upande wa software pekee sasa nahitaji kuingia rasmi kwenye maswala ya hardware nahitaji kujua ni vifaa vipi napaswa kuwa navyo na vinapatikana wapi na kwa bei zipi kuna baadhi nimepewa majina yake ila sijajua...
  4. Elon Mzebuluni

    RAM DDR3 4GB (SAMSUNG Made in Philippines)

    Niko Arusha Nauza Ram 4GB DDR3 (Samsung planet first,Made in philippines) kwa ajili ya Laptop iko poa kabisa katika hali nzuri na ifanya kazi poa kabisa bei ni Tsh.37000 maongezi yapo nicheki zaidi kwa biashara kwa namba 0767142928 call,SMS au WhatsApp. Karibu tufanye biashara
Back
Top Bottom