Rafiki yangu mpendwa,
Watu wengi wamekuwa wanasumbuka na fedha kwa maisha yao yote.
Tangu wanaingia kwenye umri wa kufanya kazi, wanafanya kazi kila siku na kwa maisha yao yote.
Lakini kwa bahati mbaya sana, bado wanakuwa hawafikii hatua ya kuweza kuishi aina ya maisha wanayokuwa...