Obama alianza uraisi akiwa 48 yrs na tulimuuita kijana.
Elon Musk ana 53, tajiri mkubwa namba moja duniani, tunamuuita kijana
Mark Zuckerberg ana 39, tajiri mkubwa tunamuita kijana
Kwanini Africa ukifikisha 35, 45, 55, tunasema ni mzee?
Nataka, kutoa somo moja Leo. Chanzo kingine cha Africa...