Noble Helium imetangaza kuchagua maeneo matatu ya kwanza kwa uchimbaji katika Mradi wa North Rukwa ikiwa ni hatua muhimu katika kuchunguza uwepo wa gesi kwenye maeneo yenye kina kifupi.
Maeneo haya yaliyochaguliwa ni sehemu ya maeneo 10 ambayo yanaonekana kuwa na potential ya uwepo wa gesi...
Expressions Of Interest Of Service Providers
Helium One (Njozi) Limited, a company incorporated in the United Republic of Tanzania with registration number 117270 (the Company), is seeking expressions of interest from reputable and qualified service providers to express interest to provide the...
The name helium is derived from the Greek word, 'helios', meaning sun. Helium was first detected in the sunlight during a solar eclipse in 1868 by Georges Rayet and other scientists.
The world's helium demand has doubled over the last two decades, and its price surged by over 135% in 2018...
.Mradi wa Helium Tanzania:
Chanzo, Utafiti, Faida, na Mwelekeo wa Baadaye.
Utangulizi:
Helium, gesi adimu isiyoweza kuchoma, isiyo na harufu, isiyoonekana, na isiyo na ladha, imekuwa ikipata umaarufu katika sayansi na viwanda kwa zaidi ya karne moja. Lakini, je, wewe unajua kwanini gesi hii...
Habari wadau,
Habari njema kwa Tanzania ni kwamba, imefanikiwa kugundua Gas nyingine ya Helium Kaskazini ya Bonde la Ziwa Nyasa eneo la Matema wilaya ya Kyela mkoani Mbeya.
Kwa mujibu wa taarifa zilizochapishwa na jarida la The Business Wiz likinukuu kampuni ya Helium One iliyokuwa inafanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.