Mashabiki wa Kiduku,
Mwambieni bondia wenu sisi hatuchezi na bondia ambaye hajawahi kushinda nje ya Tanzania.
Ili awe na sifa za kucheza na Mwakinyo kwanza Kiduku akacheze nje ya nchi ashinde, baada ya hapo tutasaini mkataba naye.
Ngumi ndio kazi yetu [emoji123][emoji123]
Lakini hatuchezi...