harrier

The Harrier, informally referred to as the Harrier Jump Jet, is a family of jet-powered attack aircraft capable of vertical/short takeoff and landing operations (V/STOL). Named after a bird of prey, it was originally developed by British manufacturer Hawker Siddeley in the 1960s. The Harrier emerged as the only truly successful V/STOL design of the many attempted during that era, despite being a subsonic aircraft, unlike most of its competitors. It was conceived to operate from improvised bases, such as car parks or forest clearings, without requiring large and vulnerable air bases. Later, the design was adapted for use from aircraft carriers.
There are two generations and four main variants of the Harrier family, developed by both UK and US manufacturers:

The Hawker Siddeley Harrier is the first generation-version and is also known as the AV-8A Harrier; it was used by multiple air forces, including the Royal Air Force (RAF) and the United States Marine Corps (USMC). The Sea Harrier is a naval strike/air defence fighter derived from the Hawker Siddeley Harrier; it was operated by both the Royal Navy and the Indian Navy. During the 1980s, a second generation Harrier emerged; manufactured in the United States as the AV-8B and in Britain as the British Aerospace Harrier II respectively. By the start of the 21st century, the majority of the first generation Harriers had been withdrawn, many operators having chosen to procure the second generation as a replacement. In the long term, several operators have announced their intention to supplement or replace their Harrier fleets with the STOVL variant of the F-35 Lightning II, designated as the F-35B.

View More On Wikipedia.org
  1. Twilumba

    Harrier Vs Klugger ipi achukue?

    Wakuu kuna mdau yupo kwenye IST ila kwa sasa anataka abadili kutoka IST hadi kumiliki kati ya Harrier au Klugger. Kwa namna ambavyo wajuzi mpo humu naomba tumsaidie mdau, je ni gari gani kati ya hizo mbili yaani Harrier na Klugger achukue. Comparison iwe based kwenye shape, nafasi, durability...
  2. Ene magari

    Nauza harrier new model

    Harrier new model DMW CC 2360 Mwaka 2004 Km 89,000 Bei 21 ml Full option full body kity Iko buza 0628729873
  3. M

    Naomba ufafanuzi kuhusu gari aina ya Harrier 240G

    Habari wadau napenda kujua hii harrier new model 240G vipi kuhusu bei za spea na ulaji wa mafuta. Nimezipenda nataka niichukue. Naombeni ushauri wenu
  4. franktemu123

    Najuta kumiliki Harrier 2990cc (Petrol)

    Nilijichanganya kwa ushauri kutoka kwa Mafundi uchwara. Nilinunua Toyota Harrier 2990cc Petrol ukiweka Lita 10 kutoka Kimara mpaka Kariakoo taa inawaka. Naliuza kwa 17m TZS Ila wateja hawarudi.
  5. Nyuki Mdogo

    Car4Sale Harrier new model (tako la nyani) kwa 21mil only

    Jichukulie Hii Gari kwa Bei ya January Gari ni 6 cylinder Year of made: 2006 Mahali iliko: Dar Mileage: 120,000km haizidi hapo Bei: 21 Mil Negotiable (inazungumzika) Inahitaji Marekebisho kidogo MAREKEBISHO YENYEWE Bushes Baadhi. Steering Rack ibadilishwe. Shoch up za nyuma...
  6. jahanbaksh

    Car4Sale Harrier kwa 5000 USD Gari ipo bandarini sasa hivi

    kama kichwa cha uzi kinavyosema, Gari ipo bandarini mwenye nayo kashindwa lipia. wajapan wanataka 5000USD wakupe Harrier yako details zake kwa haraka ni ina mileage ya 241,499 km engine capacity 2360cc na ni ya mwaka 2004 kwa picha karibu inbox au whatsapp us kwa namba hii 0737 881 888 NOTE...
  7. Lububi

    Harrier old model inahitajika haraka

    Engine ndogo. No DL kushuka. Bila ajar wala kuoga rangi. Njoo bila mbadala wa maelezo yangu. Iwe dar
  8. C

    Mrejesho baada ya kuambiwa nichague kati ya Vanguard na Harrier ili ku compensate kama malipo ya kazi

    Kama nilivyowaomba ushauri kwenye post yangu ya 8/1/2021 nikitakiwa kuchagua kati ya gari tajwa hapo juu na kampuni moja ya ujenzi kama fidia ya deni nililowadai kwa muda mrefu bila malipo. Nawashukuru sana wana Jf na members wa forum hii kwa ujumla kwa mchango wenu wa ushauri , maoni na mawazo...
  9. Paa

    Taa ya nyuma ya harrier g420 bei gani?

    Naulizia bei ya kile kitaa kidogo cha chini cha harrier upande wa nyuma Picha
  10. KIMOMWEMOTORS

    Special thread: Kutana na waagizaji wa magari kutoka Japan

    HABARI YA MAJUKUMU? KIMOMWE MOTORS (T) LTD, TUNAPENDA KUKUKARIBISHA KUAGIZA GARI LAKO KWA GHARAMA NAFUU, HARAKA NA UHAKIKA KUPITIA KAMPUNI YETU. VILE VILE TUNAKUKARIBISHA KATIKA FURSA YA BIASHARA YETU NA UKAWEZA KUTENGENEZA KIPATO CHA ZIADA ENDAPO TU UTAWEZA KUAGIZA GARI AMA KUMLETA MTEJA...
  11. B

    Naomba nijue ubora na udhaifu kati Toyota Kluger na Harrier new model

    Wakuu habari za leo, Nina mpango wa kuagiza gari Japan, ninafikiria zaidi Harrier New model au Toyota Kluger za mwaka 2004-2006, nahitaji kujua ubora na udhaifu kati ya hayo magari mawili, na ushauri wa lipi niweze kuagiza. Pia anaejua kuhusu calculation za mapato TRA na kulitoa gari...
  12. L

    Car4Sale Nauza gari yangu Harrier Lexus

    PRICE UPDATED: 6,800,000 Model: Toyota HARRIER Lexus Registration Number: A.... Colour:Silver Engine: Petrol 2994cc VTI Year 1999 Seat Capacity 5 Music redio Full AC Full documents (File) Clean Seats Trans Automatic Imported from Japan Kama upo serious , Whatsapp number 0764111116
  13. L

    Car4Sale Toyota Harrier Lexus

    PRICE: 8,000,000 (maongezi yapo) Model: Toyota HARRIER Lexus Registration Number: A.... Colour:Silver Engine: Petrol 2994cc VTI Year 1999 Seat Capacity 5 Music redio Full AC Full documents (File) Clean Seats Trans Automatic Imported from Japan Kama upo serious , Whatsapp number 0764111116
  14. T

    Kati ya Volkswagen Touareg na Harrier macho ya panzi ipi gari nzuri hapa?

    Habari wakuu. Nataka kununua gari, naomba mawazo ya uzoefu kati ya Harrier macho ya panzi na Vokswagen Touareg ni ipi nzuri ya kuchukua. Sina uzoefu wowote wa magari ya Volkswagen. Natanguliza shukrani.
  15. KIMOMWEMOTORS

    Majibu kwa Mdau aliyeuliza tofauti ya Toyota Harrier na Rav 4 Old Models

    Tofauti ya Harrier na Rav 4 Old Model 1. Uundwaji na Moboresho Harrier iliundwa baadae miaka ya 1998 ikadumu mpaka 2002 wakati Rav 4 iliundwa miaka ya 1995 ikadumu mpaka 1999. Hivyo Harrier ilifanyiwa maboresho kwenye upande wa luxury haswa kwenye viti kua na mfumo wa umeme na uchaguzi wa...
  16. T

    Gari lipi linafaa zaidi? Naombeni ushauri wenu

    Habari. Nimeombwa ushauri, na mie nikaona busara kupata mawazo chanya zaidi kutoka hapa JF. Ninaye jirani yangu ambaye anataka kununua gari jingine (naweza sema ku-upgrade) na kuliuza hili alilonalo kwa sasa. Kwa sasa anamiliki IST ambayo anaiona ndogo kwa sababu familia imekua kubwa. Mara...
  17. R

    Car4Sale Harrier (Lexus) Yenye miezi 8 Tanzania Inauzwa

    Gari hii ni ya mwaka 2004, ina miezi 8 hapa Tanzania. Kila kitu kiko vizuri. Ina Kilomita 76,000 Gari inapatikana Mbeya na niko tayari kuisafirisha kwenda popote Tanzania. Bei yake ni 23,500,000 Kwa wenye uhitaji wasiliana nami kwa sim 0746 267 740
  18. T

    Kati ya Harrier 240 na Lexus RX 300 ipi nzuri ya kununua?

    Wakuu mimi sio mtaalam sana wa magari ila hua naona kuna haya magari ya harrier 240 na Lexus rx 300 kama yanafanana kwa kila kitu. Ila kwa kua hili jukwa lina wataalam wengi wa magari ningepemda kuelimishwa kuhusu ubora na tofauti zao na bei. Ahsante.
  19. M

    Harrier Tako la Nyani Linahitajika

    Wadau, kuna mdau anahitaji gari tajwa hapo juu.. Iwe haijasafiri Sana Haijapata ajali na kurudiwa rangi Iwe na cc 2.4 Iwe na hali nzuri Iwe namba D Bajeti yake ni tshs 16 m Karibuni..
  20. Magari Aina Zote

    Car4Sale Magari mbalimbali mazuri yanayouzwa leo

    Ndugu mdau uliyekuwa ukitufuatilia kupitia mnakasha huu, tunapenda kukufahamisha kuwa kutokana na mabadiliko ya sera zetu, tumelazimika kufungua mnakasha mpya kwa ajili ya magari yanayotoka moja kwa moja Japan na nchi nyingine. Hivyo sasisho zote kuhusu bidhaa na huduma zetu utazipata huko...
Back
Top Bottom